Ushuhuda wangu kuhusu Single Mothers

Ushuhuda wangu kuhusu Single Mothers

Rudi kwenye comment yangu ya kwanza kwenye uzi huu halafu ndo uje tena.
We tuendelee apa apa kama sikuelewa mara ya kwanza unafikiri nikirudi nitaelewa tena

Sikia sasa mnafiki wa kujitegemea twende taratibu sawa eeh mtoa mada anamtumikia na kumsomesha mtoto wa mwanamke wake, na wewe dizani kama ukamshangaa ivi kwa anachokifanya

Very simple na mimi nikakuuliza je wewe huwezi mhudumia na kumsomesha mtoto wa mpenzi wako??

Hapo je??? Au bado nipo nje ya mstari

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
We tuendelee apa apa kama sikuelewa mara ya kwanza unafikiri nikirudi nitaelewa tena

Sikia sasa mnafiki wa kujitegemea twende taratibu sawa eeh mtoa mada anamtumikia na kumsomesha mtoto wa mwanamke wake, na wewe dizani kama ukamshangaa ivi kwa anachokifanya

Very simple na mimi nikakuuliza je wewe huwezi mhudumia na kumsomesha mtoto wa mpenzi wako??

Hapo je??? Au bado nipo nje ya mstari

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ulivyosoma wewe umebaini kuwa ni mke wake ama hawara?
 
We tuendelee apa apa kama sikuelewa mara ya kwanza unafikiri nikirudi nitaelewa tena

Sikia sasa mnafiki wa kujitegemea twende taratibu sawa eeh mtoa mada anamtumikia na kumsomesha mtoto wa mwanamke wake, na wewe dizani kama ukamshangaa ivi kwa anachokifanya

Very simple na mimi nikakuuliza je wewe huwezi mhudumia na kumsomesha mtoto wa mpenzi wako??

Hapo je??? Au bado nipo nje ya mstari

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kwà upande wangu siwezi kabisa.

Nina kinyaa sana kufanya Mahusiano na wake za watu au masingle maza. So huko huwezi nikuta.

Pili. Kwà upande wangu,..

Nikiwa na Mwanamke na tukapata bahati ya kutengeneza equation ya familia = baba + Mama+ watoto. Then akazingua , akajitoa au kuiharibu equation,...asee sitajihusisha tena na yeye wala wale watoto. Ndo vile....

So kuna maboya kama mleta uzi ndo Waga yanawahudumia hao watoto! ( Maana Mimi nakua sipo tena kwenye hiyo equation ) ..nawaachia wao hiyo equation. Mimi naenda kutengeneza nyingine. Ivo yani ( si umempenda mke wangu bhana?!!! Ukipenda boga, penda na ua lake)
 
Ushamba ukiisha utajua nn cha kufanya na asikudanganye mtu kama ww ulivorudiahiwa penzi basi na huyo aliekua anakula wataelewana tu na ataemdelea kupiga nyama kama kawa bado baba wa mtoto nae anakula kama kawa aloo upo kwenye cheni ndefu sana
 
Habari wadau. Moja kwa moja kwenye hoja.
Mwaka jana nikaingia kwenye penzi na single mother mmoja hivi, mapenzi yalikuwa mubashara mwanzo lakini ghafla akawa haeleweki, kufatilia nikagundua ana mahusiano na mtu mwingine nikajaribu kumuhoji akawa mkali nikasema sio kesi. Ghafla yakaanza masharti nikitaka kutoka nae mara yupo bize.
Katika kutafakari nikaona atanisumbua niachane nae lakini siku nimeamua kuachana nae nikamsikia akikopa pesa kwa mtu kwa ajili ya mwanae shule. Basi imani ikaniingia nikampa kile kiasi cha pesa. Nikashangaa mahaba yamerudi kama mwanzo. Nikabaini uzaifu wake ni mwanae. Basi weekend moja nikamchukua mpaka mall flan ya watoto nikamwambia amchagulie mwanae anachotaka. Halooo, week 2 badae jamaa aliyetetelesha penzi langu nikaona anatuma meseji na kupiga simu kila mara anabembeleza penzi. Ebana mie huyu mwanamke sasa hivi sina time nae na deal na mwanae tu, akiamka nishamuiliza mahitaji ya shule, akikaa vibaya nishamwambie nimelipia twisheni atampeleka basi hata mzigo siku hizi siombi napewa tu popote ntapokutwa tofauti na zaman mpaka niombe tupange lini tunatoka.
Oa kabisa
 
Una kastory kidogo kuhusu hili?
Kuna single mazas nawajua ...wapo ofisi tofautitofauti...wapo zaidi ya 15...ni marafiki wote...afu pisi za maana...wanamashape...ni warembo...wakitoka maofisini wanajifanya kuchange nguo za mazoezi...

Wote Wanatembelea ndinga.....

Wanapita na mabodaboda, walinzi wa ofisi, ..yani ni hivi...ukiwachekea ..imekula kwako...cause Wana hela...

Wanapenda kufanya mapenzi ya jinsia Moja wao kwà wao,...na vile vile ...wanapenda kufanya mapenzi ya Matakoni.

Wanapenda kusuka dreadlocks ( Afu sijui kwanini masingle maza wanapenda kusuka dreads)
 
Muwe mnahudumia na watoto wao sasa sio mnapeleka tuu moto😁
 
Habari wadau. Moja kwa moja kwenye hoja.
Mwaka jana nikaingia kwenye penzi na single mother mmoja hivi, mapenzi yalikuwa mubashara mwanzo lakini ghafla akawa haeleweki, kufatilia nikagundua ana mahusiano na mtu mwingine nikajaribu kumuhoji akawa mkali nikasema sio kesi. Ghafla yakaanza masharti nikitaka kutoka nae mara yupo bize.
Katika kutafakari nikaona atanisumbua niachane nae lakini siku nimeamua kuachana nae nikamsikia akikopa pesa kwa mtu kwa ajili ya mwanae shule. Basi imani ikaniingia nikampa kile kiasi cha pesa. Nikashangaa mahaba yamerudi kama mwanzo. Nikabaini uzaifu wake ni mwanae. Basi weekend moja nikamchukua mpaka mall flan ya watoto nikamwambia amchagulie mwanae anachotaka. Halooo, week 2 badae jamaa aliyetetelesha penzi langu nikaona anatuma meseji na kupiga simu kila mara anabembeleza penzi. Ebana mie huyu mwanamke sasa hivi sina time nae na deal na mwanae tu, akiamka nishamuiliza mahitaji ya shule, akikaa vibaya nishamwambie nimelipia twisheni atampeleka basi hata mzigo siku hizi siombi napewa tu popote ntapokutwa tofauti na zaman mpaka niombe tupange lini tunatoka.
Ila jamani unapata hadi mzuka wa kupeleka mwanamke mall aseeee limbwata kumbe linafanya kazi mimi wangu kumnunulia kitenge hadi nipate semina.
 
Kwà upande wangu siwezi kabisa.

Nina kinyaa sana na kufanya Mahusiano na wake za watu au masingle maza. So huko huwezi nikuta.

Pili. Kwà upande wangu,..

Nikiwa na Mwanamke na tukapata bahati ya kutengeneza equation ya familia = baba + Mama+ watoto. Then akazaingua , akajitoa au kuiharibu equation,...asee sitajihusisha tena na yeye wala wale watoto. Ndo vile....

So kuna maboya kama mleta uzi ndo Waga yanawahudumia hao watoto! ( Maana Mimi nakua sipo tena kwenye hiyo equation ) ..nawaachia wao hiyo equation. Mimi naenda kutengeneza nyingine. Ivo yani
Dah mpka kwa watoto wako?? Weeee jamaa weee

Anyways ila kwa watu kama mtoa mada, wanafanya sababu ya huruma na upendo walio nao kwa hao wanawake zao wenye watoto ni upendo tu na huruma



Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwanini iwe "single mother" na sio "single parent".
 
Back
Top Bottom