We tuendelee apa apa kama sikuelewa mara ya kwanza unafikiri nikirudi nitaelewa tenaRudi kwenye comment yangu ya kwanza kwenye uzi huu halafu ndo uje tena.
Taratibu taratibu, kishkaji tu mnafiki wa kujitegemeaNa km hutaki kuelewa usinilazimishe kukujibu utakavyo.
Ulivyosoma wewe umebaini kuwa ni mke wake ama hawara?We tuendelee apa apa kama sikuelewa mara ya kwanza unafikiri nikirudi nitaelewa tena
Sikia sasa mnafiki wa kujitegemea twende taratibu sawa eeh mtoa mada anamtumikia na kumsomesha mtoto wa mwanamke wake, na wewe dizani kama ukamshangaa ivi kwa anachokifanya
Very simple na mimi nikakuuliza je wewe huwezi mhudumia na kumsomesha mtoto wa mpenzi wako??
Hapo je??? Au bado nipo nje ya mstari
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kama sio. Basi muheshimu sana na kumtii sana mumeo. Baadae utashukuru sana.Asa unanilazimisha niwee
Una kastory kidogo kuhusu hili?Masingle maza wengi ni waathirika wa Ukimwi. Je mmepima? Au unafurahia tu kupewa matako
Si mke ni hawara yakeUlivyosoma wewe umebaini kuwa ni mke wake ama hawara?
Kwà upande wangu siwezi kabisa.We tuendelee apa apa kama sikuelewa mara ya kwanza unafikiri nikirudi nitaelewa tena
Sikia sasa mnafiki wa kujitegemea twende taratibu sawa eeh mtoa mada anamtumikia na kumsomesha mtoto wa mwanamke wake, na wewe dizani kama ukamshangaa ivi kwa anachokifanya
Very simple na mimi nikakuuliza je wewe huwezi mhudumia na kumsomesha mtoto wa mpenzi wako??
Hapo je??? Au bado nipo nje ya mstari
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Oa kabisaHabari wadau. Moja kwa moja kwenye hoja.
Mwaka jana nikaingia kwenye penzi na single mother mmoja hivi, mapenzi yalikuwa mubashara mwanzo lakini ghafla akawa haeleweki, kufatilia nikagundua ana mahusiano na mtu mwingine nikajaribu kumuhoji akawa mkali nikasema sio kesi. Ghafla yakaanza masharti nikitaka kutoka nae mara yupo bize.
Katika kutafakari nikaona atanisumbua niachane nae lakini siku nimeamua kuachana nae nikamsikia akikopa pesa kwa mtu kwa ajili ya mwanae shule. Basi imani ikaniingia nikampa kile kiasi cha pesa. Nikashangaa mahaba yamerudi kama mwanzo. Nikabaini uzaifu wake ni mwanae. Basi weekend moja nikamchukua mpaka mall flan ya watoto nikamwambia amchagulie mwanae anachotaka. Halooo, week 2 badae jamaa aliyetetelesha penzi langu nikaona anatuma meseji na kupiga simu kila mara anabembeleza penzi. Ebana mie huyu mwanamke sasa hivi sina time nae na deal na mwanae tu, akiamka nishamuiliza mahitaji ya shule, akikaa vibaya nishamwambie nimelipia twisheni atampeleka basi hata mzigo siku hizi siombi napewa tu popote ntapokutwa tofauti na zaman mpaka niombe tupange lini tunatoka.
Sio Kahama(Shinyanga) kweli?Ina madini mengi ya dhahabu hiyo wilaya
Kuna single mazas nawajua ...wapo ofisi tofautitofauti...wapo zaidi ya 15...ni marafiki wote...afu pisi za maana...wanamashape...ni warembo...wakitoka maofisini wanajifanya kuchange nguo za mazoezi...Una kastory kidogo kuhusu hili?
Ila jamani unapata hadi mzuka wa kupeleka mwanamke mall aseeee limbwata kumbe linafanya kazi mimi wangu kumnunulia kitenge hadi nipate semina.Habari wadau. Moja kwa moja kwenye hoja.
Mwaka jana nikaingia kwenye penzi na single mother mmoja hivi, mapenzi yalikuwa mubashara mwanzo lakini ghafla akawa haeleweki, kufatilia nikagundua ana mahusiano na mtu mwingine nikajaribu kumuhoji akawa mkali nikasema sio kesi. Ghafla yakaanza masharti nikitaka kutoka nae mara yupo bize.
Katika kutafakari nikaona atanisumbua niachane nae lakini siku nimeamua kuachana nae nikamsikia akikopa pesa kwa mtu kwa ajili ya mwanae shule. Basi imani ikaniingia nikampa kile kiasi cha pesa. Nikashangaa mahaba yamerudi kama mwanzo. Nikabaini uzaifu wake ni mwanae. Basi weekend moja nikamchukua mpaka mall flan ya watoto nikamwambia amchagulie mwanae anachotaka. Halooo, week 2 badae jamaa aliyetetelesha penzi langu nikaona anatuma meseji na kupiga simu kila mara anabembeleza penzi. Ebana mie huyu mwanamke sasa hivi sina time nae na deal na mwanae tu, akiamka nishamuiliza mahitaji ya shule, akikaa vibaya nishamwambie nimelipia twisheni atampeleka basi hata mzigo siku hizi siombi napewa tu popote ntapokutwa tofauti na zaman mpaka niombe tupange lini tunatoka.
Dah mpka kwa watoto wako?? Weeee jamaa weeeKwà upande wangu siwezi kabisa.
Nina kinyaa sana na kufanya Mahusiano na wake za watu au masingle maza. So huko huwezi nikuta.
Pili. Kwà upande wangu,..
Nikiwa na Mwanamke na tukapata bahati ya kutengeneza equation ya familia = baba + Mama+ watoto. Then akazaingua , akajitoa au kuiharibu equation,...asee sitajihusisha tena na yeye wala wale watoto. Ndo vile....
So kuna maboya kama mleta uzi ndo Waga yanawahudumia hao watoto! ( Maana Mimi nakua sipo tena kwenye hiyo equation ) ..nawaachia wao hiyo equation. Mimi naenda kutengeneza nyingine. Ivo yani
Kama unataka kujifunza kula Matako,...huko ndo darasani.Sina mpango wa kuoa singo maza ila ngoja nijaribu mbinu yako mkuu kuna huyu mmoja ananizingua
Huu ni ushamba wala sikufichi.Single mothers wengi hawajatulia niwahuni, kwahyo ukiwa nae kuwa makini Sana tumia CONDOM
Masingle maza wengi ni waathirika wa Ukimwi. Je mmepima? Au unafurahia tu kupewa matako