Usiamini kila unachokiona mtandaoni, Zamaradi hajanunuliwa gari na Mume wake

Usiamini kila unachokiona mtandaoni, Zamaradi hajanunuliwa gari na Mume wake

Mi nilibaki nimeduwaa, Gari ya million 400 kwa kitobo kilekile ambacho ruge amecheza nacho miaka yote au ni tofauti na ivi tunavuokutanaga navyo ambiance
 
Mi nilibaki nimeduwaa, Gari ya million 400 kwa kitobo kilekile ambacho ruge amecheza nacho miaka yote au ni tofauti na ivi tunavuokutanaga navyo ambiance
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndiyo,yale ya basila mwanukuz aliponunua hammer wacha watu wampigie kelele,utafikiri pesa zao
[emoji1]

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli
 
"Wengi leo wako chalii na walivuma ile kinoma, jirushe kiakili kabla limelight yako haijazima" ... FAMOUS!

What's up Jay Moe.

-Kaveli-
 
Daah kauza nyumba akanunua gari akili ya wapi hio. Nyumba mali nzuri sana,angeendelea kula kodi tu.

Wadada wa Dar maisha ya mashindano yanawapelekesha sana
Ukute bado ananyumba za kutosha au ndio hivyo tena!
 
Kwahiyo kauza nyumba kaenda kupanga Masaki au inakuwaje ! Tuleteeni habari kamili kama alikuwa anaishi humo kisha kaiuza mbona akili hizo ni nyingine kabisa, ila wabongo wape pic tu maelezo watajaza wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umaskini na Chuki vinaenda sambamba,
Nilidhani utasema Range sio yake kumbe ni yake ila kauza Mali yake moja na kununua Mali nyingine tatizo liko wapi???

Ndio hivyo tena Zamaradi Mketema a.k.a Mrs Shabaan anaendesha Range Rover Vogue [emoji23] endelea kuning'inia kwenye daladala tu mwenzio anakula kiyoyozi.
Acha tu si kwakuning'inia huko, kauza mali yake kanunua mali yake, apongezwe tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Range ya Zamaradi Ilivyopatikana.

Issue iko hivi Zamaradi alinunuaga nyumba kipindi yupo na Ruge, Ruge alimsaidia kununua hiyo nyumba. Then akanunua kiwanja mwenyewe kipindi yupo na Ruge, baada ya kuwa na Shabani wakaanza kujenga nyumba kwenye hiko kiwanja, ndiyo hiyo nyumba wanayoishi.

Sasa ni hivi Zamaradi ameuza nyumba aliosaidiwaga na Ruge kununua back in the day ndiyo kanunua hiyo range. Jamani Zamaradi kauza nyumba ndiyo akanunua hiyo gari. Hakuna cha mume kununua wala nini. Jamani maisha ya mitandaoni sio kabisaaa, usipokuwa makini unaweza kuhisi mumeo ni nyau kabisa.

Ila Zama watu wanamuonaga role model ila hamna kitu, sisemi kakosea kuuza nyumba kununua range, nyumba ni yake she has a right to do what she wants, tatizo ni kuleta kwa social media ku-show-off na kujifanya mume wake ndo kamnunulia.lkija suala la utoto wa show-off za kijinga Zama hana tofauti na wajinga wengine kwenye socia medias.

View attachment 2415164
Sawa tuambie hiyo nyumba aliyouza ipo mtaa gani hapa Dar es salaam na kauziwa nani? sio mnatuletea habari nusunusu.
 
Back
Top Bottom