Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa. Akilala nje pia ni ya kwake. Akilala kwenye range haituhusu.Let her be, kama ndicho kinampa furaha, who are we to judge?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mi nilibaki nimeduwaa, Gari ya million 400 kwa kitobo kilekile ambacho ruge amecheza nacho miaka yote au ni tofauti na ivi tunavuokutanaga navyo ambiance
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliNdiyo,yale ya basila mwanukuz aliponunua hammer wacha watu wampigie kelele,utafikiri pesa zao
[emoji1]
Ova
[emoji16][emoji16][emoji23]Mi nilibaki nimeduwaa, Gari ya million 400 kwa kitobo kilekile ambacho ruge amecheza nacho miaka yote au ni tofauti na ivi tunavuokutanaga navyo ambiance
Mi nilibaki nimeduwaa, Gari ya million 400 kwa kitobo kilekile ambacho ruge amecheza nacho miaka yote au ni tofauti na ivi tunavuokutanaga navyo ambiance
Ukute bado ananyumba za kutosha au ndio hivyo tena!Daah kauza nyumba akanunua gari akili ya wapi hio. Nyumba mali nzuri sana,angeendelea kula kodi tu.
Wadada wa Dar maisha ya mashindano yanawapelekesha sana
Ana mental disorder ?Zama kwa drama n master class. Yeye hua anaziandaa kwa akili kubwa sna tofauti na bwanyenye wengine
Wasanii ni full usaniiNadhani kwenye ile post ya kwanza kuna mahali nilijibu kuwa ni drama haikuwa na uhalisia, kama sio wewe basi am sorry.. It was just a feedback
Acha tu si kwakuning'inia huko, kauza mali yake kanunua mali yake, apongezwe tu.Umaskini na Chuki vinaenda sambamba,
Nilidhani utasema Range sio yake kumbe ni yake ila kauza Mali yake moja na kununua Mali nyingine tatizo liko wapi???
Ndio hivyo tena Zamaradi Mketema a.k.a Mrs Shabaan anaendesha Range Rover Vogue [emoji23] endelea kuning'inia kwenye daladala tu mwenzio anakula kiyoyozi.
Wabongo utawaweza, si ajabu mashoga zake ndiyo wanaozileta hizoMbona sasa hiyo range ipo kwenye nyumba ambayo ndiyo unasema ameuza? Kwa Zama na Shebby hawawezi kushindwa kununua hiyo gari ya 50m.
Sawa tuambie hiyo nyumba aliyouza ipo mtaa gani hapa Dar es salaam na kauziwa nani? sio mnatuletea habari nusunusu.Range ya Zamaradi Ilivyopatikana.
Issue iko hivi Zamaradi alinunuaga nyumba kipindi yupo na Ruge, Ruge alimsaidia kununua hiyo nyumba. Then akanunua kiwanja mwenyewe kipindi yupo na Ruge, baada ya kuwa na Shabani wakaanza kujenga nyumba kwenye hiko kiwanja, ndiyo hiyo nyumba wanayoishi.
Sasa ni hivi Zamaradi ameuza nyumba aliosaidiwaga na Ruge kununua back in the day ndiyo kanunua hiyo range. Jamani Zamaradi kauza nyumba ndiyo akanunua hiyo gari. Hakuna cha mume kununua wala nini. Jamani maisha ya mitandaoni sio kabisaaa, usipokuwa makini unaweza kuhisi mumeo ni nyau kabisa.
Ila Zama watu wanamuonaga role model ila hamna kitu, sisemi kakosea kuuza nyumba kununua range, nyumba ni yake she has a right to do what she wants, tatizo ni kuleta kwa social media ku-show-off na kujifanya mume wake ndo kamnunulia.lkija suala la utoto wa show-off za kijinga Zama hana tofauti na wajinga wengine kwenye socia medias.
View attachment 2415164
Kwa maana hio huyo jamaa hata shule ni tatizo sio.Wewe umesema ukweli. Yule mshikaji toka kitambo anajulikana alikua HOUSE BOY wa Mshua mmoja pale Osterbay, ile kupewa pewa V8 kwenda kuosha osha ndio akamnasa ZAMARADI