Ulimwengu wa ushirikina ni mkongwe na mpana mno..actually ukongwe wake ni tangu kuumbwa kwa dunia kiimani... Uchawi una kaliba na matabaka mbalimbali na mengi tuu ambako yote yako chini ya mwamvuli mkubwa wa ushirikina, humo kunaUna exposure kwenye upande huo lakini sema labda tu hutaki kutuibia siri. Au labda masharti ya huko yanakubana ila fresh kaka asante kwa muda wako.
Hivi mkuu umeshaacha kufanya kazi mochwari? Sory ni nje ya mada ila ni kama ulishawahi kusema hii kitu.Hapana kaka trust me ningeweza kuroga kabisa mbona nisingehangaika na ajira na kipato kama wengine?[emoji23] fantasy witchcraft ni kwa ajili ya kujifunza zaidi na kufurahisha hadhira bila kudhuru uumbaji wowote..! Kwa nanma yoyote ile
Ni nini tofauti ya mchawi, mwanga na mlozi.Ulimwengu wa ushirikina ni mkongwe na mpana mno..actually ukongwe wake ni tangu kuumbwa kwa dunia kiimani... Uchawi una kaliba na matabaka mbalimbali na mengi tuu ambako yote yako chini ya mwamvuli mkubwa wa ushirikina, humo kuna
Waganga wa jadi
Wachawi
Walozi
Wanga
Wafuga majini
Wafuga mapepo
Wazee wa kitabu nknk
Ni ngumu sana nasema ni ngumu sana sana kumkuta mmoja ni mjuzi na controller wa kaliba zote hizo.. Hiyo ni level ya juu mno!
Nataka kufahamu kidogo kuhusu huo upandeMbona umemkaba shingoni ajibu swali
Mchawi anaroga na kuagua, mwanga sana sana ni michezo ya usiku ya kuchezea watu wakiwa wamelala ni kama hatua za mwanzo za uchawi, mlozi ni mtu anayependapenda mambo yote ya kishirikina na kufanya baadhi...Ni nini tofauti ya mchawi, mwanga na mlozi.
Pia tofauti ya jini na pepo ni nini?
Sasa mkuu ina maana mwanga hana madhara zaidi ya usumbufu tu au?Mchawi anaroga na kuagua, mwanga sana sana ni michezo ya usiku ya kuchezea watu wakiwa wamelala ni kama hatua za mwanzo za uchawi, mlozi ni mtu anayependapenda mambo yote ya kishirikina na kufanya baadhi...
Jini ni kiumbe roho kisichotokana na binadamu, pepo ni kiumbe roho kinachotoka na wafu na viumbe roho wengine nje ya majini
Mwanga zaidi ya usumbufu hana madhara zaidi labda awe ana ujuzi mwingine kwenye ushirikinaSasa mkuu ina maana mwanga hana madhara zaidi ya usumbufu tu au?
Je kuroga na kuagua sio ushirikana kama wa mlozi?
Karibu siku moja...sometimes hizi mambo zinahitaji ithibati na ushuhuda binafsiKuna ule uzi wako ule wa JF usiku wa manane uliniambia niamke usiku wa manane nichungulie chini ya uvungu wa kitanda chumbani kukiwa na giza niliogopa sikufanya hvyo,kila nikitaka kufanya hvyo roho inanizuia
Ngoja siku nigonge maKvant mengiiiiii, nitafanya hvyoKaribu siku moja...sometimes hizi mambo zinahitaji ithibati na ushuhuda binafsi
Okay.Mwanga zaidi ya usumbufu hana madhara zaidi labda awe ana ujuzi mwingine kwenye ushirikina
Kuroga ni shirki parcee, kuagua kuna pande mbili kishirikina na kiasili(kutumia elimu ya mitishamba)
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]Kongole kwako mshana kwa kutoa elimu hii, mtu ajue kabisa akifuata mlengo huo kajiingiza kwenye maagano ya kudumu ya nguvu za giza.......na kujinasua huko itahitajika deliverance ya hali ya juu.