Usianzishe biashara wala kutafuta kazi kupitia waganga wa kienyeji

Hahaha[emoji23]
 
Mkuu mshana wamenichanja huku mwenzio hata kama umestaafu nisaidie mawazo hii michale yao isinidhuru
 
Mkuu mshana wamenichanja huku mwenzio hata kama umestaafu nisaidie mawazo hii michale yao isinidhuru
Paka ndimu na limao na wala usipate hofu kabisa hakuna baya litakupata
 
Sasa chief, huku kwenye mabanda ya kuuza chakula, mahotel, bars n.k tunakuwa na uhakika kuwa hawa wanyama wanakuwa wamechinjwa au wamekatwa shingo na kuachwa warukeruke hadi kifo? Au tunajitoa tu sadaka wakati mwingine?
 
Kuna watu ambao wamewahi kufikia level hizo?
 
Hapa nimekuelewa ndugu
 
MKUU.. nasikia huwa wanakwambia kafara ndogo (kuku,mbuzi,ng’ombe nk) mwanzoni alafu ukishaifanya kadri unavyoona mafanikio wanakuagiza / wanakubadilikia utoe kafara kubwa (watu.. ndugu na wazazi) hii inakuaje? Kama utakataa kuendelea nayo?
 
Umeokoka.....!!!!???
 
Sasa chief, huku kwenye mabanda ya kuuza chakula, mahotel, bars n.k tunakuwa na uhakika kuwa hawa wanyama wanakuwa wamechinjwa au wamekatwa shingo na kuachwa warukeruke hadi kifo? Au tunajitoa tu sadaka wakati mwingine?
Vyovyote iwavyo hukutenda wewe kwahiyo hapo huna mawaa
 
MKUU.. nasikia huwa wanakwambia kafara ndogo (kuku,mbuzi,ng’ombe nk) mwanzoni alafu ukishaifanya kadri unavyoona mafanikio wanakuagiza / wanakubadilikia utoe kafara kubwa (watu.. ndugu na wazazi) hii inakuaje? Kama utakataa kuendelea nayo?
Mara nyingi kafara za mafanikio huanza na mbuzi ama ng'ombe, lakini kafara sio kitu cha kudumu, lina kikomo cha kuwa .... Hapo kuna mawili likiisha nguvu lazima ufanye tena ama ukitaka kupanda viwango lazima ufanye tena..
 

Mkuu nina ishu nataka kuuliza
Lakini nashindwa ku access dm
Kama unaweza ni dm kwanza ntashkuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…