Usichukulie poa, nyumba ni choo

Status
Not open for further replies.
Mizigo Kama mizigo aisee ,
 
Halafu wadada kama hauna kishundu jeuri ya kuvaa dela unaipata wapi [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kama kalio lingekuwa linalipa hata Tulia angelilitafuta badala ya kuutafuta usipika, Akii kalio sio chochote wala halilipi kabisa 😄😄
 
Nyama nyingi chips kidgo hatar sana hivyo vitu, mods naombeni mniondolee ban ya jukwaa la picha tafadhali.
 
Hujawahi kula tule tumshkaki twa miamia wewe[emoji23]
hivi unakula mara chache chache sio kila mara as ni mishkaki ya hamu tu. So flat inatumika mara chache kutoa hamu tu ila sio muda wote unakula tumishkaki twa mia mia. Ofkoz sio sasa mshkaki mnene km nn ishu ina kilo 90 sijui 100 haipendezi aisee inapoteza radha ya kuila kwa haraka sana.
 
Binafsi siwapendi akipita namwangalia tu anavyojibinua kama unavyoweza kumwangalia chatu anavuka barabara.
 
Mimi mwanamke akiwa na sura nzuri tu baaaas kanikamata. Hayo makalio kusema kweli mimi sina kazi nayo kabisa.

Mnaosema Sura hata mbuzi anayo, nawakumbusha pia makalio hata ngedere wanayo!
Sura nzuri, tako wastani, mguu, kimo na mwisho sauti nzuri, mengine ni ya ziada tu na unaweza kuyavumilia.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…