Usichukulie poa, nyumba ni choo

Usichukulie poa, nyumba ni choo

Status
Not open for further replies.
Aisee jana nimekula coaster na dada mmoja anaonesha ni aged ila ana body amazing sana yani! Yuko late 30’s kama si early 40’s ila ana kashepu yani sio mnene ila ana hips na tako flani la kichokozi height ipo pia.

Ya wastan yani kapiga skin jeans na ka tshirt tight na miwani yake dah af ana urasta hivi kama dread nimemuelewa kichizi ila dah! Njoo vile bana nimempokea Yesu sikuhizi[emoji28]
ungechukua kanamba na kapicha wengine bado hawajampokea ujue [emoji848][emoji848]
 
Hii dhana imefanya wengi waoe wake wasiowapenda na waneishia kuwasalti tu yaani anakuwa kama kaleta house maid nyumbani,kuwa na tako kwa mwanamke siyo kielelezo cha ubovu wa tabia ya mwanamke,mke niliyeoa mara ya kwanza alikuwa wa kawaida tu flat screen tu,asili ya kaskazini lakini alikuwa na matatizo lukuki,nilikama sms za washikaji mara kadhaa baada ya miaka minne niliona hatutafika tuendako nikasitisha mkataba maana changamoto zilikuwa nyingi kuliko amani na furaha ya ndoa.

Nikapata binti mmoja wa kanda ya ziwa,yule mwanamke amejaariwa maji ya kunde,sura nzuri ya kinyarwanda na umbo moja amazing sana yaani tumbo dogo halafu hapo chini ni 8 ya kuona.
Nilimpenda sana na yeye alinielewa sana,mpaka naandika hapa leo mwaka wa 9 tunaishi kwa amani na upendo utafikiri tumeoana jana,watoto wawili hawajawahi kumpunguzia urembo wake yuko vilevile.
Ana tabia njema kuliko maelezo,sasa nikiona hizi dhana zenu za kwamba "wife material.... naishia kucheka tu.
ahsante sana kwa shuhuda kuna wengine hadi wasikie shuhuda kama hizi ndo wanaanza kuelewa unakuta mtu kaoa flat screen lakin nje ana mchepuko wa tv ya chogo sasa tabu yote ya nini[emoji848][emoji848]
 
Halafu hutu tudada tulionyimwa nyama hua tuna roho mbaya kwelikweli, halafu tunajiskia na tuna nyodo kama nini, halafu vingi vyao ni viselfish.
vinakuwaga na wivu hivyo balaa maana si ajiamin anajua muda wowote kambi itahamia upande wa pili
 
vinakuwaga na wivu hivyo balaa maana si ajiamin anajua muda wowote kambi itahamia upande wa pili
Pia tumtu twa hivi tunakuaga na roho ya kwanini.
Screenshot_20220122-133352.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom