lwambof07
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 4,643
- 5,335
huo ndio unawachanganya wanaume wengiMbinuko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huo ndio unawachanganya wanaume wengiMbinuko
Haswaa japo ikiwa imefunikwa tuhuo ndio unawachanganya wanaume wengi
Alitakiwa aseme hivi ''wanaume wapenda matako makubwa wengi hupenda kujitangaza"Mbona mimi sipendi..huo utafiti feki.
#MaendeleoHayanaChama
kuna wengine wapo wakisirisiri piaAlitakiwa asema hivi ''wanaume wapenda matako makubwa wengi hupenda kujitangaza"
mtaa gani huo[emoji848][emoji848]Pia ni self defence..
Mtaani kwetu mwanamke bila kalio kubwa hata nyumba ya kupangisha hupati hata ulipe kodi miaka yote uliyobaki nayo hupati ng"o
lakini ni dhahiri kuna ukweli na ndiyo maana wanawake siku hizi wanahangaika kweli kutengeneza miili yao kwa maana nyingine wameona kuna wateja ndiyo maana kila mmoja anataka awe na shape na mwanamke anajiweka vizur na kujipamba kwa ajili ya mwanaume na wala sio kingineTafiti za texas hazifanyi kazi kwa wabantu..
wanazengo wanasema kuwa eti hata mbuz sura anayo sasa cjui wanamaanisha nini[emoji848][emoji848]Mwanamke sura bana!
makalio na matako n vitu viwili tofauti
Makalio na matako yote ni mazurimakalio na matako n vitu viwili tofauti
kumbe
Duh hii kiboko, sasa flatscreen wataishi wapi🤔🤔🤔🤔Pia ni self defence..
Mtaani kwetu mwanamke bila kalio kubwa hata nyumba ya kupangisha hupati hata ulipe kodi miaka yote uliyobaki nayo hupati ng"o
ntu na ntu okayNategemea Ntu na ntu [emoji4]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji134]Imejaa fangas tupu.
#MaendeleoHayanaChama