Usichukulie poa, nyumba ni choo

Usichukulie poa, nyumba ni choo

Status
Not open for further replies.
Mimi mwanamke akiwa na sura nzuri tu baaaas kanikamata. Hayo makalio kusema kweli mimi sina kazi nayo kabisa.

Mnaosema Sura hata mbuzi anayo, nawakumbusha pia makalio hata ngedere wanayo!
Ndiyo ngedere anakalio lakini si tako
 
Hii dhana imefanya wengi waoe wake wasiowapenda na waneishia kuwasalti tu yaani anakuwa kama kaleta house maid nyumbani,kuwa na tako kwa mwanamke siyo kielelezo cha ubovu wa tabia ya mwanamke,mke niliyeoa mara ya kwanza alikuwa wa kawaida tu flat screen tu,asili ya kaskazini lakini alikuwa na matatizo lukuki,nilikama sms za washikaji mara kadhaa baada ya miaka minne niliona hatutafika tuendako nikasitisha mkataba maana changamoto zilikuwa nyingi kuliko amani na furaha ya ndoa.

Nikapata binti mmoja wa kanda ya ziwa,yule mwanamke amejaariwa maji ya kunde,sura nzuri ya kinyarwanda na umbo moja amazing sana yaani tumbo dogo halafu hapo chini ni 8 ya kuona.
Nilimpenda sana na yeye alinielewa sana,mpaka naandika hapa leo mwaka wa 9 tunaishi kwa amani na upendo utafikiri tumeoana jana,watoto wawili hawajawahi kumpunguzia urembo wake yuko vilevile.
Ana tabia njema kuliko maelezo,sasa nikiona hizi dhana zenu za kwamba "wife material.... naishia kucheka tu.
Tatizo wanakalili au mwingine kwasababu yeye tayari anaye anawakatisha tamaa, kuna mmoja alikuwa anajipa moyo mie nimeoa tabia, tukaliza hutulii nyumbani kutwa kusarandia michepuko? Hana jibu!
 
wekeni picha wakuu mbona zimekata,wekeni picha ndugu zangu nimalizie haka kasabuni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah wewe kijana.!
 
Tatizo wanakalili au mwingine kwasababu yeye tayari anaye anawakatisha tamaa, kuna mmoja alikuwa anajipa moyo mie nimeoa tabia, tukaliza hutulii nyumbani kutwa kusarandia michepuko? Hana jibu!
[emoji1787][emoji1787]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom