Usifanye hili kosa unaposalitiwa na Mkeo/Mwanamke wako

Usifanye hili kosa unaposalitiwa na Mkeo/Mwanamke wako

Nakubaliana nawee kuna wanawake manunda sana .
Ila kiasili, mpaka mwanamke awe nauwezo wakuhimil hayo, basi huyo ni konkiii !!!.


Wahivo , NAKUFUNGASHIA VILAGO UENDE KWENU, UENDE KUPANGA N.J UTAJUA MWENYEWE UKACHEPUKE HUKOHUKO.


Labda km unazungumzia Kanamume, kanakoabudu Papuchi na bado kalikupata kakaona kama kamekupata kwa bahati nasibu tu.

Kwa ufupi, kanaume, kadogooo, kaogaa, kanalialia, kabebibebi, kanasauti yakike, kanamiko lainiii, kanabadilisha boksa mara mbili kwa siku, kanajifanya kanamapenzi ya dhatiiii, kajingaaa, Bila shaka katakua Kahehe[emoji23][emoji23][emoji23]
eenh Wanyaru tumefanyaje tena hapa c tulisema tunaongelea kuchepuka[emoji849]

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
 
Nakubaliana nawee kuna wanawake manunda sana .
Ila kiasili, mpaka mwanamke awe nauwezo wakuhimil hayo, basi huyo ni konkiii !!!.


Wahivo , NAKUFUNGASHIA VILAGO UENDE KWENU, UENDE KUPANGA N.J UTAJUA MWENYEWE UKACHEPUKE HUKOHUKO.


Labda km unazungumzia Kanamume, kanakoabudu Papuchi na bado kalikupata kakaona kama kamekupata kwa bahati nasibu tu.

Kwa ufupi, kanaume, kadogooo, kaogaa, kanalialia, kabebibebi, kanasauti yakike, kanamiko lainiii, kanabadilisha boksa mara mbili kwa siku, kanajifanya kanamapenzi ya dhatiiii, kajingaaa, Bila shaka katakua Kahehe[emoji23][emoji23][emoji23]

🤣🤣🤣🤣🤣umeandika kwa hisia sana

Sijawahi kuwa na wanaume design hio
Mimi mwenyewe najijua huwa natafuta mwanaume mtata kidogo hao wepesi nitawaonea bureee
Sasa katika nyie watata mna hitaji kuwa na akili timamu sio mambo ya drama
Tukishindwana tuachane usiniletee michezo michezo ya kuniumiza nakuhakikishia utaumia mwenyewe
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mbona mi hivyo vitu havinitishi,nikikuomba msamaha nina limit ya siku za kuomba after that utajijua mwenyewe kama utanisamehe au la,ila hizo drama za kutokulala chumbani etc poa tu tutaishi hivyo hivyo siku yakiisha sawa yasipo isha sawa pia

Hii ulioandika ni kwa wanawake wanao amini furaha wanaipata kwa mume tu[emoji28][emoji28][emoji28],kwa mapigo hayo lazima wadate
Umeota sugu, vipi ushaolewa Mara ngapi mpaka sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kingine, ndoa haitakiwi kuwa na mazoea, si kwa mwanaume na si kwa mwanamke, maana mahusiano yanahitaji ubunifu
Upo sahihi... namoja ya changamoto za mahusiano ni kuanza kuishiana kwa MAZOEA


Ubunifu ni muhim katika kuhakikisha kila siku mahusiano yanakua mapya lkn siwengi Wetu tunaishia kuaema bize kutafuta hela, so hamjali tena ???
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mbona mi hivyo vitu havinitishi,nikikuomba msamaha nina limit ya siku za kuomba after that utajijua mwenyewe kama utanisamehe au la,ila hizo drama za kutokulala chumbani etc poa tu tutaishi hivyo hivyo siku yakiisha sawa yasipo isha sawa pia

Hii ulioandika ni kwa wanawake wanao amini furaha wanaipata kwa mume tu[emoji28][emoji28][emoji28],kwa mapigo hayo lazima wadate
kama kwel utaweza kuhimili hayo bas wewe utakuwa umeisha kuwa malaya (kahaba) tayari
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mbona mi hivyo vitu havinitishi,nikikuomba msamaha nina limit ya siku za kuomba after that utajijua mwenyewe kama utanisamehe au la,ila hizo drama za kutokulala chumbani etc poa tu tutaishi hivyo hivyo siku yakiisha sawa yasipo isha sawa pia

Hii ulioandika ni kwa wanawake wanao amini furaha wanaipata kwa mume tu[emoji28][emoji28][emoji28],kwa mapigo hayo lazima wadate
kama kwel utaweza kuhimili hayo bas wewe utakuwa umeisha kuwa malaya (kahaba) tayari
 
Mwanamke Mzinzi hana formula, ana sababu tu za uzinzi wake mfano:

Tamaa ya ngono isiyodhibitika(wale wa ana kibamia, hanitoshelezi n.k)
Tamaa ya fedha (Huyu hata ukimpa fedha hazitatosha)
Mihemko(Wale penda penda wa ghafla, wanaopagawa na cuteboys)
Udhaifu wa mwanaume(Mwanaume muhuni au hajali, au katili) n.k
 
🤔🤔
Marital status: Divorced/Single
Age: 18 - 40
Misc: Financial stable/Bachelor degree holder, could be single mother already.

Dhahania tu
👆👆 Msome apo utajua akili yake
Maya Angelou ujasiri alionao anaupata kwa sababu ya kushobokewa na wanaume, so anaona maisha laisi tu wanaume wapo wengi wa kunipa ninachokitaka na kufanya nifurahi.
Ni vizuri.

My advice to Maya Angelou , Siku ukiona mambo yanaenda Mlama, Mrudie Mungu kwa moyo mmoja. Kwani Yeye hutusaidia bila kujali matendo yetu.
 
Muda muhimu sana kutenga lakini pia hakuna kitu kikubwa kinachojenga au kuvunja mahusiano zaidi ya MWASILIANO
Ni kweli kabisa na upo sahihi .

Mawasiliano mawasiliano nikiungo muhim sana, huziba ombwe ambalo km unglipa nafasi lingeishia kuzalisha hiki nilichokiandikia hapa.

Shida nikwamba, wengi wetu hatujui mambo madogo madogo kama haya ndio hutuongezea Thaman kwa wenzi wetu.


Matokeo yake, Ke anapata muhun wakuweka karibu kimawasiliano, mara hao ukaribu wa kihisia haooooooooo Kugongana.
 
Jitahidi mkuu kuwa na logic
Mwanaume anaekimbilia kumuita mwanamke kahaba au malaya mi huwa naona anamtukana mama yake binafsi,mwanaume anaemtusi mama yake huwa hana soni
You can be better than that my friend,cheers
sijatukana bali nimetoa moja ya sifa za mtu ambae ni kahaba, kuwa yeye hawez umia kwakuwa umekatisha nae mawasiliano ndani ya nyumba, wala ategemei kuwa mme/ mke wake nisehem ya furaha yake. Yeye yupo kwaajir ya kitu tu bas
 
[emoji115][emoji115] Msome apo utajua akili yake
Maya Angelou ujasiri alionao anaupata kwa sababu ya kushobokewa na wanaume, so anaona maisha laisi tu wanaupe wapo wengi wa kunipa ninachokitaka na kufanya nifurahi.
Ni vizuri.

My advice to Maya Angelou , Siku ukiona mambo yanaenda Mlama, Mrudie Mungu kwa moyo mmoja. Kwani Yeye hutusaidia bila kujali matendo yetu.

Asante malaika mkuu kitengo cha mahusiano [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nilishavuka huko though
 
Duu Ilirch Ramirez.. hahaaahaaa umeua mkuu
Nakubaliana nawee kuna wanawake manunda sana .
Ila kiasili, mpaka mwanamke awe nauwezo wakuhimil hayo, basi huyo ni konkiii !!!.


Wahivo , NAKUFUNGASHIA VILAGO UENDE KWENU, UENDE KUPANGA N.J UTAJUA MWENYEWE UKACHEPUKE HUKOHUKO.


Labda km unazungumzia Kanamume, kanakoabudu Papuchi na bado kalikupata kakaona kama kamekupata kwa bahati nasibu tu.

Kwa ufupi, kanaume, kadogooo, kaogaa, kanalialia, kabebibebi, kanasauti yakike, kanamiko lainiii, kanabadilisha boksa mara mbili kwa siku, kanajifanya kanamapenzi ya dhatiiii, kajingaaa, Bila shaka katakua Kahehe[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom