baraka bb
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 2,691
- 3,884
eenh Wanyaru tumefanyaje tena hapa c tulisema tunaongelea kuchepuka[emoji849]Nakubaliana nawee kuna wanawake manunda sana .
Ila kiasili, mpaka mwanamke awe nauwezo wakuhimil hayo, basi huyo ni konkiii !!!.
Wahivo , NAKUFUNGASHIA VILAGO UENDE KWENU, UENDE KUPANGA N.J UTAJUA MWENYEWE UKACHEPUKE HUKOHUKO.
Labda km unazungumzia Kanamume, kanakoabudu Papuchi na bado kalikupata kakaona kama kamekupata kwa bahati nasibu tu.
Kwa ufupi, kanaume, kadogooo, kaogaa, kanalialia, kabebibebi, kanasauti yakike, kanamiko lainiii, kanabadilisha boksa mara mbili kwa siku, kanajifanya kanamapenzi ya dhatiiii, kajingaaa, Bila shaka katakua Kahehe[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app