Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,086
- 2,576
Wewe ni msichana huru na unaye jitambua. Kama hautabadilisha msimamo wako utafika mbali kimaisha.
Miluzi mingi humpoteza mbwa,simamia unacho kiamini...
Pamoja mkuu[emoji1422]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni msichana huru na unaye jitambua. Kama hautabadilisha msimamo wako utafika mbali kimaisha.
Miluzi mingi humpoteza mbwa,simamia unacho kiamini...
Ukiona nimekaa kimya na una uhakika wa asilimia mia, kuwa nimejua nyendo zako!!! Usibet!! Utaumia! kimbia tu uondoke wala usimshirikishe hata ndugu yangu yeyote wala ndugu yako, wala padre au wazee wa kanisa!!! Nina uhakika kabisa nitawakosea heshima na wala sitatubu!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapo kwenye usalama sasa ndio siwezi kubet ni timing tu,so siwezi kusema sana
Utakuwa single mother, si kwa uzoefu huu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mbona mi hivyo vitu havinitishi,nikikuomba msamaha nina limit ya siku za kuomba after that utajijua mwenyewe kama utanisamehe au la,ila hizo drama za kutokulala chumbani etc poa tu tutaishi hivyo hivyo siku yakiisha sawa yasipo isha sawa pia
Hii ulioandika ni kwa wanawake wanao amini furaha wanaipata kwa mume tu[emoji28][emoji28][emoji28],kwa mapigo hayo lazima wadate
Utakuwa single mother, si kwa uzoefu huu
Ukiona nimekaa kimya na una uhakika wa asilimia mia, kuwa nimejua nyendo zako!!! Usibet!! Utaumia! kimbia tu uondoke wala usimshirikishe hata ndugu yangu yeyote wala ndugu yako, wala padre au wazee wa kanisa!!! Nina uhakika kabisa nitawakosea heshima na wala sitatubu!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Pqpuchi yake anyanduliwe yeye
Bado uumie wewe?
Sorry, niliuliza tu! If I did touch your feelings, it wasn't my intention.U single mama ndio tusi lenu kubwa mpaka hii 2021 kweli??
Tafuteni mengine bana hayo mpaka sisi ambao sio single mama tunayaona ya kiboya
C’mon you can do better than this
Vipi yule mume wa mtu alishakuoa?U single mama ndio tusi lenu kubwa mpaka hii 2021 kweli??
Tafuteni mengine bana hayo mpaka sisi ambao sio single mama tunayaona ya kiboya
C’mon you can do better than this
thanks.....kila mwanaume anapambana kivyake......kwanza alisema mleta mada (adhabu) ni nyepesi sana sababu hajui uhalisia,,,,amekariri, amesikia au ameona.....haijamtokea akajua uhalisia ulivyo........huwezi kumchagulia adui yako namna ya kupambana (vita)......vita ni vita......ndoa ni kama kambi ya jeshi....mbinu zote mnazo, once adui anapo-attack lazima ujipanze kupambana na kuhakikisha unashinda....but siku zote adui huanzia ndani........ukiweza kumtoa wa ndani wa nje ni kazi rahisi......Kwa taarifa ukikua ndio utajua vizuri.
Lakini tambua kila ndoa inachangamoto zake, na ina namna yake ya kuhandle.
So jua huna uzoefu wowote...
Sorry, niliuliza tu! If I did touch your feelings, it wasn't my intention.
Vipi yule mume wa mtu alishakuoa?
Mwanamke mliwa nje dawa yake ni kumuacha tu..
we hapo juu si ulisema unataka mwanaume mtata, huyo ndiyo aina ya mwanamme mtata anatukana anakupiga ana ku insult yaani utata wote anakufanyiaJitahidi mkuu kuwa na logic
Mwanaume anaekimbilia kumuita mwanamke kahaba au malaya mi huwa naona anamtukana mama yake binafsi,mwanaume anaemtusi mama yake huwa hana soni
You can be better than that my friend,cheers
we hapo juu si ulisema unataka mwanaume mtata, huyo ndiyo aina ya mwanamme mtata anatukana anakupiga ana ku insult yaani utata wote anakufanyia
Sisi tusio watata hatakufai, komaa na watata wenzio [emoji16]
Katafute kwengine Mimi nilishaoa.
Poa Dada ukiolewa nistue nije kucheza singeli na mke wangu ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa dada asante Ngoja nitafute mwingine wewe kweli umenitosa [emoji22]
sijatukana bali nimetoa moja ya sifa za mtu ambae ni kahaba, kuwa yeye hawez umia kwakuwa umekatisha nae mawasiliano ndani ya nyumba, wala ategemei kuwa mme/ mke wake nisehem ya furaha yake. Yeye yupo kwaajir ya kitu tu bas
MTU atinduliwe huko uanze kupata tabu wewe?
Harafu mbona kuna samaki wengi huko mtoni...