Usifanye hili kosa unaposalitiwa na Mkeo/Mwanamke wako

Usifanye hili kosa unaposalitiwa na Mkeo/Mwanamke wako

Mbona wote wamekuuliza hivyo hivyo unakwepa kujibu..?

Hata sijasoma kitu
Uzi wako umefukuliwa kule ..hahahhah

Mpaka hapa chaliii,mbona husemi asante mke mwenza unakimbia ninacho kujibu
Ukiona mwanaume anacheka cheka ujue anawashwaa
Usijifarague sana unaweza kukausha na watu watasahau
Mimi ndio Nina mme wa mtu nimekuuliza unamtaka na wewe hujibu?eti dada huyu mume wa mtu unataka na wewe tu share??
Naona hahahaha kwa wingi kicheko cha kujilazimisha utafika mpaka huhuhuhu
Umeona wapi mwanaume akamshinda mwanamke kwa maneno wewe?ati we ulisikia wapi?


Umesema uziii uzi upi tena jamanii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Jf idumu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu ngoja nife nae leo
Maana anawashwa sana na wanaume wenzake wanamkaushia stress analeta kwangu
 
Mpaka hapa chaliii,mbona husemi asante mke mwenza unakimbia ninacho kujibu
Ukiona mwanaume anacheka cheka ujue anawashwaa
Usijifarague sana unaweza kukausha na watu watasahau
Mimi ndio Nina mme wa mtu nimekuuliza unamtaka na wewe hujibu?eti dada huyu mume wa mtu unataka na wewe tu share??
Naona hahahaha kwa wingi kicheko cha kujilazimisha utafika mpaka huhuhuhu
Umeona wapi mwanaume akamshinda mwanamke kwa maneno wewe?ati we ulisikia wapi?


Umesema uziii uzi upi tena jamanii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijasoma hata
Pole sana umalaya huwaga ni wa kurithi .

Huhuhuhuhu
 
Ahahhahah
Sasa Mara watoto mnatafuta wenyewe Mara sisi tumekuwa sperm donor.

Kwanza sisi ndo tunaamua uwe single maza au lah.!

Basi tukigoma let's say hata kuwa sperm donor mimba unatoa wapi?
Huwezi pingana na nature mwanamke na mwanaume wanahitajiana

Watoto hatutafuti wenyewe mnatupa nyie lakini sisi ndo tunaamua tunataka wangapi kwa jinsi uwezo wangu ulivo nataka wawili au mmoja au watatu kwa kujua kabisa hawanishindi no matter what... yani hata ukisepa usiponisemesha 20 yrs to come its your problems i wont ask you for shit[emoji119]

Plus nyie hamuwezi kuchagua tuwe single moms ndo mana unaona kuna wanawake wana ujinga bado wa kuvumilia ndoa kisa ‘watoto’ ilimradi aonekane ana mwanaume.. binafsi ukinizingua off you go[emoji1309][emoji1309][emoji1309]

Na kitu ambacho huwezi ni huko kugoma kuwa sperm donor as you say wanaume na wanawake wanahitajiana sana tu.. lkn wanaume wa afrika mnafanyaga kama wanawake ndo wanahitaji wanaume sanaaa kwamba tukiwakosa tutakufa labda [emoji2372][emoji2372]
 
Oh dear, you're right. I'm just normal random guy. I'm not someone with high status!

Perhaps we know each other, maybe we’re just strangers. Either way, reading someone’s writing is like looking through a window into our lives. I read what you wrote, then it come to my mind.. what you're experiencing. It kind a tough and pain ending relationship. I said sorry if misjudged your writing. Once again jibu ulonipa linazidi kunipa hisia zako.

There are the moments when a particular sentence or passage touches you because it’s said in a way that you see yourself in those words.

Again sorry for what you are passing through. Change your behavior, perceptions, emotions about men.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]umeandika kwa hisia sana Kama vile nimefiwa
Kwanza hicho kizungu kirefu hivyo kama vile umenilipia ada

Najua nilikupa jibu limekugusa
Wacha kujifanya relevant kwenye maisha ya watu
You’re no one,fanya yako uguswe hivyo na maisha yangu wakati una ndugu kibao wana hitaji hisia zako wasaidie hao
Ukiendelea kunikamia sana ntahisi kama kuna kitu unanidai vile
Kama kipo kiseme otherwise nikaushie
 
Watoto hatutafuti wenyewe mnatupa nyie lakini sisi ndo tunaamua tunataka wangapi kwa jinsi uwezo wangu ulivo nataka wawili au mmoja au watatu kwa kujua kabisa hawanishindi no matter what... yani hata ukisepa usiponisemesha 20 yrs to come its your problems i wont ask you for shit[emoji119]

Plus nyie hamuwezi kuchagua tuwe single moms ndo mana unaona kuna wanawake wana ujinga bado wa kuvumilia ndoa kisa ‘watoto’ ilimradi aonekane ana mwanaume.. binafsi ukinizingua off you go[emoji1309][emoji1309][emoji1309]

Na kitu ambacho huwezi ni huko kugoma kuwa sperm donor as you say wanaume na wanawake wanahitajiana sana tu.. lkn wanaume wa afrika mnafanyaga kama wanawake ndo wanahitaji wanaume sanaaa kwamba tukiwakosa tutakufa labda [emoji2372][emoji2372]
Kweli tunahitajiana lakini nadhani nyie ndo mna uhitaji sana na sisi
Ukiachana na uwezo kiuchumi ..siku hizi wanawake wengi wana kazi.
Vitu kama ulinzi kuna kipindi utahitaji awe pembeni yako

Mko wengi kuliko sisi so sisi ni bidhaa adimu I guess
 
Sijasoma hata
Pole sana umalaya huwaga ni wa kurithi .

Huhuhuhuhu

Umalaya wangu wa kurithi unauonea uwivu dada,we si una tundu lako pia ligawe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu basi na wewe uuonje unaona nafaidiii mwenyewe

Ukimaliza huhuhu tunaenda kicheko gani leo utatufundisha vyote twende bampa to bampa [emoji6][emoji6]
 
Umalaya wangu wa kurithi unauonea uwivu dada,we si una tundu lako pia ligawe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu basi na wewe uuonje unaona nafaidiii mwenyewe

Ukimaliza huhuhu tunaenda kicheko gani leo utatufundisha vyote twende bampa to bampa [emoji6][emoji6]
Kumbe unagawa tundu Dada?
 
Si umeona na mimi huwa nataka mwanaume ambae yupo straight sipendi drama drama kuna mambo mengi ya kufanya mahusiano ni part tu ya maisha
Ukinifuma na nikaomba msamaha usiweze kunisamehe nifukuze
Sio sijui unahama chumba,sijui huli chakula etc ni utoto na ujinga kwangu
Na incase huniachi ukanipa mateso ya kisaikolojia kitakacho kupata mbeleni tusilaumiane.
Wanaume nyie ni weak kuliko sisi ndio maana hamuwezi kuvumilia mkijua tumechepuka tofauti na sisi.Mtu kama mimi adhabu kuu unayo weza kunipa ni kuniacha ila usilete drama hatutoishia pazuri
We ni Konki wa kuchepuka
 
UPUUZI MTUPU! Mkeo unachapiwa halafu ukae kimya! Jamaa anayekuchapia unamjua eti ujikunyate usimconfront? Mwanaume wa wapi wewe, VENUS? Acha mchapiwe na kubambikiwa watoto.
[emoji15][emoji15][emoji15]
Hahahah Mkuu wangu umesoma mpaka mwisho.

Kumtafuta jamaa mara kumtishia mara nn, ...

Zawadi pekee ya mwanamke kama pole ni Kumpa K tena,


Kwa ufupi , maaumuzi yako baada ya kumfuma ni ama yapelekee Mke kuendelea kupigwa pumbu sanaaaa

Au Yamfanye asipigwe pumbu .

Kwa maana ukiegemea kwa anayempiga pumbu, atamuacha, ila siku zambelen atapigwa tena na mwingine au nahuyohuyo.
 
Si umeona na mimi huwa nataka mwanaume ambae yupo straight sipendi drama drama kuna mambo mengi ya kufanya mahusiano ni part tu ya maisha
Ukinifuma na nikaomba msamaha usiweze kunisamehe nifukuze
Sio sijui unahama chumba,sijui huli chakula etc ni utoto na ujinga kwangu
Na incase huniachi ukanipa mateso ya kisaikolojia kitakacho kupata mbeleni tusilaumiane.
Wanaume nyie ni weak kuliko sisi ndio maana hamuwezi kuvumilia mkijua tumechepuka tofauti na sisi.Mtu kama mimi adhabu kuu unayo weza kunipa ni kuniacha ila usilete drama hatutoishia pazuri
Kweli hatutaishia pazuri maana saa kumi na moja wavuvi lazima wataokota sandarusi ufukweni mapeeeeema sana na ubongo nimeumwaga chini , ukaliwe na mtu halafu unichezee lazima uondoke kwangu au upate pumziko la milele kwa amani
 
Kweli hatutaishia pazuri maana saa kumi na moja wavuvi lazima wataokota sandarusi ufukweni mapeeeeema sana na ubongo nimeumwaga chini , ukaliwe na mtu halafu unichezee lazima uondoke kwangu au upate pumziko la milele kwa amani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe utajizeesha bure ujue anae muweza binadamu dunia hii ni Mungu tu
Sisi wengine tunajipa stress tu
 
Back
Top Bottom