Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #81
Hivi izo hela wanazotibiwa anatoa nani?Hizi ni kauli za wanaume wasio wawajibikaji badae watoto waki'side na mama zao malalamiko yanaanza. Unakuta baba hajui watoto wanakula nini, hajui wanavaa nini, wakiumwa hajui wanatibiwa vipi alafu anataka watoto wamfurahie. Kaeni vizuri na familia zenu vinginevyo mtaendelea tu kulalamikia wanawake.
Kwako ndio hazidumu una laana ya ukooBiashara za miafrika ni za kipumbavu! Ndiyo maana mijanaume ya Kiafrika tukifa biashara hazidumu!
Yeye ananipigagaWewe ukikosea nani huwa anakupiga?
Ahaha kweli eeNdugu? Wewe humjui vizuri kiumbe binadamu shauri zako.
Wa ndoa na mchepukoMke gani mbona munatuchanganya
#KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
SnaaaaaMkuu unaogopa kuachwa sioπ
Waseme tyUkifa wewe na biashara inafia hapo watu kusema biashara ya manyoka
ujinga mtupuZa maamko
Kuna watu mnataka kuwafungulia biashara wake zenu ila epuka hii kitu
Mfungulie biashara ila hakikisha hajui wapi marighafi unatolea yaani machimbo unakochukua mzigo wewe fanya kuwasiliana na argent chukua mzigo fikisha dukani endelea usimpe mwanya wa kuwasiliana na argent unako chukulia mzigo kabisa
Unapo mpa mwanya uho madharau ndani ndio yanazidi mshape mkeo aone bila wewe yeye sio kitu au familia watoto waone bila wewe no familia ndani hawali
Wanaume tunakufa kwasababu za stress ukijifanya kumpa nafasi mwanamke umekwisha dharau zitazidi then atajiona yeye mwamba
Usiwekeze pesa yako kwa mwanamke kabisa kutegemea ipo siku ukishuka kwenye uchumi atakufaa utaambulia manyanyaso
Kwako Biashara unazo zijua ni za uchuuzi? Vipi service business kama Hoteli? utamfichha wateja au?It depend na biashara gani unamfungulia
Wenye akili bado kuzaliwa na kuumbwaSema Kwa mkeo
Sisi wake zetu wana akili
kataa ndoa kelseaHizi ni kauli za wanaume wasio wawajibikaji badae watoto waki'side na mama zao malalamiko yanaanza. Unakuta baba hajui watoto wanakula nini, hajui wanavaa nini, wakiumwa hajui wanatibiwa vipi alafu anataka watoto wamfurahie. Kaeni vizuri na familia zenu vinginevyo mtaendelea tu kulalamikia wanawake.
Marighafi β argent βZa maamko
Kuna watu mnataka kuwafungulia biashara wake zenu ila epuka hii kitu
Mfungulie biashara ila hakikisha hajui wapi marighafi unatolea yaani machimbo unakochukua mzigo wewe fanya kuwasiliana na argent chukua mzigo fikisha dukani endelea usimpe mwanya wa kuwasiliana na argent unako chukulia mzigo kabisa
Unapo mpa mwanya uho madharau ndani ndio yanazidi mshape mkeo aone bila wewe yeye sio kitu au familia watoto waone bila wewe no familia ndani hawali
Wanaume tunakufa kwasababu za stress ukijifanya kumpa nafasi mwanamke umekwisha dharau zitazidi then atajiona yeye mwamba
Usiwekeze pesa yako kwa mwanamke kabisa kutegemea ipo siku ukishuka kwenye uchumi atakufaa utaambulia manyanyaso
πππ Mdogo wangu, mimi nikipata baby wa kunioa naolewa yakinishinda basi.kataa ndoa kelsea
watakutesa huko watakunyima hela
kwanini usiwafungulie ndugu zako hilo duka kama unawaamini kuliko mkeo?Ndugu zangu wapo
kumbe bado unazubaaπππ Mdogo wangu, mimi nikipata baby wa kunioa naolewa yakinishinda basi.
kwamba unaona ndugu zako ndio watawasimamia watoto wako? huu ujuhaNitawaambia ndugu zangu mwanamke sio ndugu yangu
Sawa, tuendelee kuandika post za kuwaona wanawake ni wabayaNitawaambia ndugu zangu mwanamke sio ndugu yangu
Ngoja siku ukute clip ya Engonga akiwa kamkunja mkeo ndio utajua kweli akili anayo.π€£Sema Kwa mkeo
Sisi wake zetu wana akili