Usifanye hivi kwa mkeo kama unataka kumfungulia biashara

Usifanye hivi kwa mkeo kama unataka kumfungulia biashara

Hizi ni kauli za wanaume wasio wawajibikaji badae watoto waki'side na mama zao malalamiko yanaanza. Unakuta baba hajui watoto wanakula nini, hajui wanavaa nini, wakiumwa hajui wanatibiwa vipi alafu anataka watoto wamfurahie. Kaeni vizuri na familia zenu vinginevyo mtaendelea tu kulalamikia wanawake.
Hivi izo hela wanazotibiwa anatoa nani?
 
Za maamko

Kuna watu mnataka kuwafungulia biashara wake zenu ila epuka hii kitu

Mfungulie biashara ila hakikisha hajui wapi marighafi unatolea yaani machimbo unakochukua mzigo wewe fanya kuwasiliana na argent chukua mzigo fikisha dukani endelea usimpe mwanya wa kuwasiliana na argent unako chukulia mzigo kabisa

Unapo mpa mwanya uho madharau ndani ndio yanazidi mshape mkeo aone bila wewe yeye sio kitu au familia watoto waone bila wewe no familia ndani hawali

Wanaume tunakufa kwasababu za stress ukijifanya kumpa nafasi mwanamke umekwisha dharau zitazidi then atajiona yeye mwamba

Usiwekeze pesa yako kwa mwanamke kabisa kutegemea ipo siku ukishuka kwenye uchumi atakufaa utaambulia manyanyaso
ujinga mtupu
 
Hizi ni kauli za wanaume wasio wawajibikaji badae watoto waki'side na mama zao malalamiko yanaanza. Unakuta baba hajui watoto wanakula nini, hajui wanavaa nini, wakiumwa hajui wanatibiwa vipi alafu anataka watoto wamfurahie. Kaeni vizuri na familia zenu vinginevyo mtaendelea tu kulalamikia wanawake.
kataa ndoa kelsea

watakutesa huko watakunyima hela
 
Za maamko

Kuna watu mnataka kuwafungulia biashara wake zenu ila epuka hii kitu

Mfungulie biashara ila hakikisha hajui wapi marighafi unatolea yaani machimbo unakochukua mzigo wewe fanya kuwasiliana na argent chukua mzigo fikisha dukani endelea usimpe mwanya wa kuwasiliana na argent unako chukulia mzigo kabisa

Unapo mpa mwanya uho madharau ndani ndio yanazidi mshape mkeo aone bila wewe yeye sio kitu au familia watoto waone bila wewe no familia ndani hawali

Wanaume tunakufa kwasababu za stress ukijifanya kumpa nafasi mwanamke umekwisha dharau zitazidi then atajiona yeye mwamba

Usiwekeze pesa yako kwa mwanamke kabisa kutegemea ipo siku ukishuka kwenye uchumi atakufaa utaambulia manyanyaso
Marighafi ❌ argent ❌
Umeandika pumba. Kuna tatizo kubwa sana la wanaume kutojiamini nyakati hizi.
 
Back
Top Bottom