Usije Dar Es Salaam niagize hasa hasa soko Posta na Kariakoo, kwa uaminifu mkubwa sana

Natafuta tablet za atouch zinapatikana kwa bei gani?
 
I'm impressed a lot of people are Joining this kind of business.
The competition is getting intense.
Welcome to the party!
 
Kuna siku tutakutana tu sisi siyo milima lazima nikuchape mangumi ya uhakika

Alafu jitaidi kupunguza shobo wewe dada
Wewe kenge ungekua karibu yangu wala usingefungua hilo domo,naona kila ukiwekewa bando na mumeo,kitu cha kwanza unakuja kuquote comment yangu,

Tambaa mbele wewe acha shobo.
 
Usifanye kazi kiuni tafuta fremu....tafuta TIN na leseni kama itawezekana...ndo uanze biashara,namaanisha uwe na upeo mpana wa biashara yako sku zijazo...
 
Wewe kenge ungekua karibu yangu wala usingefungua hilo domo,naona kila ukiwekewa bando na mumeo,kitu cha kwanza unakuja kuquote comment yangu,

Tambaa mbele wewe acha shobo.
Acha kuandika kike kike we binti

Acha kubania pua wanaume we mwajuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…