Usije kuoa kwa kuangalia uzuri wa mwanamke, utajuta sana

Usije kuoa kwa kuangalia uzuri wa mwanamke, utajuta sana

Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa.

Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe hufaidiki wala huna amani.

Yani umelala na mke wako kitanda kimoja, unamtani ula humpati. Kama hujaoa unaweza usiamini ila ndo hivyo.

Pia kuna wanawake ni kama wanakipaji cha kumkasirisha mtu, yani mtu anakuudhi hadi point ya mwisho.
mbona kama unaongea mwenyewe mkuu
 
Kwani ndo unajua leo kuwa ule uzuri wa mwanamke ni pale kuwa hujampata tu ukishamala mara mbili tatu anakuwa ni wakawaida mnoo.

na mke ndo ivo ivo anakuwa mzur pale ikiwa hujamuoa tu ukishamua na kumueka ndani unamuona wa kawaida mnooo.
 
Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa.

Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe hufaidiki wala huna amani.

Yani umelala na mke wako kitanda kimoja, unamtani ula humpati. Kama hujaoa unaweza usiamini ila ndo hivyo.

Pia kuna wanawake ni kama wanakipaji cha kumkasirisha mtu, yani mtu anakuudhi hadi point ya mwisho.
Church boy/good buy/nice guy ndio wanao ingiaga huo mkenge wa kuoa wenye mionekano mizuri,ila bad guy au ile miamba mihuni wanajua sana kupoint na hawa angaliagi uzuri kwenye swala la kuoa,unaweza kuta mwamba kagonga pisi kali nyingi za kutosha, ila akituliza kichwa anakuja kuoa mwanamke mwenye mwonekano wa kawaida mpaka unashangaa.

Kuna mabroo wangu enzi zao walikuwa wanawapanga tena pisi za ukweli,ila walivyo kuja kuoea naweza sema 80% walioa wanawake wa kawaida mno.
 
Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa.

Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe hufaidiki wala huna amani.

Yani umelala na mke wako kitanda kimoja, unamtani ula humpati. Kama hujaoa unaweza usiamini ila ndo hivyo.

Pia kuna wanawake ni kama wanakipaji cha kumkasirisha mtu, yani mtu anakuudhi hadi point ya mwisho.



Brooo ni wewe umeoa au umeolewa???? Mbona kama sio mwanaume???

Na unaonekana unajua kupenda kweri kweriii we kama sio msukuma lazma ni mgosi.

Nampa mkeo wiki moja ajirekebishe, tofauti na hapo njoo pm 😎
 
Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa.

Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe hufaidiki wala huna amani.

Yani umelala na mke wako kitanda kimoja, unamtani ula humpati. Kama hujaoa unaweza usiamini ila ndo hivyo.

Pia kuna wanawake ni kama wanakipaji cha kumkasirisha mtu, yani mtu anakuudhi hadi point ya mwisho.
Pole kwa yaliyokukuta

KATAA NDOA
 
Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa.

Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe hufaidiki wala huna amani.

Yani umelala na mke wako kitanda kimoja, unamtani ula humpati. Kama hujaoa unaweza usiamini ila ndo hivyo.

Pia kuna wanawake ni kama wanakipaji cha kumkasirisha mtu, yani mtu anakuudhi hadi point ya mwisho.
Hahaaa. . Pole braza anakuendesha sana kwa Engine ya pussy
 
Back
Top Bottom