Usije kuoa kwa kuangalia uzuri wa mwanamke, utajuta sana

Hao wa hivyo ni wa shoo za nje tu utakufa kwa stress mkuu.

Huwa tuna oa mwenye utayari na akili iliyopevuka, makalio ukitaka hukosi ni urefu wa kamba yako tu.
 
Mkuu hata kama unampenda huyo mwanamke usijali maneno ya watu mteme tu pambana na maisha wanawake wazuri wapo na wanazaliwa kila siku tulishapitia hayo tunaongea from experience muache ahangaike na dunia ,atazeeka na ataishia kugongwa tu ,mungu wetu ni wa haki jitahidi achana nae utamsahau tu enjoy ur life
 

Hii mistari mitatu ya mwisho nimeielewa sana maana ndicho nachopitia mimi na kama unahasira za haraka unaweza hata kumuua mkeo chapu
 
Tena ukome
Aje wapi?😂
 
Kuna jamaa yangu kaowa ki dada hicho ni balaa
Kibovuu
Kibayaa
Yan dah😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…