Usijidanganye ati hukumu ya kunyongwa hadi kufa Huwa haitekelezwi Tanzania

Usijidanganye ati hukumu ya kunyongwa hadi kufa Huwa haitekelezwi Tanzania

Itakuwa tayari
Bageni yupo ona sasa unakisia. Bageni yupo, na last week rufani yake ilitajwa kwamba inawezekana akarudi tena mahakamani soon. Kupambania kufutiwa kunyongwa. Na yupo gereza la ukonga hadi sasa.
 
unashadidia kama vile wewe ndiyo unapeleka kwa raisi hizo nyaraka wanazotakiwa wao kusaini kwa ajili ya kunyongwa.

Tupe mifano basi kama fulani na fulani walinyongwa baada ya kupewa hukumu hiyo.

Mbona inaeleweka kabisa kama Saidi Mwamwindi alinyongwa?
Nani alihukumiwa kunyongwa na hakunyongwa?
 
Ku
Nimeona baadhi ya wadau wakitoa maoni ati Kwa Hapa nyumbani TANZANIA hukumu ya kunyongwa hadi kufa Huwa haipo.
Kwamba ipo kwenye makaratasi ya hukumu tu

Wanasiasa wanawadanganya ati hawawezi kusaini hati ya kunyonga😅😃 yaani mwanasiasa anayemuuwa mpinzani, mpiga kelele tu aone huruma kusaini kuuwa mtu mhaini, gaidi, muuaji n.k Huwa wanasaini na waharifu hunyongwa tu

Ni hivi hukumu ya kunyongwa hadi kufa huwa inatekelezwa vizuri tu

Waliohukumiwa Huwa wananyongwa, usijidanganye eti itafanya uhalifu upate hukumu hii halafu mbadala kiwe kifungo cha maisha

Mtu akihukumiwa kifo, Huwa anapewa wasaa wa kukata rufaa na rufaa ikishinda adhabu hii Huwa inatekelezwa

Waliohukumiwa adhabu ya kifo huitwa vipusa huko gerezani, na hukaa selo bila kutoka nje hata kuota jua, chakula na huduma nyingine huwa zinawakuta humo

Gereza maarufu la kunyongea ni Isanga Dodoma, wafungwa waliokutwa na hatia husafishwa hadi Isanga Dodoma na kunyongwa

Askari walio ajiriwa kutimiza wajibu huu wapo na Huwa kazi Yao ya kunyonga wanaifanya vizuri

Kuweni makini epukeni jinai mbaya kama uhaini, ugaidi, murder case, ukatili n.k ili uepuke adhabu hii mbaya

Sio kila kitu utaambiwa bayana
Kuna wader mmoja aliwahi kuchizi Rans copro wa Magereza alipewa kitengo hicho zamani ilikuwa mkimaliza Course mnapangiwa vitengo saiv wakimaliza wanachaguliwa Baazi wanaenda kozi ya Kunyonga ni hatari.....
 
Nyuma ya gereza la isanga kuna makaburi ya wafungwa walio nyongwaga kitambo, ila hakuna makaburi mapya sijui wanazikia wapo sikuizi kama kwel bado wananyonga.
 
Nyuma ya gereza la isanga kuna makaburi ya wafungwa walio nyongwaga kitambo, ila hakuna makaburi mapya sijui wanazikia wapo sikuizi kama kwel bado wananyonga.
Anakupanga huyo, hawanyongi bila raisi kusaini hati ya hao wafungwa kutiwa kitanzi.
Sasa wewe hata ushahidi wa makaburi umeona bado unaamini uzi wa jamaa, namna gani we kijana.
 
Anakupanga huyo, hawanyongi bila raisi kusaini hati ya hao wafungwa kutiwa kitanzi.
Sasa wewe hata ushahidi wa makaburi umeona bado unaamini uzi wa jamaa, namna gani we kijana.
Mkuu usijidanganye
 
Back
Top Bottom