Usijifiche kama hujaridhika mweleze mpenzi wako "awajibike"


Hahahaaa Stata mzuka kwenye mapenzi kuna mengi, kuna mambo ambayo mnafanyiana kabla au hata wakati wa mechi, hayo ni ya kuyazingatia pia.
Kuhusu kufika kilele cha mlima kilimanjaro inategemea na si wote hufika, hilo linaanzia nilichokwambia kwn maandalizi ya kuupanda mlima.

Hiyo lugha ya kusema utamuona m. a. l. a.y.a ndio inawaogopesha wengi kusema. Hata km umejipinda hasa na hajafika ni haki yake kukwambia, labda maandalizi hayakuwa mazuri.
 
We umekalia kugegedwa tu. as if umekuja duniani kwa kazi hiyo tu.
 
Nimepotea njia nikajikuta kwenye jukwaa la wakubwa nilikuwa naenda zangu tuition ya kiswahili
 
Wengine hawafiki, hawafiki hata wafanyiwe nini...ni hawafiki tu... sasa nipoteze nguvu nyingi while workdone ni sifuri tu.
 
Wengine hawafiki, hawafiki hata wafanyiwe nini...ni hawafiki tu... sasa nipoteze nguvu nyingi while workdone ni sifuri tu.

Unamwacha kama alivyo. Maana km unafanya yote bado aaah kweli unamwangalia tu.
 
kumbe wakati mwingine mnaruhusu hawa wapita njia wenyewe?

Hivi vitu vipo kuna wa makazi maalum, wapita njia. Si umeona huko juu mtu kasema unamwacha km alivyo. Mwingine hukupangiwa naye atafundishwa mbele huko.
 
mawazo mazuri sana Bantu lady...

silence = death

Asante bro. Ila nina kesi nawewe hukunikaribisha kwenye party. Mimi si ndio wifi ningempokea Miss neddy. Sawa bhana.
 
Last edited by a moderator:
Asante bro. Ila nina kesi nawewe hukunikaribisha kwenye party. Mimi si ndio wifi ningempokea Miss neddy. Sawa bhana.

acha hasira sister... anagalau kwanza ungeniuliza hali yangu jamani!

iam dying sick here aisee!

sorry for everything sis...
 
acha hasira sister... anagalau kwanza ungeniuliza hali yangu jamani!

iam dying sick here aisee!

sorry for everything sis...

Oooh pole bro, basi yameisha nineshakusamehe.
Leo nilikuwa na my wii mbona hajaniambia kama unaumwa, itabidi umtambulishe basi.
Get well soon my lovely bro.
 
Oooh pole bro, basi yameisha nineshakusamehe.
Leo nilikuwa na my wii mbona hajaniambia kama unaumwa, itabidi umtambulishe basi.
Get well soon my lovely bro.

ahsante sis.... iam somehow fine...! are you sure kwamba ulikuwa nae?

how is she?
 


Dah aisee sijui nitajisikiaje ukiambia hujafika kunako na mie nimepga uno la kufa mtu km Fally Ipupa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…