Usikatae ndoa sababu ya kufuata mkumbo

Usikatae ndoa sababu ya kufuata mkumbo

Tupo
#Kataa Ndoa sio slogan ya kimasiharamasihara usiikurupukie kama hujaielewa inahusu nini, kuna wanachama wanajiunga na chama hiki bila kujua vigezo na masharti ya chama hiki.

-Wapo wanaodhani ni chama kinachokataza kuwa na mwanamke kabisa.
-Wapo wanaodhani chama hiki ni uasi wa sheria za kidini. Wakisahau hata bible imesema usioe 1 Wak 7
-Wapo wanaodhani tunakataa ndoa sababu hatuna hela, wasijue kuwa na hela sio kigezo cha kuoa eg. CR7, Na simbalamasimba dangote.
Na wengineo wengi. Niwatoe tu hayo mawazo, hizo zote ni myths tu.

Kataa ndoa ni misimamo na maamuzi kabambe yasiyotetereshwa kwa namna yoyote as long as unaelewa kuwa ndoa ni utapeli.

Kataa ndoa haiwahusu mliokwisha kuoa na kuolewa kisha wakaachana, nyie muanzishe tu chama chenu.
Rais wa kataa ndoa popote ulipo nawasilisha
Itaendelea...

Cc: Intelligent businessman | komasava | Mallerina et al
Tupo pamoja mkuu bado tunasukuma gurudumu.
 
Sijaona watu wapumbavu kama Wazee wa Kataa Ndoa ,yapo kama Mazombi yanahitaji muongozo na kusafishwa bongo zao kwa msafisho safi kabisa.
Mazombi ni wenye ndoa, na sababu ninazo, ukirudi ukanipa zako na mimi NITAKUPA ZANGU.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Kwanini upo kataa ndoa
Any experience you have?!!!!!
Experience is so simple in obtaining.
""We angalia yanayoendelea mtaani kwako"
1. Umetongozwa na waume za watu wangapi?
2. Umetembea na waume za watu wangapi?
3. Umekutana na wake za watu wangapi wana cheat..!!!

Jijibu then FANYA CONCLUSION MWENYEWE

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Back
Top Bottom