Usikatae ndoa sababu ya kufuata mkumbo

Usikatae ndoa sababu ya kufuata mkumbo

Foolish, stay stupid and revert in 40’s with regrets, Kuoa ni Jambo jema kama tutakaa kwenye misingi ya Imani vizuri!

Kukaa kwenye misingi ya Imani ni jambo gumu kuliko kitu chochote kwa vijana, imekuwa ngumu!

Mimi nimekuwa mtu wa dini sana, nataka nikueleze, ukiweza ishi bila ndoa, ni better kuliko kuoa!
Vizuri! waweza kuniambia kwanini mtume paulo anakazia sana wazo la kutooa 1 Wak 7:1...?
Kwanini Yesu kristo anasema mbinguni hamna kuoa wala kuolewa ni wana wa ulimwengu pekee ndio hufanya hivyo Luka 20:34-
 
Vizuri! waweza kuniambia kwanini mtume paulo anakazia sana wazo la kutooa 1 Wak 7:1...?
Kwanini Yesu kristo anasema mbinguni hamna kuoa wala kuolewa ni wana wa ulimwengu pekee ndio hufanya hivyo Luka 20:34-

Ushavurugwa wewe
 
Kataa Ndoa ni Jamii ya vijana wa hovyo na wasio na akili pia.

Nina hoja nyingi sana kusapoti kauli yangu ila kutokana na muda naona niishie hapo mpaka panapo majaaliwa niitakapoKuja na Uzi rasmi wa kusafisha bongo zao.
Well said
 
sijavurugwa soma Mathayo 19:10-12
Kataa ndoa ni maamuzi binafsi au hali ya kuzaliwa nayo mtu asiingiliwe.

Ni Nani kakwambia kila mtu humu ndani anaamini scriptures? I do, mimi naamini, ila sio watu wote wanaamini
 
Ni Nani kakwambia kila mtu humu ndani anaamini scriptures? I do, mimi naamini, ila sio watu wote wanaamini
Basi wasioamini scriptures waangalie hata jamii wapate experience, angalia kasi ya divorce.
 
Unajua maana ya ndoa wewe lakini...Au unadhan watu kuishi nyumba moja na walifunga ndoa ndio wapo kwenye ndoa.
Ndoa ina wajibu zake sasa Shoga ataweza kutekeleza wajibu wa ndoa kikamilifu kwa akili yako
Huo wajibu unatekelezeka kikamilifu bila shida, labda shida unayo wee.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Huwa nachekaga sana nikikuta watu wanavyo jadili ushoga, hawana wanalolijua, wanaendeshwa na mihemko tyuuh.



Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Bila kujali wanauongelea ushoga katika angle ipi, ukweli ni kwamba ushoga ni kinyume na maadili yetu na ni kitendo kinatakiwa kukemewa. Hakuna sababu yoyote ya kutetea ushoga.
 
Back
Top Bottom