Usikatae ndoa sababu ya kufuata mkumbo

Usikatae ndoa sababu ya kufuata mkumbo

Experience is so simple in obtaining.
""We angalia yanayoendelea mtaani kwako"
1. Umetongozwa na waume za watu wangapi?
2. Umetembea na waume za watu wangapi?
3. Umekutana na wake za watu wangapi wana cheat..!!!

Jijibu then FANYA CONCLUSION MWENYEWE

#YNWA
#YANGA_BINGWA
This makes sense
Kunywa soda mkuu😍
 

#Kataa Ndoa sio slogan ya kimasiharamasihara usiikurupukie kama hujaielewa inahusu nini, kuna wanachama wanajiunga na chama hiki bila kujua vigezo na masharti ya chama hiki.

Wapo wanaodhani ni chama kinachokataza kuwa na mwanamke kabisa.

Wapo wanaodhani chama hiki ni uasi wa sheria za kidini. Wakisahau hata bible imesema usioe 1 Wak 7, Luka 20:34-36

Wapo wanaodhani tunakataa ndoa sababu hatuna hela, wasijue kuwa na hela sio kigezo cha kuoa eg. CR7, Na simbalamasimba dangote.
Na wengineo wengi. Niwatoe tu hayo mawazo, hizo zote ni myths tu.


Kataa ndoa ni misimamo na maamuzi kabambe yasiyotetereshwa kwa namna yoyote as long as unaelewa kuwa ndoa ni utapeli.

Kataa ndoa haiwahusu mliokwisha kuoa na kuolewa kisha wakaachana, nyie muanzishe tu chama chenu nasuggest mkiite Chama cha walioshindwa ndoa.
Rais wa kataa ndoa popote ulipo nawasilisha​
Itaendelea...

Cc: Intelligent businessman | komasava | Mallerina et al

Jibu haya maswali:

1. We umeoa?
2. Una umri gani?
3. Kama umeoa una miaka mingapi na ndoa?
4. Jinsia yako?
 
Keyboard warriors 😂alafu ikifika unatomber mikono inajaa sperm tu sperm zinaruka kwenye shuka fwaaa😂
 
Love life basi
Naona na kushuhudia ndoa nyingi zinavyozorotesha amani za watu hasa wanaume, wangapi tumewaona humu wamefungua nyuzi za kuilaani ndoa kwa waliyopitia?

ingia uzi wa kimasihara uone wake za watu wanavyogawa, angalia mtaani kwako.

achilia mbali ugawaji wa mbususu, mchakato mzima wa kuoa umekaa kitapeli kuanzia napotongoza dem ananifanya mzazi wake nimhudumie tena matatizo yake anahamishia kwangu wakati huo akidai 50/50 na hanihudumii mimi.

Angalia wanaume wengi wenye masononeko na michepuko ni wale wanaonyimwa unyumba na wake zao.

Mnajenga pamoja kuna wengine maboya hadi wanasomesha mke, akishajipa ni kulizwa tu.

Ndoa ni utapeli kuanzia kuoa hadi pale ndoa inapovunjwa bado ni utapeli na matapeli ni wanawake wanawatapeli wanaume kifedha,kihisia,kimwili,kiroho na kila namna.
 
Kataa ndoa kwa 100% wameoa akili kumkichwa.....sasa we jichanganye 😃
 
Jibu haya maswali:

1. We umeoa?
2. Una umri gani?
3. Kama umeoa una miaka mingapi na ndoa?
4. Jinsia yako?
hapo nakujibu moja tu
Privacy policy za Jamiiforums zinanikataza kutoa taarifa binafsi.

4. Me
 
hapo nakujibu moja tu
Privacy policy za Jamiiforums zinanikataza kutoa taarifa binafsi.

4. Me

Foolish, stay stupid and revert in 40’s with regrets, Kuoa ni Jambo jema kama tutakaa kwenye misingi ya Imani vizuri!

Kukaa kwenye misingi ya Imani ni jambo gumu kuliko kitu chochote kwa vijana, imekuwa ngumu!

Mimi nimekuwa mtu wa dini sana, nataka nikueleze, ukiweza ishi bila ndoa, ni better kuliko kuoa!
 
Back
Top Bottom