Usikatae ndoa sababu ya kufuata mkumbo

Tupo
Tupo pamoja mkuu bado tunasukuma gurudumu.
 
Sijaona watu wapumbavu kama Wazee wa Kataa Ndoa ,yapo kama Mazombi yanahitaji muongozo na kusafishwa bongo zao kwa msafisho safi kabisa.
Mazombi ni wenye ndoa, na sababu ninazo, ukirudi ukanipa zako na mimi NITAKUPA ZANGU.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Kwanini upo kataa ndoa
Any experience you have?!!!!!
Experience is so simple in obtaining.
""We angalia yanayoendelea mtaani kwako"
1. Umetongozwa na waume za watu wangapi?
2. Umetembea na waume za watu wangapi?
3. Umekutana na wake za watu wangapi wana cheat..!!!

Jijibu then FANYA CONCLUSION MWENYEWE

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…