Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Leo usiku anaachia ngoma mbili balaa kalitangaza instaumezinyakia wapi hizi aiseee
Ndio mbili Kali sanambili tena😳
Hongera, anakulipa kwa hii promo?Harmonize katangaza balaa usiku wa Leo Kwa mashabiki zake wanaenda kufurahi kwakua anaenda kuachia ngoma Kali sana mbili harmonize ndio mfalme wa bongo fleva ukibisha download ngoma zake halafu Kaa home sikiliza
Harmonize katangaza balaa usiku wa Leo Kwa mashabiki zake wanaenda kufurahi kwakua anaenda kuachia ngoma Kali sana mbili harmonize ndio mfalme wa bongo fleva ukibisha download ngoma zake halafu Kaa home msikilize
Hanilipi Mimi pesa ninayo kwani shida niniHongera, anakulipa kwa hii promo?
Kila mtu pesa anayo. Hata 100 ni pesa pia. Nilitaka kujua kama analipa kwa kila anaempigia promoHanilipi Mimi pesa ninayo kwani shida nini
Unataka kujua wewe kama naniKila mtu pesa anayo. Hata 100 ni pesa pia. Nilitaka kujua kama analipa kwa kila anaempigia promo
Wewe umekuja kutuandikia au kututangazaia hapa kama nan?Unataka kujua wewe kama nani
SijuiWewe umekuja kutuandikia au kututangazaia hapa kama nan?
KaushaSijui
Title :CRDB 😂Harmonize jeshi katangaza balaa usiku wa Leo Kwa mashabiki zake wanaenda kufurahi kwakua anaenda kuachia ngoma Kali sana mbili harmonize ndio mfalme wa bongo fleva ukibisha download ngoma zake halafu Kaa home sikiliza
Umasikini mbaya sanaKausha
Hamna bhanaTitle :CRDB 😂
Subiri mawe ya leo usikuYule wa kubwabwaja anaimba maneno mengi kuliko wimbo, hovyo kabisa. Ameaxha talent pembeni kaanza kulazimisha vitu anaimba imba ilimrad asipoe