Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #41
NdioJuzi kaachia Sherehe,leo kaachia Ujana kwa hiyo kuna nyingine mbili..........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioJuzi kaachia Sherehe,leo kaachia Ujana kwa hiyo kuna nyingine mbili..........
komasava mkuuSijui
🤣🤣🤣🤣Wewe umekuja kutuandikia au kututangazaia hapa kama nan?
😅😅😅😅Mwambie awalipe CRDB deni lao Kwanza ndo aingie studio kuachia nyimbo
Yu de bast my medulaHarmonize jeshi katangaza balaa usiku wa Leo Kwa mashabiki zake wanaenda kufurahi kwakua anaenda kuachia ngoma Kali sana mbili harmonize ndio mfalme wa bongo fleva ukibisha download ngoma zake halafu Kaa home sikiliza
Habari za kilingeni blaza..... ndagu la kibaha bado lipo fresh???Basi subiri aziachie usiku
HahahaYu de bast my medula
Pesa kashalipa mda tu ilikua kiki ileBora iwe kali apate pesa akalipe deni lake
CRDB wafanye kiki.........? Ili iweje taasisi kubwa inajulikana Tz nzima......Pesa kashalipa mda tu ilikua kiki ile
NimeshangaaCRDB wafanye kiki.........? Ili iweje taasisi kubwa inajulikana Tz nzima......
Kiki tu hiyo wewe endelea kufuatilia umbeaCRDB wafanye kiki.........? Ili iweje taasisi kubwa inajulikana Tz nzima......
Endelea kushangaaNimeshangaa
SawaEndelea kushangaa
Hivi inajua nguvu waliyo itumia CRDB kujenga reputation ya kampuni yao........? Na hii ni official au hamjaziona links............Kiki tu hiyo wewe endelea kufuatilia umbea
Hamna kitu kama hicho endelea kufuatilia umbea huna kazi ya kufanyaHivi inajua nguvu waliyo itumia CRDB kujenga reputation ya kampuni yao........? Na hii ni official au hamjaziona links............
Kima kweli nishawahi kuja kula kwenu.......... mnapayuka payuka mnazani CRDB kampuni ya upatu.Hamna kitu kama hicho endelea kufuatilia umbea huna kazi ya kufanya
Unajichekesha kima inawezekana unalala chumba kirefu kwa shemeji.Hujielewi Wewe umasikini unakutesa ndio maana unapenda kushabikia umbea haya nenda kalipe wewe ilo deni kama lipo🤣🤣🤣
Sasa wewe upo kufanya nini kwenye huu uzi kama si umbea au unawashwa.Umewekewa link Documents,saini mihuri au ulitaka uwekewe nini,yaani unaifananisha CRDB na kiki za kipuuzi, kampuni ina reputation ya zaidi ya miaka 30,halafu ifanye utoto kama huo.Endelea kufuatilia umbea tu ulivyozuzu unajua kweli jeshi anadaiwa 🤣🤣🤣🤣🤣