Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Akitulia hua anaimba vizuri ila akiimba ili kushindana huwa anabolonga mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo anaenda kuachia mawe makali sanaaaAkitulia hua anaimba vizuri ila akiimba ili kushindana huwa anabolonga mno.
Wewe ndio crdbMwambie awalipe CRDB deni lao Kwanza ndo aingie studio kuachia nyimbo
Mchizi ganikwanza amezipata salamu za mchizi wa uk?
Umeyasikia??Leo anaenda kuachia mawe makali sanaaa
Ingia insta Kuna kionjoUmeyasikia??
Sina account huko ndgu.Ingia insta Kuna kionjo
Basi subiri aziachie usikuSina account huko ndgu.
Pesa ipoMabaunsa wa crdb watakuja kumtwaa soon
Zipi hizo mkuuDah hatari sna jeshi ni hatari mno ila mbona zile ngoma ulisema utanipatia kwa kuzipandisha hapa jamvini ila ukaingia mitini
Kuna zile ngoma ulisema ni za huyu harmonize ukasema ni nzuri mno basi Mimi kwakuwa nilikiwa sizijui nikaomba basi unipandishie katika uzi ule na Mimi nipate kuzisikia na pia niweze kuwasikilizisha marafiki zangu hapa kijijini kakaZipi hizo mkuu
Mzee umeagan na nyonga!!Harmonize jeshi katangaza balaa usiku wa Leo Kwa mashabiki zake wanaenda kufurahi kwakua anaenda kuachia ngoma Kali sana mbili harmonize ndio mfalme wa bongo fleva ukibisha download ngoma zake halafu Kaa home sikiliza
Sijuikumbe bado huyu chimutu anaimba😕😕simsikii kabisa
nimesikia habari yake kua anadaiwa balaa😳😳😳
namsikia bosiwake tuu wazamani anapasua anga anasumbua dunia nawimbo wake wa niihaoo/komasava