Usiku wa Mabingwa Afrika:: Kijiwe Cha kusubiri matokeo ya mechi za mwisho esp Al ahly Vs Al hilal

Usiku wa Mabingwa Afrika:: Kijiwe Cha kusubiri matokeo ya mechi za mwisho esp Al ahly Vs Al hilal

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Tupo kijiweni kwetu tuendelee kupeana update za ligi ya Mabingwa afrika,,kwa mechi za Leo jumamos na Jumapil alfajiri,tujue Nani ataongoza makundi na vilevile kujua Nani atasonga mbele Kati ya Al ahal🇪🇬 vs Al hilal🇸🇩

Karibuni
 
Utopolo Uzi huu Hauwahusu...!


Uzi ni Maalum Kwa Wale Mashabiki Ambao timu Zao Zinashiriki Ligi Ya Mabingwa CAF 2023...!

Utopolo Mujitahidi Mkae Mbali... !

Majina Ya Wachezaji utakayoyasikia hapa ni Shalulile,Chama,Baleke n.k.

Sasa Muda Gani utachangia mada Wakati Mayele Na Musonda hapa hawatatajwa kbs..! Tunaomba tupisheni..! Tutawaita Muda Wenu ukifika!!
 
Utopolo Uzi huu Hauwahusu...!


Uzi ni Maalum Kwa Wale Mashabiki Ambao timu Zao Zinashiriki Ligi Ya Mabingwa CAF 2023...!

Utopolo Mujitahidi Mkae Mbali... !

Majina Ya Wachezaji utakayoyasikia hapa ni Shalulile,Chama,Baleke n.k.

Sasa Muda Gani utachangia mada Wakati Mayele Na Musonda hapa hawatatajwa kbs..! Tunaomba tupisheni..! Tutawaita Muda Wenu ukifika!!
Nimechekaaa km chiziii yaan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utopolo Uzi huu Hauwahusu...!


Uzi ni Maalum Kwa Wale Mashabiki Ambao timu Zao Zinashiriki Ligi Ya Mabingwa CAF 2023...!

Utopolo Mujitahidi Mkae Mbali... !

Majina Ya Wachezaji utakayoyasikia hapa ni Shalulile,Chama,Baleke n.k.

Sasa Muda Gani utachangia mada Wakati Mayele Na Musonda hapa hawatatajwa kbs..! Tunaomba tupisheni..! Tutawaita Muda Wenu ukifika!!
Ulimbukeni na ushamba ni mzigo mkubwa sana
 
Utopolo Uzi huu Hauwahusu...!


Uzi ni Maalum Kwa Wale Mashabiki Ambao timu Zao Zinashiriki Ligi Ya Mabingwa CAF 2023...!

Utopolo Mujitahidi Mkae Mbali... !

Majina Ya Wachezaji utakayoyasikia hapa ni Shalulile,Chama,Baleke n.k.

Sasa Muda Gani utachangia mada Wakati Mayele Na Musonda hapa hawatatajwa kbs..! Tunaomba tupisheni..! Tutawaita Muda Wenu ukifika!!
Umejiandaa lakini kukabiliana na mapovu ya wana utopolo [emoji23]
 
Kila laheri Al Hilal na Ibenge japo mpira una matokeo katili.
 
Back
Top Bottom