Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
A hilal ndo basi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani maana wasudani wameweka pesa nyingi kwenye hiyo timu, alafu hata robo waikose.Ibenge apewe muda zaidi. Mwendo kashaumaliza
Nilisikia tetesi watamfukuza akishindwa.Ibenge apewe muda zaidi. Mwendo kashaumaliza
Unajipooza baada ya utatu bila wa jana?Utopolo Uzi huu Hauwahusu...!
Uzi ni Maalum Kwa Wale Mashabiki Ambao timu Zao Zinashiriki Ligi Ya Mabingwa CAF 2023...!
Utopolo Mujitahidi Mkae Mbali... !
Majina Ya Wachezaji utakayoyasikia hapa ni Shalulile,Chama,Baleke n.k.
Sasa Muda Gani utachangia mada Wakati Mayele Na Musonda hapa hawatatajwa kbs..! Tunaomba tupisheni..! Tutawaita Muda Wenu ukifika!!
Makabi ni Mbovu?Si umeona goli walilotoka kukosa hapo?
Nasemaga hii timu ikipata kama striker mmoja mzuri na middle mmoja wanaweza kusumbua sana kwenye mechi za CAF maana kwenye ulinzi wako vizuri.
Watakuwa wanakosea sana, msimu mmoja hautoshi kumpima kocha. Waache ukolo😂😂Nilisikia tetesi watamfukuza akishindwa.
Azam wamchukue..
Hata Samia aliweka pesa kwa stars. Mpira ni mbinu na mlivyojipanga na wala sio hamasa ya pesa na media kama mnavyofanya hapa BongoSidhani maana wasudani wameweka pesa nyingi kwenye hiyo timu, alafu hata robo waikose.
Ile penalty sielewi walikosaje. Al Hilal walienda kuongea na kipa, kuna mchezaji wa Mamelodi alionekana kumshika bega mpiga penalty kama kumpa moyo ila nahisi hakukuwa na communication nzuri apige wapi na kipa aruke wapi.Ile penalty waliyokosa dakika ya 92 dhidi ya Mamelodi wataijutia msimu mzima
Mapepo ya kiarabu yakatibua mipango
Sizungumzii hamasa, nazungumzia uwekezaji kwenye timu ya Al hilal, wana wachezaji wa bei ghali sanaHata Samia aliweka pesa kwa stars. Mpira ni mbinu na mlivyojipanga na wala sio hamasa ya pesa na media kama mnavyofanya hapa Bongo
Siwajui wachezaji wao mmoja mmoja, nasemea kwa uchezaji wa timu nzima hawana mfungaji. Ni timu inayokuwaga inastruggle kutengeneza chance za magoli.Makabi ni Mbovu?
Huo utabiri sio jambo la kijivunia. Ni sawa na mtu anakupaka mafuta makalio halafu unatabiri anataka kukushogaNilisema dakika chache zilizopita, al ahly wanashinda mapema tu na kweli wamepata goli dk ya 25. Leo al hilal wanapigwa 2 bila.
Ni kweli. Huu mchezo usingefika huku wamejitakia wenyewe.Ile penalty waliyokosa dakika ya 92 dhidi ya Mamelodi wataijutia msimu mzima
Mapepo ya kiarabu yakatibua mipango
Alhilal asipokaza anatoka.., maana mpaka mda huu half time ashakula chuma kimojaTupo kijiweni kwetu tuendelee kupeana update za ligi ya Mabingwa afrika,,kwa mechi za Leo jumamos na Jumapil alfajiri,tujue Nani ataongoza makundi na vilevile kujua Nani atasonga mbele Kati ya Al ahal[emoji1093] vs Al hilal[emoji1232]
Karibuni
You miss the PointHata Samia aliweka pesa kwa stars. Mpira ni mbinu na mlivyojipanga na wala sio hamasa ya pesa na media kama mnavyofanya hapa Bongo