Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mashambulizi haya watabana ila wataachia na wakiachia mvua ya magoli inaweza kuwafuata. Ingewasaidia at least wangekuwa na uwezo wa kutisha pale mbele.Al ahly msimu huu wabovu, hawana tofauti na Utopolo
Hao Al hilal nawaangalia hapa wanacheza mpira wa kitoto sana, ni kama hawataki kufuzu,, hawatoboi leoKwa mashambulizi haya watabana ila wataachia na wakiachia mvua ya magoli inaweza kuwafuata. Ingewasaidia at least wangekuwa na uwezo wa kutisha pale mbele.
Mamelodi walijaribu kuwabeba wakashindwa kubebeka. Ni timu fulani ya ajabu ila nataka washinde.Hao Al hilal nawaangalia hapa wanacheza mpira wa kitoto sana, ni kama hawataki kufuzu,, hawatoboi leo
Una tafuta disappointment ya bure mkuu, wanacheza kwa uoga mno al hilal kwa vyovyote hawaendi popoteMamelodi walijaribu kuwabeba wakashindwa kubebeka. Ni timu fulani ya ajabu ila nataka washinde.
Lakini Hii ni CL Sio Shirikisho Ujue...!Al ahly msimu huu wabovu, hawana tofauti na Utopolo
Jamaa wapo down mnoo hawaonyeshi kabisa kama mechi wanaitakaHilal safari Yao imeishia hapa.
Ndiyo wanavyochezaga hivyoJamaa wapo down mnoo hawaonyeshi kabisa kama mechi wanaitaka
Basi wahesabu tu maumivu maana kwenye situation kama hizi mwarabu hakuachiNdiyo wanavyochezaga hivyo
Si umeona goli walilotoka kukosa hapo?Basi wahesabu tu maumivu maana kwenye situation kama hizi mwarabu hakuachi
Nilisha hesabu chuma cha piliSi umeona goli walilotoka kukosa hapo?