Usiku wa Mabingwa Afrika:: Kijiwe Cha kusubiri matokeo ya mechi za mwisho esp Al ahly Vs Al hilal

Al Hilal wapate goli mapema tuone figisu za waarabu zilivyo
 
Hi Miqson Yupo Wapi? Tangu Nimeanza Kuangalia Mwanzo Wa Mashindano, Sijawahi kumuona
 
Ibenge hana lake anatimu yenye uzembe wa kiwango Cha juu
 
Uwekezaji Aliokuambia Jamaa Hapo Juu, ni Wachezaji na Coach Wenye Viwango Vya Kimataifa, Sasa Kufananisha na Haya Maigizo Ya kwetu sijui Kununua Magoli na Kuingia Bure Uwanjani, Hiyo Pekee Haitoshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…