Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #101
Tayla mwepesi mnoo, Bora hata ayra star.Hapo Tayla lazima akimbize, akina Zuchu huku kwetu wanaishia kutuimbia chapati na ujinga mwingine.
Hapo Taylor Swift anaenda kujiongezea tena tuzo kabatini, Miley Cyrus ngoma yake ya Flowers na album ya Endless vacation haitamuangusha, Dua lipa,SZA,Olivia na Nicki lazima waondoke na tuzo!
Sawa tupo hapa hapa Ila duuuh Bongo hata Zuchu?Bado ugawaji wa tuzo, nita habarisha kila kitu
Sisi tunaishi ndoto ya kuwa wa Nigeria, Wa Nigeria wanaishi ndoto ya kuwa Wamarekani.Kwamba sisi tuna ishi ndoto, Afu wao wapo kwenye uhalisia
olorade mi asake ajaja bado mkuuOBO is all ready at the Grammys
View attachment 2894221
Mi Wana nifurahisha ile hustle spirit, wako tayari kuweka juhudi ili tu waonekane mbele.Sisi tunaishi ndoto ya kuwa wa Nigeria, Wa Nigeria wanaishi ndoto ya kuwa Wamarekani.
Nimemuona star wao mmoja kavaa headband ya "Thug Life". 🤣🤣🤣
aaah leo hulali mkuu una kazi ya kuwa millard ayo kwa mda😂😂Bado ugawaji wa tuzo, nita habarisha kila kitu
Kwa ambao Hawa angalii kwenye DStv, Kuna channel yao you tube.olorade mi asake ajaja bado mkuu
Mi team davido bhana😆, nime zisubiri Sana hizi tuzo🤣🤣aaah leo hulali mkuu una kazi ya kuwa millard ayo kwa mda😂😂
Kwanini sio Burna boy?Mi team davido bhana😆, nime zisubiri Sana hizi tuzo🤣🤣
We unafikiri kwa nini Remmy Ongala katika wimbo wake "Kifo" kamfagilia sana Mbaraka Mwinshehe? Remmy anakwambia hata Ujerumani walipiga rekodi za Mbaraka Mwinshehe. Hata Kinshasa Zaire Franco Tabu Ley wanamjua Mbaraka Mwinshehe. Wacongo wameanza kutufuatlia kitambo.Nasikia genre ya Soukos Ile ya kanda bongoman waanzilishi ni wabongo Ila ilichotwa ikapelekwa Congo, Sisi hapa tuna vigoma vinaitwa Kibao Kata vile vinapigwa kwenye Magari wale wadada wanachezesha makalio kwenye Coaster Ila Sisi ubaya hatupendi vya kwetu, Singeli imepigwa Vita weee mpaka siku hio nikashangaa kwenye redio kuna Mhindi mmoja anasema Muziki wa Bongo ambao haupo popote ni huu wa Singeli kibao kata midundo yake IPO hapa hapa TU maana Ile midundo ya kibao Kata ni mchanganyo wa madufu fulani na vigoma amazing sasa ikibuniwa midundo yetu mboni hao jamaa tinawaondoa kwenye reli kabisa, issue iliyopo ni waandaaji Muziki kubuni midundo ambayo ni unique kwetu tu
Content creativity matters,
1 magic channel 103, 103 King Kong IIIChannel gani wataonyesha kwenye Azam,Dstv au StarTimes?
😂😂wizkid hayupo kwenye kipengele chochote mkuuMi team davido bhana😆, nime zisubiri Sana hizi tuzo🤣🤣
Hayupo😆🤣🤣😂😂wizkid hayupo kwenye kipengele chochote mkuu
nimelia sana kaka😩😩😩Hayupo😆🤣🤣
Una nirusha Stimu, subiri series za shada.nimelia sana kaka😩😩😩
Nimefanya nao kazi hao jamaa nawajua swagger zao hizo.Mi Wana nifurahisha ile hustle spirit, wako tayari kuweka juhudi ili tu waonekane mbele.
Sisi uki julikana kidogo, ni kutafuta kina mwajuma uwavue sketi🤣🤣
Kame shindaHapo Tayla lazima akimbize, akina Zuchu huku kwetu wanaishia kutuimbia chapati na ujinga mwingine.
Hapo Taylor Swift anaenda kujiongezea tena tuzo kabatini, Miley Cyrus ngoma yake ya Flowers na album ya Endless vacation haitamuangusha, Dua lipa,SZA,Olivia na Nicki lazima waondoke na tuzo!