Usimdharau mtu, jifunze kupitia Historia ya maisha ya Kevin de Bruyne

Tena mshikaji wako wa karibu, mliye hustle nae.
[emoji117]Ila mwamba ali kazana, maana Ali kataliwa mpaka na timu aisee.
Yaan hapo alijiona ana nuksi htr ,ila maneno ya kocha wake na sapoti kocha aliyompa ndio ilimnyanyua nakujiona bd anaweza na akaamua kupambanaa na ss anakulaa matundaa .

Kwenye maishà ndivyo ilivyo Kuna watakaokukatisha Tamaa na kuona hakuna unachofanya Kwa wkt unajipambaniaa ila ukifanikiwa ndio wanajua kumbe alikuwa serias na anachokifanyaa..
 
apambane tu na haliyake na amshukuru Mungu kamwepusha nn

Kjna mizigo form 3 yalianza kuntaman nkawa. Na msimamo shule kwanza

KKujakusikiayametembea na wachezaji mashuuuri wa enzihizo Simba na yanga....
Wale wachezaji 4 wametangulia.kwahaki

.sasa hioo list ya bfriends aliyowapanga shuleni tulizika mmoja mmoja kunavitu ukikosa .mshukuru Allah....
 
I mean no malice to nobody, ila best kawa hi story unge present kwa uandishi upi ??
 
Amshukuru Sana kocha wa Wolfsburg ya ujerumani, yule mzee ali ona kitu.
👉 Tujifunze kuona dhahabu ndani ya matope, na sio matope ndaniwya dhahabu.
 
Kaka sija Elewa kitu, huyo kijana wa kiume au kike??.
👉Na hiyo mizigo vipi???
 
Wanaume wajinga na dhaifu kihisia ndio wanaweza kuvurugwa kiakilo na kimaisha kisa demu.

Pamoja na hayo mafanikio ya Kelvin ni wazi anatakiwa Kuajiri mwanasaikolojia kabisa Kwa sababu anaweza kuvjrugika tena kisa mwanamke.

Sina Cha kujifinza hapo.
 
Wanaume wajinga na dhaifu kihisia ndio wanaweza kuvurugwa kiakilo na kimaisha kisa demu.

Pamoja na hayo mafanikio ya Kelvin ni wazi anatakiwa Kuajiri mwanasaikolojia kabisa Kwa sababu anaweza kuvjrugika tena kisa mwanamke.

Sina Cha kujifinza hapo.
Asha pona kitambo, bro Afu udhaifu anao kila mtu.
👉Ila kila mtu ana ubivu sehemu fulani, so don't act as u are perfect
 
mkuu umeandika kwa uchungu kama vile wewe ndo uliyeachwa
 
hamna mchezaji apo ni takataka tu kama takataka zingine ni vile tu ana cheza Epl sifa zinakua nyingi ila courtois ni moja kati ya makipa bora waliopita kwenye hii Dunia ila kevin huwezi kumuweka kwenye list ya wachezaji bora waliopita kwenye hii Dunia ata tu kwenye viungo bora watatu wa EPL wa nyakati zote huwezi mtaja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…