Usimdharau mtu, jifunze kupitia Historia ya maisha ya Kevin de Bruyne

Ofcourse game za Chelsea & Madrid KDB hua anakamia sana!

Back to topic
Courtis hakumzunguka jamaa sema ni demu baada ya kumwacha KDB akaenda kwa courtis

KDB harakati zote anazifanya kwa Chelsea na Madrid ni ushamba kwa sababu kwa wakati huo ni kwel hakua na kiwango Cha kucheza Chelsea pia kuonesha hasira kwa courtis ni ishara kwamba bado anampenda yule demu

Mtazamo huru!
Hivi kuna ulazima wowote wa kutaka kubaki na mtu na unajijua kbs una hali ngumu? Yaan upo broke unataka binti wa watu akuvumilie mpaka ujipate! Huyo binti alikua sahihi sana kumove on kauskiliza moyo wake

Binafsi nikipata fursa ya vijana wenzangu wa kiume ntawaambia focus kujijenga kiuchumi kwanza ukishajipata vzr ndo uanze harakati za kusaka wachumba, ukitanguliza mapenzi utakwama na uanze kuwaweka wadada wa watu kwenye historia yako
 
Maybe, acha niendelee na yangu kwa Sasa.
πŸ‘‰Namnukuu mwenyekiti wa umoja was ma future billionaire to be Mpaji Mungu ana sema focus on your map for now.
😁😁😁Usitaje jina langu mbele ya Nifah huyu home girl wangu asije akaenda mwambia mamangu mm ni kataa ndoa jf
 
Una umwa wewe si bureπŸ™„πŸ™„, ma legend wa mpira Wana mu heshimu.
πŸ‘‰ Wewe ambaye hata team ya Kijiji chenu haumo, una toa trash ka ume lewaπŸ˜†
 
Binafsi nikipata fursa ya vijana wenzangu wa kiume ntawaambia focus kujijenga kiuchumi kwanza ukishajipata vzr ndo uanze harakati za kusaka wachumba, ukitanguliza mapenzi utakwama na uanze kuwaweka wadada wa watu kwenye historia yako
Nime penda hii pharagraph ya mwisho, hayo mengine ni pumba za kitajiriπŸ˜ƒπŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…