bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
WA nje sababu ni mgeni hata nae akikuweka ndani atakuwa sawa na huyo wa ndani.N
Ndio Waume zetu mtuonyeshe care ndani, hadi tukinai hizo za nje.
Ukute mume ndani anafoka foka na kununa nuna, huko nje workmate full care na masmile.....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sio katikati ya mapaja?
Mtego wa kuvunja ndoa,utaelewa ikishavunjika.N
Ndio Waume zetu mtuonyeshe care ndani, hadi tukinai hizo za nje.
Ukute mume ndani anafoka foka na kununa nuna, huko nje workmate full care na masmile.....
uwingi wa kisses huo mkuuvisses au kisses baby mama
Hapana naona huwajui wanawake wewe vizuri! Mwanamke ni mtu wa hisia sana ukionesha kumjali kidogo tu lazima akuzawadie tunda..ndo akili zao zilivo.The fear of unknown.
Mkuu tatizo la vijana wengi ni kuamini WANAWAKE HAWAJUI WANACHOKIFANYA.
Vijana acheni kujipa sababu za kuhalalisha UMALAYA wao, Ukiona MKEO amesaidiwa na mtu kisha akaachia Uchi. Basi ujue ulioa Malaya tokea awali. Swala la Mkeo kuliwa nje halina uhusiano wowote na wewe wala aliyemsaidia. Ni yeye na Umalaya wake FULL STOP.
Hakuna sababu yeyote ya MSINGI ambayo itafanya mke achepuke tofauti na UMALAYA wake mwenyewe.
Always focus na issues zako za msingi kupambania future yako usije kuishi kwa mateso uzeeni.
Be a Man.
sisi ni pipo...TAYARI
Nimeiosoma kwa umakini. Ni thawabu kumjali mwanamke asiyejaliwa na mumewe.aisome Ngariba1 π
Ukiingia mgahawani ukaitisha chakula ukala ukashiba, utaendelea kukaa tena hapo hapo mpaka utakaposikia njaa? Si Waondoka kwenda kufanya shughuli nyingine?Na wanaume Ndio hupitia huo mwanya na wanafanya kwa muda tu sio milele ili apate k
ππNimeiosoma kwa umakini. Ni thawabu kumjali mwanamke asiyejaliwa na mumewe.
Ujumbe umetufikia sawasawaKama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.
Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.
Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi
Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.
Mbalance shobo na wake za watu.
Nakupa mambo mawiliKama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.
Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.
Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi
Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.
Mbalance shobo na wake za watu.
Muulize mzee wakutolewa jalalaniKabla sijaendelea kucomment naomba nijue maana ya neno Tashwishi...
Thread nzito. Yenye ujumbe mzito ila kwa maneno machache.Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.
Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.
Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi
Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.
Mbalance shobo na wake za watu.