Usimpe nafasi ya pili mwanamke aliyekusaliti: Soma yaliyonikuta unaweza jifunza kitu

Hongera inaonekana ulijiunga(2014) ukiwa unamiaka 17 tuπŸ˜’πŸ˜’.
Hii chai tupu..
Me nimeanza kuisikia jf 2012 nikiwa form two na nimejiunga rasmi jf 2015 nikiwa form V nikiwa na miaka 18 baada ya kupata mbala tecno C8 hakuna cha ajabu zaidi ya ushamba wako wa wewe kuchelewa kuijua jf.
 
Me nimeanza kuisikia jf 2012 nikiwa form two na nimejiunga rasmi jf 2015 nikiwa form V nikiwa na miaka 18 baada ya kupata mbala tecno C8 hakuna cha ajabu zaidi ya ushamba wako wa wewe kuchelewa kuijua jf.
Tulia ww kiaz! Acha kukurupuka hujui kilichokuwa kinalengwa.
Mtu ametekenywa kidogo tu! Ghalfa umeshataja hadi umri wako plus kidato iliuonekane mjanja kumbe kiazπŸ˜‚
Mm Jf nimeijua nikiwa na 12 ila huwez kuniona nikitaja ni mwaka gani wala nini! Ww endelea kukurupuka.....
 
Hamna, ww mzee baada ya kuona nimejiunga jf 2014 ukaona kuwa na 17yrs isingekua rahis kwa mimi kuijua jf.
 
Wewe kima umepata simu na kuijulia jf ukubwani huna lolote la kusema zaidi ya kuonesha kichwani kwako ni mweupe.....kwani kutaja umri humu ndani kuna shida ????kwa taarifa yako ningekuwa na acces ya simu o level basi ningejiunga form 2 nikiwa na miaka 16.
 
Hamna, ww mzee baada ya kuona nimejiunga jf 2014 ukaona kuwa na 17yrs isingekua rahis kwa mimi kuijua jf.
Tulia hujui kitu..
Ww kiaz nakuonea huruma.
 
HahHah
 
Mwnamke haachiw kidogkiidogp. Landa kma unajitakia kisurkari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…