The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
Mimi mbona nilijiunga jf nikiwa na 13 years old mwaka 2014 ila kwenye I'd nyingineHongera inaonekana ulijiunga(2014) ukiwa unamiaka 17 tu😒😒.
Hii chai tupu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mbona nilijiunga jf nikiwa na 13 years old mwaka 2014 ila kwenye I'd nyingineHongera inaonekana ulijiunga(2014) ukiwa unamiaka 17 tu😒😒.
Hii chai tupu..
Huyo popoma.Mimi mbona nilijiunga jf nikiwa na 13 years old mwaka 2014 ila kwenye I'd nyingine
Wengine wameanza kumiliki simu wakiwa watu wazima ndio maana anashnagaa sanaHuyo popoma.
Me nimeanza kuisikia jf 2012 nikiwa form two na nimejiunga rasmi jf 2015 nikiwa form V nikiwa na miaka 18 baada ya kupata mbala tecno C8 hakuna cha ajabu zaidi ya ushamba wako wa wewe kuchelewa kuijua jf.Hongera inaonekana ulijiunga(2014) ukiwa unamiaka 17 tu😒😒.
Hii chai tupu..
Tulia ww kiaz! Acha kukurupuka hujui kilichokuwa kinalengwa.Me nimeanza kuisikia jf 2012 nikiwa form two na nimejiunga rasmi jf 2015 nikiwa form V nikiwa na miaka 18 baada ya kupata mbala tecno C8 hakuna cha ajabu zaidi ya ushamba wako wa wewe kuchelewa kuijua jf.
Mmmh nani weweMsamehe tu einadii
Hamna, ww mzee baada ya kuona nimejiunga jf 2014 ukaona kuwa na 17yrs isingekua rahis kwa mimi kuijua jf.Tulia ww kiaz! Acha kukurupuka hujui kilichokuwa kinalengwa.
Mtu ametekenywa kidogo tu! Ghalfa umeshataja hadi umri wako plus kidato iliuonekane mjanja kumbe kiaz😂
Mm Jf nimeijua nikiwa na 12 ila huwez kuniona nikitaja ni mwaka gani wala nini! Ww endelea kukurupuka.....
Wewe kima umepata simu na kuijulia jf ukubwani huna lolote la kusema zaidi ya kuonesha kichwani kwako ni mweupe.....kwani kutaja umri humu ndani kuna shida ????kwa taarifa yako ningekuwa na acces ya simu o level basi ningejiunga form 2 nikiwa na miaka 16.Tulia ww kiaz! Acha kukurupuka hujui kilichokuwa kinalengwa.
Mtu ametekenywa kidogo tu! Ghalfa umeshataja hadi umri wako plus kidato iliuonekane mjanja kumbe kiaz😂
Mm Jf nimeijua nikiwa na 12 ila huwez kuniona nikitaja ni mwaka gani wala nini! Ww endelea kukurupuka.....
Mjinga tu huyu achana nae.Hamna, ww mzee baada ya kuona nimejiunga jf 2014 ukaona kuwa na 17yrs isingekua rahis kwa mimi kuijua jf.
Tulia hujui kitu..Hamna, ww mzee baada ya kuona nimejiunga jf 2014 ukaona kuwa na 17yrs isingekua rahis kwa mimi kuijua jf.
Ww kiaz nakuonea huruma.Wewe kima umepata simu na kuijulia jf ukubwani huna lolote la kusema zaidi ya kuonesha kichwani kwako ni mweupe.....kwani kutaja umri humu ndani kuna shida ????kwa taarifa yako ningekuwa na acces ya simu o level basi ningejiunga form 2 nikiwa na miaka 16.
HahHahHumtunzi,unapiga shoo tu na vielfu kumi vyako mtu anamtoto kwa hali hii aolewe tu na jibaba lenye pesa sio yeye tu atakucheat,kila mtu ambaye utakuwa naye maana matunzo ni hafifu kwako.
Kama umeshindwa kuhudumia huyu je mwingine shoo sio i shu inshu hela
Mwnamke haachiw kidogkiidogp. Landa kma unajitakia kisurkariHabari ya mchana wana jf
Mimi ni miongoni mwa member wachache ambao hatupendi kutoa mikasa yetu humu jf lakini kwa hili lililonipata nimeona tushare tunaweza jifunza vitu flani.
Mimi nina miaka 27, nilikua na mpnzi wangu ambaye tulianza uhusiano 2022 yeye sasa ana miaka 21, na pia yeye nilimkuta na mtoto mmoja na huyu mtu wangu anaishi kwao bado.
Huku mm nikiwa nipo kwangu kuweka mambo sawa ili mungu akipenda siku 1 nimchukue kwa ndoa japo dini ni tofauti bas mwaka jana mwshon nikiwa kazini nikiwa nipo na mtu naefahamiananae ambaye alkua anajua kua yule mschana sipo nae bas akawa ananiambia daa yule shem wa zamani skuhz anatoka na mtu flani na hadi anampikia msosi wanalala wote yan mapenz motomoto, nilimuulza mtu gani akanitajia jina la boy na hilo jina halikua gen kwangu kwan ni mpangaji mwenzao nyumbani kwao.
Kiukweli niliumia sana sana, ukizingatia nilikua namuamini 100% , nikfanya upelelez japo huyu mschana wangu alikataa kata kata yani alilia siku 4 mfululizo bas nami nikafanya upelelezi kwa watu wakarbu ikiwapo watoto wanaoishi nyumba ile pasipo na shaka wote walithibitisha kuwa hili ni la kweli kabisa, ila nikasema kwavile sijathibitsha kwa macho bas nimsamehe maisha yaende .
Badae nikaja kumnunulia simu ilikua hz sm za samsng mtu akifuta sms bas lazma ibaki kwenye recycle bin na yule alikua hajui, basi siku moja nikiwa nmeingia upande wa recycle bin nikaona sms jina lilelile anasema mbona nimekusubiri hujafika nae akamjibu nafika ila usipige. Nikambana ilikuaje akajitetea mm nikapoteza,.
Kubwa kuliko kuna mtu ambaye ndio huyohuyo jina lake nimeliskia sana amenitafuta kwa sm na kuniambia anaomba tuonane anajambo anataka tuongee, nikimkubalia tulionana cha kwanza alianza kunithibitishia kua hayo yote uliyowah sikia ni ya kweli, na kunionyesha picha mbalimbali za huyu mschn akiwa geto kwake jamaa akipika na akiwa anadeki nyngne ni nyng, lengo la kunifata jamaa ni kunishaur kua huyu mwanmke anatamaa sana, na kwasasa ameanza had kudanga kwa watu tofaut kwahyo kma nilikua na malengo bas niish nae kwa target sana niwe makini.
Juu ya hili sijamwambia huyu binti chochote ila nimeona nimuache kidogo kidogo kila mtu ashike zake au option ya 2 niwe nae kwaajili ya kupiga tu mzgo kila mtu ashike zake.
Haya yametokea juz,jana kwahyo bado matanga hayajaanuliwa.
Ahsanteni wana jf, karibun kwa ushauri zaidi.
AiseeMwnamke haachiw kidogkiidogp. Landa kma unajitakia kisurkari
Niwaheri mwenyeweNdondocha mwenyewe
Women
After God, fear womenWomen