Acha kuwafundisha wenzio tabia mbaya 😹😹Men must wake up...!!
Unapiga magoti wakati kuna muhuni alikula bure!!!
Kama kuna mwanaume yeyote aliwahi kumpigia mwanamke magoti jipige kifua mara tatu kisha sema "Mimi nilikuwa Fala sana"
No matter how expensive a lady she is there is one guy who sleeps or slept with her for free.Acha kuwafundisha wenzio tabia mbaya 😹😹
.lPersonal experience.
Nilipokaribia kulipa mahari n kuvalisha pete, tulizozana sana na mama chanja kuhusu hili. Alikomaa sana ntwange magoti, nkamwambia, mama la mama, ntasimama dede kama mboroh ya Johnny Sins lakn magoti haipigwi. Akasema na yeye atasimama, nkamwambia heri si shari.
Siku ilipofika nlikua na anko wangu mmasai pure, akanivuta pembeni akaniambia ukipiga magoti tunakuondoa kwenye ukoo.
Nkamwambia mjomba tuliza kipele, nshafanya maamuz waaay back.
Tumefika kwenye tendo bila ajizi nkakaza spinal cord, hapo hapo nkashangaa laaziz anapiga magoti mwenyewe na kutoa kidole pete iwekwe.
Hadi leo hua nashangaa wanaume au tuseme wavulana wanaopiga magoti.
Povu ruksa bladihenken!
Naunga mkono
Mkuu shule ya msingi umemaliza mwaka gani?Sidhani kama kuna binaadamu nitakayempigia magoti kwa jambo lolote
Mwaka janaMkuu shule ya msingi umemaliza mwaka gani?
📌✅...Ni upumbavu kwa mwanaume kumpigia goti mwanamke kwa sababu yoyote ile ikiwemo kumvalisha pete ya uchumba.
Ukishajiwekea akili kwamba mwanamke anakufanyia favour kukubali kuolewa na wewe basi wewe ni mjinga.
Ndoa inamgharimu mwanaume kuliko mwanamke, ndoa ni mafanikio kwa mwanamke kuliko mwanaume, majukumu ya ndoa yanamuelemea mwanaume kuliko mwanamke, mwanaume ndio mpambanaji mkuu wa familia kwaiyo wewe mwanaume ndie unafanya favour kumchagua yeye awe mke wako, she is the one supposed to kneel down.
Miaka michache ijayo wanaume tutaachana kabisa na suala la ndoa kwa sababu tayari tumeshagundua kwamba marriage is liability and a trap to us. Na ninakuakikishia wakati huo ukifika wanawake wataitafuta ndoa kwa tochi, so my sisters enjoy it while it lasts.
My brother, don't kneel down to give her that ring, stop all this romantic bullshit it doen't guarantee a lasting marriage. Women brings problems in your life, you are the one to be appreciated for your willingness to carry that burden called woman.
Don't be simp.
Inategemea ni mwanamke gani ila kama unakutana na Irene yule mrembo wa INSIDER MAN ni ruksa kupiga magoti.Ni upumbavu kwa mwanaume kumpigia goti mwanamke kwa sababu yoyote ile ikiwemo kumvalisha pete ya uchumba.
Ukishajiwekea akili kwamba mwanamke anakufanyia favour kukubali kuolewa na wewe basi wewe ni mjinga.
Ndoa inamgharimu mwanaume kuliko mwanamke, ndoa ni mafanikio kwa mwanamke kuliko mwanaume, majukumu ya ndoa yanamuelemea mwanaume kuliko mwanamke, mwanaume ndio mpambanaji mkuu wa familia kwaiyo wewe mwanaume ndie unafanya favour kumchagua yeye awe mke wako, she is the one supposed to kneel down.
Miaka michache ijayo wanaume tutaachana kabisa na suala la ndoa kwa sababu tayari tumeshagundua kwamba marriage is liability and a trap to us. Na ninakuakikishia wakati huo ukifika wanawake wataitafuta ndoa kwa tochi, so my sisters enjoy it while it lasts.
My brother, don't kneel down to give her that ring, stop all this romantic bullshit it doen't guarantee a lasting marriage. Women brings problems in your life, you are the one to be appreciated for your willingness to carry that burden called woman.
Don't be simp.
Duh mwajidanganya awa viumbe wanaibuka na mbwinu mpya🤣🤣Marriage is liability and a trap to men. Vijana tushashtuka saiv ni mwendo wa hit and run tu.
Miaka ya nyuma ilikuwa ni ngumu sana kutoboa shule ya msingi bila kupigishwa magoti. Ndio ilikuwa adhabu ya kufikia.Mwaka jana
Hii iwe applied kwa wakurya tu..wengine tunapiga hata nduruNi upumbavu kwa mwanaume kumpigia goti mwanamke kwa sababu yoyote ile ikiwemo kumvalisha pete ya uchumba.
Ukishajiwekea akili kwamba mwanamke anakufanyia favour kukubali kuolewa na wewe basi wewe ni mjinga.
Ndoa inamgharimu mwanaume kuliko mwanamke, ndoa ni mafanikio kwa mwanamke kuliko mwanaume, majukumu ya ndoa yanamuelemea mwanaume kuliko mwanamke, mwanaume ndio mpambanaji mkuu wa familia kwaiyo wewe mwanaume ndie unafanya favour kumchagua yeye awe mke wako, she is the one supposed to kneel down.
Miaka michache ijayo wanaume tutaachana kabisa na suala la ndoa kwa sababu tayari tumeshagundua kwamba marriage is liability and a trap to us. Na ninakuakikishia wakati huo ukifika wanawake wataitafuta ndoa kwa tochi, so my sisters enjoy it while it lasts.
My brother, don't kneel down to give her that ring, stop all this romantic bullshit it doen't guarantee a lasting marriage. Women brings problems in your life, you are the one to be appreciated for your willingness to carry that burden called woman.
Don't be simp.
Mafemisnist tupo..Tuweke rekodi sawa, ENGAGEMENT CEREMONY Siyo mambo yetu kabisaa, Sisi ukimpenda binti tuma mshenga kwao akikuelewa, hewaaa Unapata mke kanisani au msikitini mtavalishana Pete, kwa Wasabato Pete Siyo lazima.
Habari za mwanaume ambaye ni kichwa cha familia kumpigia magoti msaidizi wake HAIWEZEKANI
KWENU "MAFEMINISITI"😀