Usimshauri ndugu au rafiki asomee uandishi wa habari: ni sekta ambayo inaenda kufa na atateseka sana

investigative journalism italeta mauaji, hamna demokrasia

ndo maana mkia wanarudisha nyuma

sema pia technically hawapo vizuri, production quality ni mbaya mno
 
acha kukatisha watu tamaa kwa kufeli kwako kupata na kufanya kazi kwenye fani au ujuzi uliosomea.

kijana awaye yeyote.
Nenda shule, na usome kwa bidii ufaulu vizuri, full stop.🐒
mada inahusu waandishi kupunjwa maslahi wewe unataka kuleta siasa hapa.
 
na azam wanakabiliwa na kodi za kila aina na wameishawasilisha maelezo yao serikali kama walivyoombavwafanye,ili waweze kupata faida ambayo inaweza kufanya walipe vizuri lakini bado malalamiko yao yanafanyiwa kazi
 
nahisi ina mchango mkubwa kwenye kufanya wananchi wasijue na wachukie mambo ya siasa,

wakati siasa ndo inaamua waishi vipi...
Indifference ya wananchi kwenye mambo ya siasa sio kwa bahati mbaya bali makusudi; hamna watawala wanataka population nzima ya nchi kuwa engaged na mambo hayo (imagine watu milion 60 wote wawe engaged)
 
mada inahusu waandishi kupunjwa maslahi wewe unataka kuleta siasa hapa.
ikiwa hurudhiki na stahiki unatumia ujuzi na maarifa yako kisomi kuchangamkia fursa zingine zenye maslahi mapana na makubwa zaidi, kuliko kua mtumwa ulieng'ang'ana kutumikishwa huku inaendelea kuteseka..

wewe ni zuzu au elimu yako imekusaidia kutumikishwa tu gentleman bila kua na maono nje ya box?

hebu ondoka kwenyehuo utumwa wa mateso na unesoma, lione!! uvivu tu na fear of unknown..

eti maslahi ng'we ng'we ng'we huku umeng'ang'ana kwenye kazi hiyo hiyo🐒
 
Mtu ana degree ya soshiolojia unataka nae akafanye kilimo na ufugaji? Au hiyo mtu unamshaurije?
sio kilimo na ufugaji tu anaweza hata akafanya biashara na hata akawa mwanasosholojia wa hao wafugaji na kilimo.

Sosholojia ni nguzo muhimu sana katika uchumi na maisha na ni chanzo muhimu sana cha sera mbadala ya zilizokwisha wakati.

haiwezekani ukawa mwanasosholojia ukajifungia ndani nyumbani wakati you are belong to communities as their adviser in influencing changes and solutions to some of their issues that affects their daily lives 🐒
 
Uandishi wa habari ni sekta kubwa ila ktk redio na TV haiitajiki elimu ni kipaji cha kuongea tu. Lakini uandishi una fursa nyingi ika wabongo ni vilaza. Imagine sekta ya habari ilivyokubwa halafu muandishi ukose kazi.
 
Hapa nimemkumbuka jooooooji malatooooo wa ITV

Elimu yetu hii hii ya kukaririshwa unategemea mtu aibuke na practical experience?
 
Mrengo ajira ndio unawagharimu.Muandishi akiandaa documentary hata kosa hela. Muandishi aaandae hata documentary za lugha asili hakosi hela. Kazi yao kujazana mjini tu.Wanawake wengi waandishi huitumua TV au redio kutafuta mmme mwbwana na kudanga.
 
Kwahiyo Mzee wa Azam all purpose flour kashimdwa kutupa maisha mazuri.anaishia kulipa wacheza faul.
 
Hamna kazi ya uandishi ina vilaza wengi sana naweza kuwa smart katika kuendesha kipindi kuliko waliosomea
Aisee. Nilisikiliza mahojiano ya TV online moja na generali ulimwengu.Aisee sio utumbo ule, nadhani generali alimvumilia yule dogo maana aliuliza maswali hata la7 hawezi uliza ujinga ule.
 
Siku hizi wamebuni kamari kama chanzo cha mapato. Yaani masaa yote ni kamari mwanzo mwisho mpaka inakera kusikiliza radio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…