Usimuonee huruma Mwanamke

Nilichojifunza kule Eden ni uwezo wa hawa bibi zetu kupiga U-turn
 
Ongezea na hii

Luka 8:19-21
Neno: Bibilia Takatifu

Ndugu Wa Kweli​

19 Wakati mmoja mama yake Yesu na ndugu zake walikuja kumwona lakini hawakuweza kumfikia kwa sababu ya msongamano wa watu. 20 Mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje wanataka kukuona.”21 Yesu akamjibu, “Mama yangu na ndugu zangu ni wale wote wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”

Yesu alimkataa bimkubwa in broad daylight!!

Watu wengi hapa wamekazia kwenye mke na mademu lakini hata bimkubwa anaweza kukutoa kwenye reli kama wanawake wengine
 
Pole sana mkuu kwa yote hayo yalio watokeeni.
Najaribu kufikiria mwisho wa huyo mama na kizazi chake sijui itakuwaje aisee??
Mimi nikuombe hio paragrafu ya mwisho usiishi ndugu yangu mpendwa, siku zote usilipe ubaya kwa ubaya, ubaya unajilipa wenyewe, iache asili ifanye kazi yake kuwalipieni ndugu yangu poleni mno.
 
Inatisha
 
Kwa kweli. Kuna mwanamke alikua na shida ya ada mtoto wake kafukuzwa shule. Kaja kwangu machozi yanamtoka. Nikamkopesha 1M toka mwezi March. Mpaka leo mwaka unaisha ananipiga tu kalenda. Daaaa wanawake
Hakuna wanaume wanaokopa na hawalipi?
 
Doh!!cna la kuchangia kwenye ili kwakuwa nimechelewa.
"Ucmuonee huruma mwanamke'Ni maneno niliyokuwa nayackia kila cku ila ckuyajua kabisa umuhim wake.
Ila sasa nimeyajua.Nami naludia kusema tena ucmuonee huruma mwanamke.
 
Doh!!cna la kuchangia kwenye ili kwakuwa nimechelewa.
"Ucmuonee huruma mwanamke'Ni maneno niliyokuwa nayackia kila cku ila ckuyajua kabisa umuhim wake.
Ila sasa nimeyajua.Nami naludia kusema tena ucmuonee huruma mwanamke.
Nje ya Mada ....Jifunze kuandika vyema mkuu...
 
Hakika hilo ndio linaloweza mtesa mwanamke na si jingine, na akifanikiwa kuzowea mazingira ya mateso basi kila mwanaume atakae kuwa nae au kuishi nae lazima alizwe na kujuta maishani mwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…