Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Tatizo lako ni kubwa kuliko nilivyowahi kudhani. Mimi sina sababu ya kuongea lugha ya kukera au dharau.Dada, kuumizwa wewe hujawahi kuumizwa kabla hujakutana na huyo mumeo...????
Hahahahaha eti huna sababu ya kuongea lugha ya kukera au dharau, soma michango yako kwa makini uone unafiki wako!..Tatizo lako ni kubwa kuliko nilivyowahi kudhani. Mimi sina sababu ya kuongea lugha ya kukera au dharau.
Wishing you all the best. I'm out.
Hahahahaha eti huna sababu ya kuongea lugha ya kukera au dharau, soma michango yako kwa makini uone unafiki wako!..
Hata mimi nadhani una matatizo makubwa kuliko nilivyodhani, nilijua ni uko confused tu kuona wanawake ni wabinafsi, kumbe na unafiki pia unao!..ndoa yako trouble , trouble , trouble ,hakuna mwanamke makini atakayekaa na mwanaume mnafiki, ama anayeona wanawake ni wabinafsi..no, never!..yes una matatizo mengi sana kwenye real life...
Usiniambie kuhusu kuniwish mimi the best, sipendi unafiki mimi, na kama unatoka kwenye mjadala huu toka tu ila dont intimidate me, hakuna mtu wa kuni bully my mind.
Hama duniani kama kweli huwaaminiBila shaka mwanamke ni muasi by nature.
Ndio maana huwa siwaamini hata chembe.
NO you are not husband material..and you will never be!, only stupid women (or women with other motives than love) will be with men of your kind. And No, im not 'available' and if i was i know exactly what i want/i should look for in a man. ( A man who appreciates his mom or at least has no low opinion of women). Lastly, i can see you are desperately trying to irritate me, if you are a looser in this debate its because you chose so, so this annoying game wont get you anywhere...Yes i am a winner..go hang!I know you admire wonderful and gentle men as I am. But in life you attract who you are. Upgrade yourself and you will be an attraction.
I give you the victory, celebrate. Shalom.
Haishi na mwanamke walishaachana 😄😄Mkeo ni thankless na mbinafsi??? uko nae wa nini?
Nilijua tu Mkuu, hakuna mwanamke atakaa na mwanaume mwenye kudhani wanawake ni wabinafsi wasiotakiwa kujaliwa huruma, lazima frictions tu kila siku,............Haishi na mwanamke walishaachana 😄😄
NO you are not husband material..and you will never be!, only stupid women (or women with other motives than love) will be with men of your kind. And No, im not 'available' and if i was i know exactly what i want/i should look for in a man. ( A man who appreciates his mom or at least has no low opinion of women). Lastly, i can see you are desperately trying to irritate me, if you are a looser in this debate its because you chose so, so this annoying game wont get you anywhere...Yes i am a winner..go hang!
Huwaga nakuheshimu usinichokoze please....Mbele nchale
Nyuma nchale[emoji23][emoji23]
Mama hiv umekula kwanza?
Huwaga nakuheshimu usinichokoze please....
Mbona tumeacha Mkuu au huoni..?Sikuchokozi na siko seriously like hivyo
Ila naona tu unavyopanda na kushuka nao.....
Kwanin msiache tu kila mtu akabqkia na imani yake?
Tafsiri ni kwamba:kutokana na udhaifu wa Eva/Hawa nyoka alimdanganya.Kuishi nao kwa akili ni kujua kuanalyse kile mwanake anacho kuambia kabla ya kukitolea maamuzi sio kila kitu akuambiacho mwanamke ukimeze na kufanyia kazi bila assessment yoyote, itakula kwako mkuu.Biblia inasema wanawake ni dhaifu halafu hapo hapo inasema tuishi nao kwa akili hivi kitu dhaifu unatumia akili kuishi nacho??
Kule eden apart from lile tunda kuna mambo mengine ambayo shetani aliongea na mwanamke ambayo sisi wanaume hatutakaa tuyaelewe kamwe.
So kelele zote hizo ni kutaka Wanaume tusiamini mtazamo wa Mwanaume mwenzetu kuhusu nyie?Ndio wewe hapo, Nyeupe unaiita Nyeusu, kisa tu sijui kuna mdada gani huko alijeruhi hisia zako...worse unataka ulazimishe wanaume wenzio wote waone Nyeupe ni Nyeusi...
Beba kwani nani kakuzuia..ebo!So kelele zote hizo ni kutaka Wanaume tusiamini mtazamo wa Mwanaume mwenzetu kuhusu nyie?
Oya weee sikia! Sisi tunabeba ushauri wa huyu mwamba ROBERT HERIEL kama ulivyo,na tunaishi nao.
Period!
Sawa.Beba kwani nani kakuzuia..ebo!
Ukiambiwa umechanganyikiwa bado unakataa[emoji3][emoji3]
#600