Lawrance franci
Member
- Oct 14, 2011
- 98
- 121
haahhahaha noma sanaaaaMtoa mada Punde TU baada ya wanawake kuwasili.....[emoji1787]View attachment 2062619
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haahhahaha noma sanaaaaMtoa mada Punde TU baada ya wanawake kuwasili.....[emoji1787]View attachment 2062619
Sent using Jamii Forums mobile app
heavy words mkuu.👉🏾 As a man pambana mwenyewe katika kila situation, usitegemee msaada kutoka kwa yoyote labda msaada ujitokeze wenyewe
👉🏾Do no favor to anyone
👉🏾Kuwa wa mwisho katika maamuzi yanayokuhusu
👉🏾Kuwa tayari kumpoteza mwanamke yoyote
👉🏾Usilaumu chochote kinachokutokea, funga mkanda songa mbele
Naomba kwa leo niishie hapa
Mkuu naomba ufanye pm hiyo Mambo sijaichekiBila shaka umeangalia zile video za kujichomeka machupa ya vinywaji kwenye mbunye zao! Imenifanya niwadharau sana hawa wenzetu, hawana akili kabisa
hahha unataka kugaiwa zambi sio https//:wa.me/255716889489 njooMkuu naomba ufanye pm hiyo Mambo sijaicheki
USIMUONEE HURUMA MWANAMKE.
Kwa Mkono wa Robert Heriel.
Wangestahili huruma lakini si sasa.
Wangestahili kupendwa lakini si Zama hizi.
Wangestahili kujaliwa na kuheshimiwa lakini hiyo ingefaa Zama zile sio Zama hizi.
Hata zamani walipokuwa wanasifa za wanawake hawakuonewa huruma sembuse sasa ambapo wamepoteza sifa ya uanamke Kwa 90%. Sasa hivi ndio hawapaswi kuonewa huruma hata kidogo.
Ni Mama zetu, shangazi zetu, wake zetu, dada na Bibi zetu lakini kamwe usimuonee mwanamke huruma hasa katika Zama hizi. Ni kitanzi na kaburi lako mwenyewe.
Siwafundishi roho mbaya Kwa maana sio asili yetu wanaume. Sisi ni watu wema tangu kale mpaka pale huruma mbaya ilipotuingia na hapo ndipo ubaya ukatuingia.
Jitahidi kuwa mbinafsi Kwa kadiri utakavyoweza ili kujifurahisha wewe mwenyewe kuliko kuhangaika kumfurahisha mwanamke. Haitakusaidia popote pale zaidi ya kujiumiza na kuonekana kazi bure.
Usimuonee huruma Mwanamke hata Kama macho yako na akili yako vinaona anastahili kuonewa huruma.
Pengine Mama Yako tuu angalau huyo waweza mkumbuka kidogo lakini waliobaki cheza nao Kwa akili nyingi huruma sifuri.
Huruma yako iwe na maslahi mapana. Apate kumi upate Mia. Apate Mia upate elfu. Usitumie moyo wako, tumia akili.
Usiwe na huruma Kwa maana wanawake hupenda kuonewa huruma Kwa wale watu wasiowapenda, huziweka nyuso zao za huruma ili kukulaghai na kuziteka hisia zako, usiwaangalie usoni wala usisikie sauti zao pindi Wazungumzapo.
Walakini usimsahau mke WA ujana wako ukamtendee wema ikiwa ulimchukua akiwa means mwali bikra Safi. Huyo na Mama yako walau unaweza wapa huruma yako kidogo hata Kama wangekutenda makosa kadha wa kadha.
Lakini kama hawana sifa hizo kamwe huruma yako isiwe karibu na Mwanamke.
Pia usitake huruma zozote kutoka Kwa yeyote, tena akiwa mwanamke ndio usizitafute huruma zake.
Sina la ziada. Mwaka mpya mwema
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Makanya, Kilimanjaro
Mkuu,hebu nitumie PM hiyo clip,natafuta siioniBila shaka umeangalia zile video za kujichomeka machupa ya vinywaji kwenye mbunye zao! Imenifanya niwadharau sana hawa wenzetu, hawana akili kabisa
Mkuu ni PM if you have that clip, I've been searching for it but in vain!hahha unataka kugaiwa zambi sio https//:wa.me/255716889489 njoo
Huu ndio ukweli wenyewe!Pole sana mkuu, with time utapona.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wewe ni mpuuzi sana.yawezekana una asili za kike.sisi wanaume hatuna ukatili wa namna hiyo.na hii ni tangu enzi za adamu na mpaka sasa.wanaume sisi ni wavumilivu,tunayabeba yote mabaya,machungu,kwa nini sisi ndio chanzo cha uhai.Hivyo sisi tunahuruma sana.sasa kwa hiyo tabia uliyo nayo wewe utakuwa unaasili ya udada ila hajieleweUSIMUONEE HURUMA MWANAMKE.
Kwa Mkono wa Robert Heriel.
Wangestahili huruma lakini si sasa.
Wangestahili kupendwa lakini si Zama hizi.
Wangestahili kujaliwa na kuheshimiwa lakini hiyo ingefaa Zama zile sio Zama hizi.
Hata zamani walipokuwa wanasifa za wanawake hawakuonewa huruma sembuse sasa ambapo wamepoteza sifa ya uanamke Kwa 90%. Sasa hivi ndio hawapaswi kuonewa huruma hata kidogo.
Ni Mama zetu, shangazi zetu, wake zetu, dada na Bibi zetu lakini kamwe usimuonee mwanamke huruma hasa katika Zama hizi. Ni kitanzi na kaburi lako mwenyewe.
Siwafundishi roho mbaya Kwa maana sio asili yetu wanaume. Sisi ni watu wema tangu kale mpaka pale huruma mbaya ilipotuingia na hapo ndipo ubaya ukatuingia.
Jitahidi kuwa mbinafsi Kwa kadiri utakavyoweza ili kujifurahisha wewe mwenyewe kuliko kuhangaika kumfurahisha mwanamke. Haitakusaidia popote pale zaidi ya kujiumiza na kuonekana kazi bure.
Usimuonee huruma Mwanamke hata Kama macho yako na akili yako vinaona anastahili kuonewa huruma.
Pengine Mama Yako tuu angalau huyo waweza mkumbuka kidogo lakini waliobaki cheza nao Kwa akili nyingi huruma sifuri.
Huruma yako iwe na maslahi mapana. Apate kumi upate Mia. Apate Mia upate elfu. Usitumie moyo wako, tumia akili.
Usiwe na huruma Kwa maana wanawake hupenda kuonewa huruma Kwa wale watu wasiowapenda, huziweka nyuso zao za huruma ili kukulaghai na kuziteka hisia zako, usiwaangalie usoni wala usisikie sauti zao pindi Wazungumzapo.
Walakini usimsahau mke WA ujana wako ukamtendee wema ikiwa ulimchukua akiwa means mwali bikra Safi. Huyo na Mama yako walau unaweza wapa huruma yako kidogo hata Kama wangekutenda makosa kadha wa kadha.
Lakini kama hawana sifa hizo kamwe huruma yako isiwe karibu na Mwanamke.
Pia usitake huruma zozote kutoka Kwa yeyote, tena akiwa mwanamke ndio usizitafute huruma zake.
Sina la ziada. Mwaka mpya mwema
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Makanya, Kilimanjaro