Usimuonee huruma Mwanamke

Usimuonee huruma Mwanamke

Babe naomba msamaha i swear sitorudia Akatoa machozi nusu ndoo ya liter 10 Nikaona isiwe shida acha nimsamehem

Karibu ndani mama,pita bafuni ujioshe uwe msafi Usiku ule alikua nusu ya malaika nakwambia..

Bed time ikafika nikapewa vile vitu moto moto vitu toka Bara la JUPITER nikalala usingizi mzito sana sijapata ona.

Asubuhi kuamka Nakuta nimelala juu ya kitanda tu sioni Tv,sioni Set nzima ya mziki ni kweupeee..

nikahisi labda madam ako anafanya General cleaning so vitu kapeleka kwa sebule..

Basi amka anza papasa nipate ile MOTOROLA angu papasa bed nzima Empty...

Bado akili inaniambia Madam ako nnje anafagia bana simu ako kakuekea charge tu sebleni...

Basi amka jikongoje ingia toilet kwanza sioni hata ndoo kweli nikajua madam angu ako na General Cleaning leo...

Ile naenda seblen sukuma mlango nakuta ile sebule ime turn to exercise area kumekua kweupeee sioni Fan,Sion zulia,sioni pazia,sioni meza,sioni alot of things Ni kama tuko na task ya kuhama...

Wenge ilikata nikarudi chumbani angalia upya ndipo nilipogundua kumbe hadi zile viatu zangu madam kapita nazo...

From zat dey i respect these madam but niko naishi nazo kwa akili yangu 99.9 hata akinipea utamu Mwisho ni kimoja tuuuu

unataka nikupge vitano nilale ili unikombeleze kama Former madam no thank youuu..

These nigggas need no mercy they only deserve RESPECT not Mercy.
😂😂😂😂😂

Visa ni vingi kwa kweli
 
USIMUONEE HURUMA MWANAMKE.

Kwa Mkono wa Robert Heriel.

Wangestahili huruma lakini si sasa.
Wangestahili kupendwa lakini si Zama hizi.
Wangestahili kujaliwa na kuheshimiwa lakini hiyo ingefaa Zama zile sio Zama hizi.

Hata zamani walipokuwa wanasifa za wanawake hawakuonewa huruma sembuse sasa ambapo wamepoteza sifa ya uanamke Kwa 90%. Sasa hivi ndio hawapaswi kuonewa huruma hata kidogo.

Ni Mama zetu, shangazi zetu, wake zetu, dada na Bibi zetu lakini kamwe usimuonee mwanamke huruma hasa katika Zama hizi. Ni kitanzi na kaburi lako mwenyewe.

Siwafundishi roho mbaya Kwa maana sio asili yetu wanaume. Sisi ni watu wema tangu kale mpaka pale huruma mbaya ilipotuingia na hapo ndipo ubaya ukatuingia.

Jitahidi kuwa mbinafsi Kwa kadiri utakavyoweza ili kujifurahisha wewe mwenyewe kuliko kuhangaika kumfurahisha mwanamke. Haitakusaidia popote pale zaidi ya kujiumiza na kuonekana kazi bure.

Usimuonee huruma Mwanamke hata Kama macho yako na akili yako vinaona anastahili kuonewa huruma.

Pengine Mama Yako tuu angalau huyo waweza mkumbuka kidogo lakini waliobaki cheza nao Kwa akili nyingi huruma sifuri.

Huruma yako iwe na maslahi mapana. Apate kumi upate Mia. Apate Mia upate elfu. Usitumie moyo wako, tumia akili.

Usiwe na huruma Kwa maana wanawake hupenda kuonewa huruma Kwa wale watu wasiowapenda, huziweka nyuso zao za huruma ili kukulaghai na kuziteka hisia zako, usiwaangalie usoni wala usisikie sauti zao pindi Wazungumzapo.

Walakini usimsahau mke WA ujana wako ukamtendee wema ikiwa ulimchukua akiwa means mwali bikra Safi. Huyo na Mama yako walau unaweza wapa huruma yako kidogo hata Kama wangekutenda makosa kadha wa kadha.

Lakini kama hawana sifa hizo kamwe huruma yako isiwe karibu na Mwanamke.

Pia usitake huruma zozote kutoka Kwa yeyote, tena akiwa mwanamke ndio usizitafute huruma zake.

Sina la ziada. Mwaka mpya mwema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Makanya, Kilimanjaro
Aisee
 
USIMUONEE HURUMA MWANAMKE.

Kwa Mkono wa Robert Heriel.

Wangestahili huruma lakini si sasa.
Wangestahili kupendwa lakini si Zama hizi.
Wangestahili kujaliwa na kuheshimiwa lakini hiyo ingefaa Zama zile sio Zama hizi.

Hata zamani walipokuwa wanasifa za wanawake hawakuonewa huruma sembuse sasa ambapo wamepoteza sifa ya uanamke Kwa 90%. Sasa hivi ndio hawapaswi kuonewa huruma hata kidogo.

Ni Mama zetu, shangazi zetu, wake zetu, dada na Bibi zetu lakini kamwe usimuonee mwanamke huruma hasa katika Zama hizi. Ni kitanzi na kaburi lako mwenyewe.

Siwafundishi roho mbaya Kwa maana sio asili yetu wanaume. Sisi ni watu wema tangu kale mpaka pale huruma mbaya ilipotuingia na hapo ndipo ubaya ukatuingia.

Jitahidi kuwa mbinafsi Kwa kadiri utakavyoweza ili kujifurahisha wewe mwenyewe kuliko kuhangaika kumfurahisha mwanamke. Haitakusaidia popote pale zaidi ya kujiumiza na kuonekana kazi bure.

Usimuonee huruma Mwanamke hata Kama macho yako na akili yako vinaona anastahili kuonewa huruma.

Pengine Mama Yako tuu angalau huyo waweza mkumbuka kidogo lakini waliobaki cheza nao Kwa akili nyingi huruma sifuri.

Huruma yako iwe na maslahi mapana. Apate kumi upate Mia. Apate Mia upate elfu. Usitumie moyo wako, tumia akili.

Usiwe na huruma Kwa maana wanawake hupenda kuonewa huruma Kwa wale watu wasiowapenda, huziweka nyuso zao za huruma ili kukulaghai na kuziteka hisia zako, usiwaangalie usoni wala usisikie sauti zao pindi Wazungumzapo.

Walakini usimsahau mke WA ujana wako ukamtendee wema ikiwa ulimchukua akiwa means mwali bikra Safi. Huyo na Mama yako walau unaweza wapa huruma yako kidogo hata Kama wangekutenda makosa kadha wa kadha.

Lakini kama hawana sifa hizo kamwe huruma yako isiwe karibu na Mwanamke.

Pia usitake huruma zozote kutoka Kwa yeyote, tena akiwa mwanamke ndio usizitafute huruma zake.

Sina la ziada. Mwaka mpya mwema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Makanya, Kilimanjaro
Nakuunga mkono 100% ulichokiongea ni correct . Hawa viumbe ni hatari Sana wamesababisha maumivu mengi Sana hapa duniani
 
Noted,
Mke anayekupenda na binti yako ndio wanawake wa kula hela yako mwanaume,
Wengine chapa na kupita tena kwa kugalalizA bei,
 
Mawazo yaliyokufa kabisa haya yanayoonyesha wewe na wanaokuunga mkono mlivyofilisika kabisa kimawazo, kimaadili na kiuanaume. Ninyi ni watu waoga, msiojiamini mnaowaogopa wanawake kuwa watawazidi na crusade yenu hii ya kijinga sana mnafikiri itawasaidia kusubdue nature inayoitwa mwanamke. Umeshindaje kuhandle mwanamke huko akakuzidi akili ukashindwa kabisa na hoja na accomplishments zake ukaona linalofaa ni kuwaostracize wanawake as if hawana role kabisa kwenye humanity. Ni wazi kuwa Kuna wanawake wamekufunika mahali na ndio maana unawaanzishia vita ya kijinga kuwahi kutokea. Mimi siwezi kusympathize na watu wajinga hivi eti kwa sababu tu ni mwanamme. Tunachofanya ni kushughulika na makovu yetu yanayaoitwa wanawake sio kuyatonesha upya. Man up!
Ulicho andika apo inaonyesha wanawake maisha yenu yote ni ku deal na watu na wala sio jambo/hoja . Ulipaswa kupingana na mada kwa kutoa hoja zako na sio kumdhihaki mtoa mada . Wanaume hii tabia hatuna maana hatuangalii nani kasema nini bali tunaangalia kilichosemwa tukipangue kwa hoja gani.
 
Usimuonee huruma mwanamke???muwe mnafikiria sn unaposema neno mwanamke huwezi kumuonea Huruma mama yako mzazi aliyekuzaa?maana naye ni mwanamke ,dada zako na shangazi zako je ,na binti zako je.tuache jeuri km Ni mapungufu Kila binadamu anayo Ni suala la kuvumiliana na kubebeana mapungufu tabia za wachache zisijumlishwe kwa wote
Nyie ndo wale mnakurupukaga . Ila mada pia ni nzito kuielewa kwa kichwa chepesi. Ila ata shuleni kuna watu walikua wanamaliza mtiani ndipo wanagundua swali la kwanza lilikua la lazima[emoji1][emoji1]. Ungesoma mada ukaelewa na kutafakari usinge andika ulicho andika
 
Ulicho andika apo inaonyesha wanawake maisha yenu yote ni ku deal na watu na wala sio jambo/hoja . Ulipaswa kupingana na mada kwa kutoa hoja zako na sio kumdhihaki mtoa mada . Wanaume hii tabia hatuna maana hatuangalii nani kasema nini bali tunaangalia kilichosemwa tukipangue kwa hoja gani.
That is exactly my point kuwa Kuna watu hamuwezi kuona zaidi ya kilichoandikwa. Wewe huoni kuwa kilichoandikwa ni zaidi ya majibu ya kilichoandikwa, wala sitaki kuziita hoja. Mpaka Sasa hivi huoni kuwa nashughuluka na hicho unachokiita madam maana Mimi naona ni takataka. Hakuna hoja wala mada inayoweza kutoka kwa mtu mwoga na asiyejiamina halafu aendelee kujiita mwanamme. Yote aliyoyaandika sio representative ya wanaume waliokamilika. Hatuko hivyo wanaume tunaojua kuhandle wanawake. Hawatusumbui kabisa kwa sababu sisi sio waoga. My point is huyu mtu Kuna jambo baya limemfika au kaona mahali fulani mjinga mwingine limemfika na inawezekana ni kutokana na kutokuwa na uwezo wa kuhandle mwanamke hapo hapo badala ya kudeal na kilichotokea au huyo mwanamke kaona cha kufanya ni kumsubjugate kwa mtindo wa kuchochea watu wasionee huruma wanawake. Huyo na wewe wote ni washindwaji tu. Badilikeni
 
Wanawake huwajui wewe.

Unaweza kujinyima kila kitu kwa ajili yake,lakini akakuona huna maana yoyote.Ni watu wakatili sana hawajali hisia za mwanaume.Wanajua hisia za mwanaume zina misuli kama mwili wake.
wewe ni mpuuzi sana.yawezekana una asili za kike.sisi wanaume hatuna ukatili wa namna hiyo.na hii ni tangu enzi za adamu na mpaka sasa.wanaume sisi ni wavumilivu,tunayabeba yote mabaya,machungu,kwa nini sisi ndio chanzo cha uhai.Hivyo sisi tunahuruma sana.sasa kwa hiyo tabia uliyo nayo wewe utakuwa unaasili ya udada ila hajielewe
 
Zamani nilikuwa na huruma na upendo sana kwa wanawake.Ila nimekoma maana huu ni upumbavu. Na mtu wa kwanza kuuona upumbavu huu ni yule binti unayempenda sana.
Hawa viumbe wanaweza kukufanya uwe mkatili sana.
Aiseeee [emoji26][emoji26][emoji26]wanawake tuna msalaba jmn Leo Tu kuna dada kafariki kwa uzazi kaacha katoto kachanga afu watoto wenywe tunaozaa ndo nyie mnakuja kutunanga na kutudhalilisha duh hii dunia kweli sio yetu[emoji30][emoji30][emoji30]asante mtoa Mada [emoji24][emoji24]!!

Sent from my SCV39 using JamiiForums mobile app
 
Najua ukiwa boya ndipo utakaa na mwanamke salama.Ukiwa na akili kidogo za kujitambua,mwanamke ni kiumbe kigumu sana kuishi nacho.Hata wanaume wanaoishi nao,ni wale walioamua kuwa wababe tu.
Mwanamke hapendi mwanaume mstaarabu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mwanamke ni kiumbe complex ku deal nae unatakiwa kuwa na akili haswa! Ukiwa boya lazima usande...Enjoy love as it lasts!
 
Ninyi mnaojidai ma motivational speakers ni wapuuzi tu.

Pamoja na kujua kuwa ukatili wa mwanaume umesababishwa na mwanamke,bado mna jitoa akili kuhusu kubadilika kwa kizazi hiki cha wanawake.
Dawa ya moto ni moto.Hadi wajue kuwa kila kiumbe anastahili kuthaminiwa kama ulivyo asili yake.
Mawazo yaliyokufa kabisa haya yanayoonyesha wewe na wanaokuunga mkono mlivyofilisika kabisa kimawazo, kimaadili na kiuanaume. Ninyi ni watu waoga, msiojiamini mnaowaogopa wanawake kuwa watawazidi na crusade yenu hii ya kijinga sana mnafikiri itawasaidia kusubdue nature inayoitwa mwanamke. Umeshindaje kuhandle mwanamke huko akakuzidi akili ukashindwa kabisa na hoja na accomplishments zake ukaona linalofaa ni kuwaostracize wanawake as if hawana role kabisa kwenye humanity. Ni wazi kuwa Kuna wanawake wamekufunika mahali na ndio maana unawaanzishia vita ya kijinga kuwahi kutokea. Mimi siwezi kusympathize na watu wajinga hivi eti kwa sababu tu ni mwanamme. Tunachofanya ni kushughulika na makovu yetu yanayaoitwa wanawake sio kuyatonesha upya. Man up!
 
Ninyi mnaojidai ma motivational speakers ni wapuuzi tu.

Pamoja na kujua kuwa ukatili wa mwanaume umesababishwa na mwanamke,bado mna jitoa akili kuhusu kubadilika kwa kizazi hiki cha wanawake.
Dawa ya moto ni moto.Hadi wajue kuwa kila kiumbe anastahili kuthaminiwa kama ulivyo asili yake.
It's amazing unasubmit kabisa kuwa wanaume wanafanya ukatili kwa sababu tu wanayo justification, eti umesababishwa na mwanamke. Bure kabisa nyie. Kweli wanawake wanawashinda namna hii mpaka mnakuja kulialia hapa JF kweli. Sasa unakubali vipi kuitwa kidune wakati unayoyaonyesha hapa ni completely ya kijike. Eti dawa ya moto ni moto. We ndo tayari hivyo ushapigwa moto. Wakati unajiandaa kupeleka moto kwa mwanamke unapigwa moto mwingine ili ukajipange upya. The cycle is very viscous. Unachekesha sana. This is fighing a losing battle buddy. Ndo maana nasema man up! Usije kulia kike kike hapa JF. Ushapigwa
 
Sio kweli.
Mimi nimekutana na bikra.Nilimpenda na kumthamini sana.Ila sijui mitandao ya kijamii ina nini!
Hana shukrani na ana dharau kubwa sana,ijapo bado anahitaji msaada wangu.

Sasa nimeamua na mimi nakuwa kauzu,afanye ajuavyo
Mkuu ikiwa ulikutana na mwanamke aliyetendwa na akawa ayesha kata tamaa lazima AKUENDESHE NA KUKUFANYA UWACHUKIE WOOOTE
 
Back
Top Bottom