Usimuonee huruma Mwanamke

Usimuonee huruma Mwanamke

Ni kweli wengine wameishia kuvunja ndoa zao sababu ya kuonea huruma wanawake,

Walianza kuonea huruma kwa kigezo ya u yatima, mara ujane , mwanamke akamtega akawa mchepuko, akatega mimba, mke akajua akaondoka ndoa ikabaki history
 
Ni kweli wengine wameishia kuvunja ndoa zao sababu ya kuonea huruma wanawake,

Walianza kuonea huruma kwa kigezo ya u yatima, mara ujane , mwanamke akamtega akawa mchepuko, akatega mimba, mke akajua akaondoka ndoa ikabaki history

Huruma kwenye maisha ni kitanzi cha waliowengi
 
Hata watumishi wa Mungu wengi wanaanguka kwenye zinaa sababu kubwa ni kuanza kuonea huruma wanawake.

Na mwanamke sio wakuchukulia poa hata hususa hawa wakukutana nao mjini!

Mjini Shule!

Wengi wamejaa hila moyoni na uovu.

Wako na wanawake makahaba wazee wanawapa mbinu za kuwaingiza mkenge wanaume!

Usizani una deal nae peke yake nyuma yake kuna walimu na mama yake ana m-coach juu ya kuku-win Mwanaume [emoji108][emoji108]

Ni wanaume wachache sana wanaojielewa ndio wanaaeza kuepuka kuingizwa mkenge!

Hasa wale ambao si walevi na wanakataa kurogwa na kuharibiwa familia!
 
Ni kama vyakula vingine tu jamani...
Si vizuri kukisema chakula !??
 
USIMUONEE HURUMA MWANAMKE.

Kwa Mkono wa Robert Heriel.

Wangestahili huruma lakini si sasa.
Wangestahili kupendwa lakini si Zama hizi.
Wangestahili kujaliwa na kuheshimiwa lakini hiyo ingefaa Zama zile sio Zama hizi.

Hata zamani walipokuwa wanasifa za wanawake hawakuonewa huruma sembuse sasa ambapo wamepoteza sifa ya uanamke Kwa 90%. Sasa hivi ndio hawapaswi kuonewa huruma hata kidogo.

Ni Mama zetu, shangazi zetu, wake zetu, dada na Bibi zetu lakini kamwe usimuonee mwanamke huruma hasa katika Zama hizi. Ni kitanzi na kaburi lako mwenyewe.

Siwafundishi roho mbaya Kwa maana sio asili yetu wanaume. Sisi ni watu wema tangu kale mpaka pale huruma mbaya ilipotuingia na hapo ndipo ubaya ukatuingia.

Jitahidi kuwa mbinafsi Kwa kadiri utakavyoweza ili kujifurahisha wewe mwenyewe kuliko kuhangaika kumfurahisha mwanamke. Haitakusaidia popote pale zaidi ya kujiumiza na kuonekana kazi bure.

Usimuonee huruma Mwanamke hata Kama macho yako na akili yako vinaona anastahili kuonewa huruma.

Pengine Mama Yako tuu angalau huyo waweza mkumbuka kidogo lakini waliobaki cheza nao Kwa akili nyingi huruma sifuri.

Huruma yako iwe na maslahi mapana. Apate kumi upate Mia. Apate Mia upate elfu. Usitumie moyo wako, tumia akili.

Usiwe na huruma Kwa maana wanawake hupenda kuonewa huruma Kwa wale watu wasiowapenda, huziweka nyuso zao za huruma ili kukulaghai na kuziteka hisia zako, usiwaangalie usoni wala usisikie sauti zao pindi Wazungumzapo.

Walakini usimsahau mke WA ujana wako ukamtendee wema ikiwa ulimchukua akiwa means mwali bikra Safi. Huyo na Mama yako walau unaweza wapa huruma yako kidogo hata Kama wangekutenda makosa kadha wa kadha.

Lakini kama hawana sifa hizo kamwe huruma yako isiwe karibu na Mwanamke.

Pia usitake huruma zozote kutoka Kwa yeyote, tena akiwa mwanamke ndio usizitafute huruma zake.

Sina la ziada. Mwaka mpya mwema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Makanya, Kilimanjaro
Kea
USIMUONEE HURUMA MWANAMKE.

Kwa Mkono wa Robert Heriel.

Wangestahili huruma lakini si sasa.
Wangestahili kupendwa lakini si Zama hizi.
Wangestahili kujaliwa na kuheshimiwa lakini hiyo ingefaa Zama zile sio Zama hizi.

Hata zamani walipokuwa wanasifa za wanawake hawakuonewa huruma sembuse sasa ambapo wamepoteza sifa ya uanamke Kwa 90%. Sasa hivi ndio hawapaswi kuonewa huruma hata kidogo.

Ni Mama zetu, shangazi zetu, wake zetu, dada na Bibi zetu lakini kamwe usimuonee mwanamke huruma hasa katika Zama hizi. Ni kitanzi na kaburi lako mwenyewe.

Siwafundishi roho mbaya Kwa maana sio asili yetu wanaume. Sisi ni watu wema tangu kale mpaka pale huruma mbaya ilipotuingia na hapo ndipo ubaya ukatuingia.

Jitahidi kuwa mbinafsi Kwa kadiri utakavyoweza ili kujifurahisha wewe mwenyewe kuliko kuhangaika kumfurahisha mwanamke. Haitakusaidia popote pale zaidi ya kujiumiza na kuonekana kazi bure.

Usimuonee huruma Mwanamke hata Kama macho yako na akili yako vinaona anastahili kuonewa huruma.

Pengine Mama Yako tuu angalau huyo waweza mkumbuka kidogo lakini waliobaki cheza nao Kwa akili nyingi huruma sifuri.

Huruma yako iwe na maslahi mapana. Apate kumi upate Mia. Apate Mia upate elfu. Usitumie moyo wako, tumia akili.

Usiwe na huruma Kwa maana wanawake hupenda kuonewa huruma Kwa wale watu wasiowapenda, huziweka nyuso zao za huruma ili kukulaghai na kuziteka hisia zako, usiwaangalie usoni wala usisikie sauti zao pindi Wazungumzapo.

Walakini usimsahau mke WA ujana wako ukamtendee wema ikiwa ulimchukua akiwa means mwali bikra Safi. Huyo na Mama yako walau unaweza wapa huruma yako kidogo hata Kama wangekutenda makosa kadha wa kadha.

Lakini kama hawana sifa hizo kamwe huruma yako isiwe karibu na Mwanamke.

Pia usitake huruma zozote kutoka Kwa yeyote, tena akiwa mwanamke ndio usizitafute huruma zake.

Sina la ziada. Mwaka mpya mwema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Makanya, Kilimanjaro
kwa uzi huu nimeku follow kabisa mtukufu wa fasihi
USIMUONEE HURUMA MWANAMKE.

Kwa Mkono wa Robert Heriel.

Wangestahili huruma lakini si sasa.
Wangestahili kupendwa lakini si Zama hizi.
Wangestahili kujaliwa na kuheshimiwa lakini hiyo ingefaa Zama zile sio Zama hizi.

Hata zamani walipokuwa wanasifa za wanawake hawakuonewa huruma sembuse sasa ambapo wamepoteza sifa ya uanamke Kwa 90%. Sasa hivi ndio hawapaswi kuonewa huruma hata kidogo.

Ni Mama zetu, shangazi zetu, wake zetu, dada na Bibi zetu lakini kamwe usimuonee mwanamke huruma hasa katika Zama hizi. Ni kitanzi na kaburi lako mwenyewe.

Siwafundishi roho mbaya Kwa maana sio asili yetu wanaume. Sisi ni watu wema tangu kale mpaka pale huruma mbaya ilipotuingia na hapo ndipo ubaya ukatuingia.

Jitahidi kuwa mbinafsi Kwa kadiri utakavyoweza ili kujifurahisha wewe mwenyewe kuliko kuhangaika kumfurahisha mwanamke. Haitakusaidia popote pale zaidi ya kujiumiza na kuonekana kazi bure.

Usimuonee huruma Mwanamke hata Kama macho yako na akili yako vinaona anastahili kuonewa huruma.

Pengine Mama Yako tuu angalau huyo waweza mkumbuka kidogo lakini waliobaki cheza nao Kwa akili nyingi huruma sifuri.

Huruma yako iwe na maslahi mapana. Apate kumi upate Mia. Apate Mia upate elfu. Usitumie moyo wako, tumia akili.

Usiwe na huruma Kwa maana wanawake hupenda kuonewa huruma Kwa wale watu wasiowapenda, huziweka nyuso zao za huruma ili kukulaghai na kuziteka hisia zako, usiwaangalie usoni wala usisikie sauti zao pindi Wazungumzapo.

Walakini usimsahau mke WA ujana wako ukamtendee wema ikiwa ulimchukua akiwa means mwali bikra Safi. Huyo na Mama yako walau unaweza wapa huruma yako kidogo hata Kama wangekutenda makosa kadha wa kadha.

Lakini kama hawana sifa hizo kamwe huruma yako isiwe karibu na Mwanamke.

Pia usitake huruma zozote kutoka Kwa yeyote, tena akiwa mwanamke ndio usizitafute huruma zake.

Sina la ziada. Mwaka mpya mwema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Makanya, Kilimanjaro
 
👉🏾 As a man pambana mwenyewe katika kila situation, usitegemee msaada kutoka kwa yoyote labda msaada ujitokeze wenyewe

👉🏾Do no favor to anyone

👉🏾Kuwa wa mwisho katika maamuzi yanayokuhusu

👉🏾Kuwa tayari kumpoteza mwanamke yoyote
👉🏾Usilaumu chochote kinachokutokea, funga mkanda songa mbele

Naomba kwa leo niishie hapa
Nailed it my brother!
 
Nina shemeji yangu anaishi nchi mojawapo inayopakana na Tz, yuko kwenye mchakato wa kutafuta mke wa kuoa.
Kwa vile huwa anakuja Tz mara kwa mara basi akakutana na binti mrembo mwenye mtoto mmoja. Binti akamuelezea shemeji jinsi alivyozalishwa na kutelekezwa. Shemeji akamuonea huruma akamwambia amuoe binti akamjibu kwa sasa ndoa bado bado wawe kwanza wachumba.
Shemeji akakubali , akawa anamhudumia yule binti ikiwemo kumpangia nyumba, kumfungulia biashara pamoja na mtoto wake kulipiwa ada shule ya binafsi.

Shemeji akamnunulia binti mrembo simu ya gharama akaweka na upelelezi wake..yaaah yaaah binti kumbe hajatulia shemeji akapata maovu yote ya binti ikiwemo ya binti akiwa kwa mganga akitoa mimba ya lijamaa lingine.

Shemeji akakata mawasiliano binti akaanza kusisitiza yuko tayari kuolewa, shemeji akaweka ushahidi wa maovu yake , ikawa mahusiano yameishia hapo huku binti akijuta.

Usimuonee hurumaaa!!
hata sisi wanaume tuna machafu yetu upande mwingine wa shillingi.Unakuta mtu ana watoto watano wote kila mmoja ana mama yake na hatunzi watoto anazaa kama sungura huyu utamuitaje? Umalaya ni tabia ya mtu hata wanaume ni malaya
 
Mama yako wakati unazaliwa angebana yale mapaja yake usingekuwepo ukaandika mada hii hapa shukuru sana mungu wako.
Mungu alivyotuumba ametuumba tofauti kati ya wanawake na wanaume kimaumbile na hata kitabia kwa sababu zake maalum.
Tukija kwenye imani
1.Angalia issue ya Adam na Hawa
2.Angalia issue ya Ibrahim,Sara na yule kijakazi
3.Angalia issue ya Esau na Yakobo mmoja alikuwa muwindaji ambaye ni Esau na mmoja alikuwa ni mkaa nyumbani tu ambaye ni Yakobo.Wakati baba yao anatoa baraka mama yake Yakobo akatengeneza dili akamuambia mwanaye avae ngozi ya kondoo aonekane ana manyoya mzee Baraka zote kamimina kwa asiye husika yule muhusika kaja na windo lake ampe baba yake kakuta issue imeshamalizika baraka keshatoa matokeo yake baba badala ya kumpa Baraka akamlaani.Dill la mwanamke hilo
4.Angalia issue ya Delila na Samsoni

Mungu ana makusudi kwa kila jambo na ndio maana tunaambiwa tuishi nao kwa akili ila sio kuwaona sio viumbe wa kuamini kwa asilimia 100%.Mwanamke akiamua kukurudisha mbinguni kwa baba yako either kwa siku hiyo hiyo au hata kama ni taratibu labda mwaka mmoja ni kitu cha sekunde.

Narudia tena tusiwasakame kiasi hiki kumbuka ndio walitubeba miezi tisa.
Nahisi mtoa mada kuna mahali amepata pigo flani pole sana
 
NAFIKILI WAKATI MWALIMU KIPOFU ANAFUNDISHA WANAWAKE NA WEWE ULIKUWEPO!!

Kakutenda mwanamke wako unataka na sisi tusiwe na huruma na wanawake mhhhhh

Ushakuwa Professor wa wanawake heee°°
 
NAFIKILI WAKATI MWALIMU KIPOFU ANAFUNDISHA WANAWAKE NA WEWE ULIKUWEPO!!

Kakutenda mwanamke wako unataka na sisi tusiwe na huruma na wanawake mhhhhh

Ushakuwa Professor wa wanawake heee°°
Kweli kabisa masaibu yake asituambukize na sisi
Huwezi shawishi watu wachukie mtu au kundi la watu kutona na mawazo yake muflisi
Halafu ajabu alikotokea ni kule kule kwa mwanamke
mimi binafsi mahali pa kumsaidia mwanamke au mwanamme naanza na mwanamke kwanza maana ni viumbe dhaifu kisha ndio nitarudi kwa mwanaume mwenzangu najua atafanya kazi ngumu hata kupiga debe atapa hela siio mwanamke.
Hata ukiwa na watoto binti na wa kiume mimi wakike nampa special treatment wa kiume ni namba mbili maana anaweza fanya kazi ngumu apate hela.
Kwanza matoto mengine ya kiume ni shida tupu bangi na mengine ndio hawa panya road
 
NAFIKILI WAKATI MWALIMU KIPOFU ANAFUNDISHA WANAWAKE NA WEWE ULIKUWEPO!!

Kakutenda mwanamke wako unataka na sisi tusiwe na huruma na wanawake mhhhhh

Ushakuwa Professor wa wanawake heee°°

Usidhani kila mtu anakili ndogo.
Kam hunielewi Kwa sasa, jipe muda utanielewa. Ninyi wengine mnanielewa Kwa kuchelewa au mpaka mpigwe tukio.
 
Mama yako wakati unazaliwa angebana yale mapaja yake usingekuwepo ukaandika mada hii hapa shukuru sana mungu wako.
Mungu alivyotuumba ametuumba tofauti kati ya wanawake na wanaume kimaumbile na hata kitabia kwa sababu zake maalum.
Tukija kwenye imani
1.Angalia issue ya Adam na Hawa
2.Angalia issue ya Ibrahim,Sara na yule kijakazi
3.Angalia issue ya Esau na Yakobo mmoja alikuwa muwindaji ambaye ni Esau na mmoja alikuwa ni mkaa nyumbani tu ambaye ni Yakobo.Wakati baba yao anatoa baraka mama yake Yakobo akatengeneza dili akamuambia mwanaye avae ngozi ya kondoo aonekane ana manyoya mzee Baraka zote kamimina kwa asiye husika yule muhusika kaja na windo lake ampe baba yake kakuta issue imeshamalizika baraka keshatoa matokeo yake baba badala ya kumpa Baraka akamlaani.Dill la mwanamke hilo
4.Angalia issue ya Delila na Samsoni

Mungu ana makusudi kwa kila jambo na ndio maana tunaambiwa tuishi nao kwa akili ila sio kuwaona sio viumbe wa kuamini kwa asilimia 100%.Mwanamke akiamua kukurudisha mbinguni kwa baba yako either kwa siku hiyo hiyo au hata kama ni taratibu labda mwaka mmoja ni kitu cha sekunde.

Narudia tena tusiwasakame kiasi hiki kumbuka ndio walitubeba miezi tisa.
Nahisi mtoa mada kuna mahali amepata pigo flani pole sana

Mimi ninachoongea ni ukweli.
Simsakami yeyote
 
Back
Top Bottom