Usimwamini Mwanamke wako hata kama ameshika dini. Maumivu niliyopata leo sitayasahau kamwe

Usimwamini Mwanamke wako hata kama ameshika dini. Maumivu niliyopata leo sitayasahau kamwe

Pole sana Broh!
In connecting dots, kuna wakati sisi wanaume tunalazimisha tunayoyataka kuwa tunavyotaka ingawa wakati mwingine ni ngumu sana.
Tunatengeneza imaginations tofauti sana na wenzetu. Kibaya zaidi tunajipa matumaini kwenye mawazo yetu jambo ambalo naweza linaweza kutuweka hatarini sana.
Back to point, hawa Dada zetu na kwa upekee kabisa “waliookoka” huwa wana tazamo tofauti sana juu ya suala zima la mahusiano yanayopeleke ndoa. Maelezo yako yanaonesha kabisa mitazamo tofauti mliyokuwa nayo. Kipindi wewe una mtazamo wa kufanya pilot study ili uoe mwenzako ana mtazamo wa kujiona mkosaji, mdhambi.
Ukweli ni kwamba wchungaji wengi hususani wa makanisa ya kilokole huwa wanainstill mawazo yanaioubadili sana mtazamo wa vijana juu ya mahusiano ya kimapenzi. Mambo haya huelezewa katika mkabala hasi mno Kaka na kwa urafiki mdogo niliowahi kufanya Dada zetu hawa huelewa mkabala huo na kuushikilia kuliko akina Kaka.
Inachukua muda mrefu sana kwa Dada mwenye mtazamo huo kubadilika na kuelewa lakini haimaanishi hataelewa. Wanaowafundisha masuala ya ahisiano na mapenzi hujiweka katika magazine za umalaika sana kiasi cha kuwafanya vijana kutoona maisha halisi ya mwalimu wao kama Mwanadamu. Siyo kosa lao ila ni namna walivyokuwa “brainwashed” na mafundisho ya mahusiano na ujana na mahusiano kanisani.
Wengi wao huangukia hatarini zaidi hususani wanapoamua kuvunja mahusiano na kuanza upya (siyo wote). Ushauri wangu kwako ni kumpa muda tu, nafahamu bado hujafikia critical point ya kumuacha kabisa..jipe muda kidogo usijilaumu au kujilaumu kwa sababu kila jambo hutokea kwa wakati na kwa kusudi.

KWA ulimwengu wa SAsa ulivyopotoka kimaadili ingefaa mabint wote wawe brainwashed kwa kuingizwa format za kilokole kwenye brain zao Ili wawe walezi bora
 
Duuuuhh
Wakulaumiwa ni wewe.
Huyo demu mpaka anakublock ni uboya wako.
Mimi kabla hujaniacha nitakuacha moja matata sana mpaka ukonde
 
Piga nyeto achana naye block huyo mtu then jifunze kuandika vizuri nimeteseka sana kusoma
 
Sasa hapo Cha kusikitika kipi mbona vitu vya kawaida tu vinatokea, au wote nyie mlikuwa mnadate mkiwa watoto ebu fanya Mambo mengine mapenzi yapo tu
 
Pole mkuu. Cha kufanya jaribu kwanza kutulia, jipe muda kidogo utafakari. Najua ni vigumu sana kujipa muda wa kutulia pasipo kutamani kumtafuta ila jikaze tu. Unajua ungekuwa ushafanya naye mapenzi mara nyingi isiyokuwa na idadi ningekupa ushauri ambao ungekusaidia kumrudisha huyo mwanamke ila kama ulivyoeleza kuwa alikuwa anakupa mara moja kwa mwezi tena kwa mbinde huu ushauri hautaweza kukusaidia. So ninachoweza kusema jipe tu muda wa kupumzika kisha ukishapona jaribu kuachana naye. Ukishindwa kabisa kumsahau na ukaendelea kuteseka kwa ajili yake basi anza kumtongoza upya.
Mkuu naona siku hizi mambo safiii tangu upate kitendo hapo tra mtwara
Unazunguka tuu na boti kutafuta magendo
Daaah haya maisha!!!!
Ushauri wangu kuwa makin jamaaa wanakufatilia sana
Masuala ya kununua gari acha kwanza
 
Mnadate wote wajinga, mwanamke hakupendi pia hana akili, ukiachana na kukosa elimu.

Nyongeza: Kwa uandishi wako, ulistahili kuachwa.
Hah dhambi! mtu akiwa na uandishi mbaya hastahili kupendwa?
 
Yaani unapewa once a month for three good years na upo tu wala hutafuti backup?

7.97 Billion people in the world as per September 2022 and you're getting bent out of shape by one idiot!!

Ana kipi cha mno huyo binti?
 
Duuh kumbe kuna raia wanateseka ivi
Una kasoro gani Mr tuangalie namna gani yakukusaidia
 
Wanawake wa sasa sio wa kupenda kijana wangu, Pole sana.
 
Hayo yalikuwa mapenzi au kero?Jipigepige kifua huwa unajiambia "mimi ni mjinga,mimi ni mjinga namba moja".
 
niliowapuuza kipimdi nipo nae nikisema niwataje apa sitowamaliza kuna mwingine nae anaitwa rapahaela kanipuuza kabisa na baadh ya girls washaniblock siwez walaumu sababu kipindi nipo nahuyu dada niliwatesa wengi sikuwajali hata
Malipo ya kumwaga chozi la mtu we mtoa mada kuna usemi kwamba mtenda akitendewa hujihisi kaonewa.
Huyo Super woman popote alipo nampa tano.
 
Habar wadau !!!

Leo nimeachana rasmi na msichana niliedumu nae kwa miaka mitatu ni mlokole na ameishika din kweli kweli yaan ni kila siku jpili ni lazima aende church na siku za kati ya wiki anaenda mkesha misa za usiku mapenzi yetu yalitawaliwa na utata mwing mno km kudo ilikuwa ngumu sn na yote akidai kuwa hatak kwenda gest na pia anataka tuoane

Kwa kipimd kile anayadai hayo nilikuwa naish na ndugu yngu wa kiume ivo ilikuwa ngumu yy kuja kulala pale ninapokaa na aliweka mkazo nikapange na aliweka waz kuwa nikapange na anataka tuoane tuwe na familia na sababu ya yy kunipangia siku za kuonana ni hilo la kuoana na gest ki ukweli ni story ndefu kidogo apo maana hata huko gest siku moja moja tulizokuwa tunaenda ilikuwa kunq tokea vurugu kuna wakat nakuwa cjaridhika yy anasema basi anaondoka imetosha kuna wakati analia kabisa na kudai tumbo linamuuma na kuna mda ananisukuma na kuna mda anajaza mate mdomon na kuna mda anayatema baada ya kukiss tukienda bafuni kuoga ananisukuma yani tusioge karibu karibu tuoge mbali mbali na hayo yanatokea kila mara tutakayoenda gest ni stori ndefu kidogo lkn in short ni kwamba almost kwa mwez tulikuwa tunakutana once na baada ya kumuomba sex sana

Mara zote yy alidai hapendi gest nipqnge ayo mambo yataisha tuligombana sn tunapatana sasa last mouth mwezi ule wa sensa nikawaambia mdau wngu kuwa kila mtu akatafute room yke kwa sasa na tukakubaliana kila mmoja aish kivyake ajitegemee mpango wa kushare kodi hamna tena na maswala ya geto yakaishia pale

Mimi nikatafuta zngu room mahali pengine nikapanga nilipopanga tu gafla tu yule dada alianza visa nikimpigia simu hapokei sms hajibu na baadh ya namba kablock kabisa nikaongea na da yke anaeish nae akasema ataongea nae lkn haikuzaa matunda baada ya km wiki 2 za kumtafuta sinu yke ikiwa hapokei nilimtumia sms TUACHANE sasa cha ajabu baada ya kutuma tu ile sms ilijibiwa ivi kuwa chanzo cha yeye kukaa kimya ni kwa sababu anataka ndoa na kwa kipind hko nilikuwa tayar nimepanga mwez mzima naish peke angu na hii nimefuata ushauri wke na yy hajawah hata kukanyaga

Nikamjibu kuwa yy analiliaje ndoa mbayo yy haipiganii karibu sherehe nying huwq naenda na yy na mara zote ni yy tu yaan baba na mama na ndugu wanamjua na kuna story fupi kidogo kwenye hzo sherehe alikuwa akigundua mama upo tu lazima aomdoke nikimuuliza sababu ya yeye kukimbia anasema mama ni mtu wa heshima sn inabid akutane nae nyumban na sio kwenye sherehe
apo tuligombana pia kwamba mama sio MUNGU msalimie tu yaishe ili ata siku akijua naoa ajue ni ww japo haikuwah kutokea na naweza kucomclude kwamba hakuwah ongea na mama hata siku moja baba aliwah onhea nae mara moja tu basi

Mapenzi yetu yaligubikwa na wingu kubwa ambalo kabla mwaka huu haujaisha nilipanga tuoane ndugu zake namjua mmoja tu dada ake mkubwa ambae ndo anaish nae wamepanga room moja yy ana saloon na dada ake anashona nguo na aliniweka waz kuwa huku mjin hana ndugu wengi ndugu zke weng wapo kijijin na mama ake upo uko apa mjin aliletwa na dada yke ambae undugu uko mbali kidogo kuja kufanya kaz za saloon uyo dada ake ndo ni km.mama yke apa mjim anaishi nae toka 2016 na amemsaidia kaz nying amemlea km mwanae

Mwaka 2016 kipindi nakutana nae 1st time aliniomba pesa akafungue saloon nikqmkatalia nilijua hayo ndo yale mapenzi ya mjin ukimwaga tu mpunga huna chako japo msaada mdogo mdogo km na pesa km chakula mavazi simu nilimnunulia na kuna siri zngu za biashara nilimpa lengo langu sikutaka ateseke nilitaka awe free aish maisha mazur lkn sasa najuta maana nilimwamin sn kiasi kuwa naweza semq hakuna mwanamke alifikia pale na nimewakataa wengi sana kipimdi nipo nae ata wale walikuwa na mm walipoona siwapi priority na sina mpango nao walisepa mmoja ni mwanafunzi anasoma CBG ni mchaga tuliachana na sasa ana mtoto mwengine anaitwa gift saiz hata sms.zngu hajibu kuna mwingine anaitwa basia nae namba yke haipatikan ni wengi kwa kweli niliowapuuza kipimdi nipo nae nikisema niwataje apa sitowamaliza kuna mwingine nae anaitwa rapahaela kanipuuza kabisa na baadh ya girls washaniblock siwez walaumu sababu kipindi nipo nahuyu dada niliwatesa wengi sikuwajali hata

Sasa baada ya my love of all time kupigilia msumar kuwa anataka ndoq nilimpigia simu mwezi huo akiwa hajakanyaga kwangu nimuulizq kuwa dada ako ambae ni km mama yko apa dar na ndugu zako wanajua mahusiano yetu akasema ndio nikamwambia anielekeze anapoishi akaniuliza unataka kwenda nikamwambia ww nielekeze tu akaniambia usijali ntakuelekeza na apo nshawaepeza ndugu na wazazi kuwa nataka nioe mwaka huu ajabu hakunitafuta kunielekeza uyo dada ake anapoish na nilipopiga nikagundua kuwa namba zangu kaziblock zote na usiku huo niliota ndoto tata sana nikampigia kwa namba yngu extra mbal na zile alizofunga ikapokelewa lkn iliposikia ni mm hakujibu kitu na nikapokea sms h

View attachment 2363267

View attachment 2363273
Kwa huo uandishi naona Yuko sahihi kufanya uamuzi huo mapema
 
Back
Top Bottom