Usimwamini Mwanamke wako hata kama ameshika dini. Maumivu niliyopata leo sitayasahau kamwe

Usimwamini Mwanamke wako hata kama ameshika dini. Maumivu niliyopata leo sitayasahau kamwe

mkuu nimeandika kwa haraka sana sababu niko fluctuacted na siku ya leo sifanyi chochote zaid ni kupumzika tu nisamehe kwa mwandiko nimekuja huku kusaka faraja na wengine wataadithia km wamewah kutana na kitu km hich
Uko fluctuated hahah ni frustrated bro, aisee she did the right thing kukuacha

and uko both stupid & pathetic
 
Huyo demu wa mtoa mada bila shaka ana miaka kati ya 16 hadi 25, akifika miaka 30+ hana mume wa kumuoa ndio atamkumbuka mtoa mada..akisema wanaume waoaji hakuna
 
Majibu anayoyapata hapa kwenye comments hata kama una huzuni .unatulia kwanza unacheka na hizi comments
 
Kubali kuwa umeachwa endelea na maisha mengine au ni mgeni kwenye mapenzi? Milima na mashimo kwenye mahusiano ni kawaida sana. Pole lakini.
 
Kama ukiweza kupangilia mwandiko wako ukaeleweka,itakua rahisi kumpangilia mwanamke wako akakuelewa...
-kisa tu mapenzi yanakutesa,ukaamua ututese na mwandiko wako [emoji848].
 
Dogo meza imeshapinduliwa hapo, kitendo cha kukuambia umechelewa kufanya maamuzi unatakiwa ujue kuna kidume kimeshakuwahi muda mrefu.

Move On!
 
Back
Top Bottom