Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,412
- 1,669
Ila wewe ulikuwa hupendwi sema tu ulijitia ugumu kugundua.
Mtu akupende kabisa afu akuache ghafla tu bila sababu ya msingi?
Mtu akupende kabisa afu akuache ghafla tu bila sababu ya msingi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii reference niliiona somewhere 😂Maandishi yote hayo kisa kukusala,
Siku ukisalitiwa ukamkuta kanunuliwa makubazi ya manyoya si utakufa
Uko fluctuated hahah ni frustrated bro, aisee she did the right thing kukuachamkuu nimeandika kwa haraka sana sababu niko fluctuacted na siku ya leo sifanyi chochote zaid ni kupumzika tu nisamehe kwa mwandiko nimekuja huku kusaka faraja na wengine wataadithia km wamewah kutana na kitu km hich
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama ndo upo fluctuated basi haina haja ya kupendwa tena wewe
[emoji23][emoji23]Majibu anayoyapata hapa kwenye comments hata kama una huzuni .unatulia kwanza unacheka na hizi comments
[emoji1787] hamna hata maneno ya kumfariji jamanUko fluctuated hahah ni frustrated bro, aisee she did the right thing kukuacha
and uko both stupid & pathetic
[emoji1787] ila Jf [emoji119]Pole yake,amepata LOVE FLUCTUATION.Asubiri frustration sasa.
[emoji23][emoji23][emoji1787]Unaendelea kuniudhi!
rudi juu mkuu nimeonheza updatesIla wewe ulikuwa hupendwi sema tu ulijitia ugumu kugundua.
Mtu akupende kabisa afu akuache ghafla tu bila sababu ya msingi?
nisamehe tu mdau nimepanickHii inaitwa kitu chenye ncha Kali kichwani