Usimwamini Mwanamke wako hata kama ameshika dini. Maumivu niliyopata leo sitayasahau kamwe

Kumbe vijana mnateswa na mapenzi kuliko tozo[emoji38][emoji38]ila nyieeeeee[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kabisa wakat mwingine vitu ambavyo hatuna kheri navyo vinaondoka Ili vingine vizuri vije japo inaumiza sana kiukweli
 
Kabisa wakat mwingine vitu ambavyo hatuna kheri navyo vinaondoka Ili vingine vizuri vije japo inaumiza sana kiukweli
mkuu nashukuru sana kwa mchango wako ila nataka nikudokeze kitu kwa visa vya uyu dada nimewah achana nae mara zisizopungua tano na kila nikifanya ivyo lazima afunge safar kunifuata mda mwingine asubuh mapema ata sijaamka ananiita nje tunaongea tunayamaliza maisha yanaendelea leo kapindua yy dada ake anashauri nimfuate saloon kwake
 
Sasa flustrsted ya nini na ww ndo ulisema Muachane??[emoji38],uliomba muqchane amekujibu hutaki kukubali
 
Sasa flustrsted ya nini na ww ndo ulisema Muachane??[emoji38],uliomba muqchane amekujibu hutaki kukubali
soma kwa makini uelewe hii ya mwisho sikutoa mm yy ndo alianza visa nilipomjibu tuachane akasema sababu ya visa ni kuwa anataka tuoane nikamwambia anipeleke anapoish dada ake kablock number na kasema tuachane
 
Acha ujinga kuwa mwanaume usiwe mvulana,simama kama mwanaume ili uheshimike usichukuliwe poa. Unavurugwa na mjinga mjinga acha kuwa kama kupe,songa mbele.
 
Hyo update uloweka sijaelewa ni ww ndo unanuka mdomo au yeye mpk unataka pafume za kupuliza mdomoni?
 
Ni PM namba yake chap nirekebishe hilo tatizo haraka kabla halijawa kubwa zaidi.
 
Hyo update uloweka sijaelewa ni ww ndo unanuka mdomo au yeye mpk unataka pafume za kupuliza mdomoni?
Jamaa kwanza ni kibonge halafu pia anamatatizo ya kunuka mdomo.
Hakika mlokole alijitahid sana kuvumilia.
 
Wewe ni jinsia gani?

Nijibu vizuri. Una roho mbaya sana!
 
Ushauri wa kiume sana huu japo unachekesha [emoji23][emoji23]

Mtoa mada chukua ushauri huuu
 
Mnadate wote wajinga, mwanamke hakupendi pia hana akili, ukiachana na kukosa elimu.

Nyongeza: Kwa uandishi wako, ulistahili kuachwa.
Mkuu wote wajinga wa mapenzi au wajinga Wambo yaki jamii na kielimu?
 
Women don't respect men who don't have options.

Anyway i cant wait siku naachwa, sijui na mimi ntakuja na gazeti kama hili? [emoji848]
kuna kamba za manila huwa zinatumikaga kupoza maumivu
 
Uandishi wako unaashiria Ni jinsi gani umestresika, pole Sana mkuu hope moyo na uendelee na maisha yako mengine.
Utapata mwanamke mwingine huko mbele.
 
mkuu nimeandika kwa haraka sana sababu niko fluctuacted na siku ya leo sifanyi chochote zaid ni kupumzika tu nisamehe kwa mwandiko nimekuja huku kusaka faraja na wengine wataadithia km wamewah kutana na kitu km hich
Duh! kweli yuko fluctuacted😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…