Ila Kuna wanawake wajinga jamani duniani....akili zao zimejaa matopeKuna Baadhi ya wanawake wana date na wanaume waliooa
Usimwamini mwanaume ambaye hampendi mke wake
Hajawahi kuku valisha hata hiyo pete na anakuambia anakupenda
Unafikiri anakupenda wew?
Kama aliyemvalisha pete anam cheat wew kwake utakuwa na thaman?? usiwe mjinga
Anakuambia anakupenda na huku ana mke aliye mvisha pete ya thaman?!!
Iko siku nawe atakubwaga
Wanaume wa namna hii
Wanajichukia na ndio maana hawawezi kumpenda mtu yoyote
Acha kuwa danganya wenzako weweKuna Baadhi ya wanawake wana date na wanaume waliooa
Usimwamini mwanaume ambaye hampendi mke wake
Hajawahi kuku valisha hata hiyo pete na anakuambia anakupenda
Unafikiri anakupenda wew?
Kama aliyemvalisha pete anam cheat wew kwake utakuwa na thaman?? usiwe mjinga
Anakuambia anakupenda na huku ana mke aliye mvisha pete ya thaman?!!
Iko siku nawe atakubwaga
Wanaume wa namna hii
Wanajichukia na ndio maana hawawezi kumpenda mtu yoyote
Kuna Baadhi ya wanawake wana date na wanaume waliooa
Usimwamini mwanaume ambaye hampendi mke wake
Hajawahi kuku valisha hata hiyo pete na anakuambia anakupenda
Unafikiri anakupenda wew?
Kama aliyemvalisha pete anam cheat wew kwake utakuwa na thaman?? usiwe mjinga
Anakuambia anakupenda na huku ana mke aliye mvisha pete ya thaman?!!
Iko siku nawe atakubwaga
Wanaume wa namna hii
Wanajichukia na ndio maana hawawezi kumpenda mtu yoyote
Ila chakushanga wanavuana chupiMen vs Women
The battle that never ends
Kibao kimebadilika leoKuna Baadhi ya wanawake wana date na wanaume waliooa
Usimwamini mwanaume ambaye hampendi mke wake
Hajawahi kuku valisha hata hiyo pete na anakuambia anakupenda
Unafikiri anakupenda wew?
Kama aliyemvalisha pete anam cheat wew kwake utakuwa na thaman?? usiwe mjinga
Anakuambia anakupenda na huku ana mke aliye mvisha pete ya thaman?!!
Iko siku nawe atakubwaga
Wanaume wa namna hii
Wanajichukia na ndio maana hawawezi kumpenda mtu yoyote
Alafu wanatuma sms daddy I miss u🤣🤣🤣Huu ndio ukwel na mnaujua vizuuri tu ila kwakua mnataka pesa za wanaume ,kamwe hamtakaa kufuata hiki unachosema..
Kumbe kaishiwa hapo anataka kukupiga mzingaAlafu wanatuma sms daddy I miss u🤣🤣🤣
Kama ulikuwepo hapo kifuatacho itv ni mzinga tuu hamna lengineKumbe kaishiwa hapo anataka kukupiga mzinga
Hili nalo nenoMke ni sebule, mchepuko ni choo, tunakitembelea tukiwa na haja. Sasa pima umuhimu. Sijasema choo si muhimu, ukumbuke nyumba ni choo.
"Alisikika mume wa mtu"