Na ukolo upi mkuu?Ukiacha ukolo mkuu unakuaga na Akili fresh 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukolo upi mkuu?Ukiacha ukolo mkuu unakuaga na Akili fresh 😀😀
Tumia Templer na deriv broker.Mie natrade kupitia JustMarkets lakn spread zake ni kubwa sana kwahiyo nashindwa kufanya sculping. Kuna mdau humu alisema inawezekana kutrade kwenye sread ndogo. Kwa anaejua cha kufanya naomba anisaidie
Mbona unajiita stakehigh?
Tick unaweka pesa kupitia mawakala au kupitia mobile money direct?Tumia Templer na deriv broker.
Kama una mawe ya kutosha, nenda Tickmill, Tickmill yuko vizuri sana .
Tickmill hapo unatumia Skrill, na mavitu mengine, mobile money direct haipo.Tick unaweka pesa kupitia mawakala au kupitia mobile money direct?
yees but sio kwa sababu ya hilo jina! i deal with crypto alot moreMbona unajiita stakehigh?
Au we ni investor?
Crypto nayo si Ina kubuy na kusell?yees but sio kwa sababu ya hilo jina! i deal with crypto alot more
Arusha hakuna mlima unaitwa hivi.Kwa Arusha, nilijipatia fursa ya kufurahia hewa safi ya milima ya Kilimanjaro,
huyu jmaa ni muongo muongo sanaArusha hakuna mlima unaitwa hivi.
We kuna broker anakufaa tena ana account ya pro zero spread itakufaa sana ila min depost ni 500usdMie natrade kupitia JustMarkets lakn spread zake ni kubwa sana kwahiyo nashindwa kufanya sculping. Kuna mdau humu alisema inawezekana kutrade kwenye sread ndogo. Kwa anaejua cha kufanya naomba anisaidie
Crypto nayo si Ina kubuy na kusell?
We kuna broker anakufaa tena ana account ya pro zero spread itakufaa sana ila min depost ni 500usd
Jooh siwezi kuutosheleza ujinga wako trading history ata ya miaka 6 nakupa maana sijaanza jana wala juzi, we endelea na ujinga wako kwamba Trading ni upuuzikwan hio trade history inachukua mwaka kupost?
Jinsi ulivyoenda na huyo mwamba bampa to bampa, naamini maneno yako, forex now imekua ya kibabe sana, mentor ni wengi na wanapiga pesa kwa kufundisha na sio wao kutrade, hapa kama un akili lazima ujue kudownload hela ni kazi kuliko kutafuta mtaani.kwan hio trade history inachukua mwaka kupost?
hakuna kitu ngumu kama forex trading, ndo maana huwa najilipua, soko likienda upande wangu, nacheka likienda kinyume nalia natulia, wengi wanajiita pro traders ni ujanja ujanja tu wa kuuza signal na training ndo maana ukiwaomba trading history hawawezi kupa milele maana hawana, kuna yvle mmoja wa south alikujaga tz akakusanya dollar 500 za wabongo akasepa, kuna dada mmoja aliniambia kwenye group lao walikuwa vichwa 200, na kulikuwa na groups 4, na condition ilikuwa ili uingizwe kwenye group lazima ulipe hyo 500, sasa fikiria jamaa alipiga dollar ngapi kwa kuadaa watu na mentorship ya mchongo.Jinsi ulivyoenda na huyo mwamba bampa to bampa, naamini maneno yako, forex now imekua ya kibabe sana, mentor ni wengi na wanapiga pesa kwa kufundisha na sio wao kutrade, hapa kama un akili lazima ujue kudownload hela ni kazi kuliko kutafuta mtaani.
Anaitaka ya mwezi mi nampa ya miezi mitatu tena ya acc ndogo tu speacil kwa goldJinsi ulivyoenda na huyo mwamba bampa to bampa, naamini maneno yako, forex now imekua ya kibabe sana, mentor ni wengi na wanapiga pesa kwa kufundisha na sio wao kutrade, hapa kama un akili lazima ujue kudownload hela ni kazi kuliko kutafuta mtaani.