Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,979
- 3,105
Asanteeeeeeeeeeeeeeeee bestito wameingia na kuanza kubwatuka hovyo umeona pale juu wanavyosema utazani wamewekewa morta midomoni na kwenye vidole vya mikono yao eti nimekurupuka kuandika wakati nimewapa funzo tosha wanajibwayabwaya shosti waangalie kule juu wanavyojichanganya utadhani bendera ya kijani hakaaaaahakakahahahahahahaaaaaaaaaaa limewauma khehkheeeeeeeeeeeeeeee
mkuu, yaaani hawa viumbe inatakiwa kuishi nao kwa akili vinginevyo utafanywa button. Leo anasema hivi kesho anasema vile, na wanategemea/wanataka u_comply!
yaani leo humu povu zitaruka kama wametafuna omo, hahahaha!!!!!! Umewapa ukweli tena zaidi ya ukweli.
Sijui nikuache tu
yaani sisi viumbeeeeee?
Naona ladyfurahia amechoka kufua chupi za watu wengine.
Mimi kazi kama hizo kunifulia nguo za ndani etc atafanya house girl ili nisimsumbueke wangu.
Mkuu wewe si kiumbe hai? Au ni tafsiri gani uliyoipata?
Mimi kazi kama hizo kunifulia nguo za ndani etc atafanya house girl ili nisimsumbueke wangu.
Bestito wamezidi kutusema ndo maana nimewatolea uvivu na kuwapa lao wanakasirika utadhani simba aunguramaye na bado naanda somo lingine la kuwatolea nyongo zao kabisa nione kama watafurukuta humu wanatusema sana mmu mara ohooo wanawake viumbe dhaifu mara wanatutuskana kiaina sasa nimewapa kilima chao wanashindwa pa kupandia hehehehehehehehehehehehehehheheheeeiayaaaaa na bado shosti povu litawatoka mpaka basi hahahahahahaaa
Ni kwel malez yanachangia lkn na nyie watoto wa kike unamkuta mtu mchafu kuanzia yy mpk chumba chake bt kama umempenda from inner part of ur heart una bud kumuelekeza ili kufanya kua couple inayofanana ingawa kumfundisha mtu mzima kaz bac unatakiwa utumie weled wote uliopewa na Wazaz pamoja na Mungu Akikuongoza..!!
Mkuu wewe si kiumbe hai? Au ni tafsiri gani uliyoipata?
Kila kitu ni maamuzi hata huo uvivu ni maamuzi ya MTU.
ameolewa maana nasikia alichwa na mcumba wake.kutwa yuko saloon.nyumba chafu........
Bestito, kwanza kwa hilo mimi siwezi kuumia roho hata siku moja na sidhani kama kuna mtu limemuuma roho, labda vijana wadogo.Kimewatouch na kimewauma ndo maana mnajiachia hapa si mngepita tuu