covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Hii ndio kauli niliyoambiwa na wife wangu kipindi hiko nipo moto balaa michepuko kama yote sieliwi nawaza misabwanda tu.
Hii kauli ilibadili maisha yangu sana.
Nikawa mpolee na familia..
Wewe uliambiwa kauli gani na mwenza wako ukabadili maisha yako ya mahusiana?
Hii kauli ilibadili maisha yangu sana.
Nikawa mpolee na familia..
Wewe uliambiwa kauli gani na mwenza wako ukabadili maisha yako ya mahusiana?